Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
The bold hana sifa hizo?Hili swali kila siku jamani?
Mweusi, mwembamba, mrefu kiasi sio ngongoti na akiwa na akili nyingi ni added advantage.
Ndio kaka mzuri huyo mwenyewe, ah mi niuliwe tu!
Kwakweli tofauti na hapo labda ziongezeke sifa nyingine nyingine.. Ila kwa appearance akiwa hivyo naweza nikazama mzimamzimaIna maana hapo ukimpata tofauti na hizo sifa unazohitaji inamaanisha utakuwa haujampenda huyo mwanaume
Kwanini unaogopa ngongoti unahisi urefu wake unakuwa proportional na kitu gani?mrefu kiasi sio ngongoti
🐒🐒🐒Ngoja nikuitie Smart 😂😂😂
Mkuu piga like moja inatosha nyingi zinaboaSure
Duh zinajipiga zenyewe mkuu😊Mkuu piga like moja inatosha nyingi zinaboa
Amina,Yeyote yule tu mwenye heshima,upendo na kujali
ZinazinguaDuh zinajipiga zenyewe mkuu😊
OK usijal.Zinazingua
Kweli? Basi nianzie kwako kwanza unaonaje?Jitahidi ujiupdate [emoji16]
Ila watoto mnataka wawe weupe.Hayo ni mapendeleo yangu binafsi sio Ummat Muhammad Mkuu!
Na haina maana kwamba mwanaume niliyenaye angekuwa mweupe nisingekuwa naye, ni bahati amematch vigezo vyangu vyote MaashAllah!
Mkuu wanawake mioyoni mwao wanawatamani sana wanaume weupe shida wanajua mwanaume mweupe hawezi kuwa wa peke yake lazima watakuwa wengi.Ubaguzi unaanzaga hivi. Coz hata nikiwa vijiweni na washikaji hawaishi kuniponda, mara we jamaa mweupe sana. Watu weusi wana wana shida. Kwa nini?
Nimegundua
1. Watu weusi wakiona watu weupe wanawaponda sana. Watu weupe they don't care about black people
2. Watu wafupi wakiona watu warefu wanawaponda sana, too bad tall people don't care
3. Watu wembamba wakiona watu wakened utasikia unakula sana. Watu wanene hawajali kuhusu watu wembamba
Nifupishe: ukiwa mweupe, mnene, mrefu basi kwa kuwa wa tofauti katika society nyingi za kiafrila jua lazima utaandamwa kwa namna moja au nyingine. Mtazamo wangu
Back to the topic
Week iliuopita nilikuwa natuma mzigo posta. Demu mmoja akawa anazungumza kuwa " wanawake tunapenda wanaume weusi warefu"
Baadae katika mazumgumzo akaropoka " napenda kuwa na watoto weupe"
Ilibidi nibaki njia panda, anapenda wanaume weusi warefu cha ajabu anataka watoto weupe.
Wanawake hawajui wanachokotaka.
Me nadhani huyu nifah tumuweke kwenye mnada humu jukwaani watu watoe madau yao atakaefika bei ndio atachukua mali, hatuwezi kumuachia huyo njemba wake ajipakulie minyama pekeake au mnasemaje wadauMbona nasema kila siku jamani? Ninaye ndio.
Unaweza nishauri nijiupdate kivipi ili namie shetani nipate kuonekana?[emoji16]Jitahidi ujiupdate [emoji16]
Kwamba weusi ni intelligent people?Intelligent men are problem solvers and very sexy [emoji91][emoji91]
Akiwa mweupe mfupi unamuonaje?Hivi mwanaume unakuwaje mfupi mweupe [emoji19]
Mimi najua wanaume ni weusi
Au unahisi kwakuwa wewe ni mweusi basi unawachukuia wanaume weupe ukihisi wamesababisha uwe mweusi kwa wao kumaliza rangi nyeupe?Hivi mwanaume unakuwaje mfupi mweupe [emoji19]
Mimi najua wanaume ni weusi