Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Mwanaume anayejitambua kama yeye ni mwanaume kichwa cha familia, mwenye upendo na anaye mcha Mungu, ila [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hata awe na kamvuto sio unashindwa hata kumtizima usoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hayo ni mapendeleo yangu binafsi sio Ummat Muhammad Mkuu!

Na haina maana kwamba mwanaume niliyenaye angekuwa mweupe nisingekuwa naye, ni bahati amematch vigezo vyangu vyote MaashAllah!
Ila watoto mnataka wawe weupe.

Utasikia mwanamke anasema "kajifungua litoto jeusiiii"

Mwanamke huyo huyo atasema "amejifungua katoto keupeee kazuri"

Sasa hapo unashindwa kuelewa unataka mwanaume mweusi huku wewe ukiwa mweusi halafu ije miujiza mtoto mweupe kweli?
 
Ubaguzi unaanzaga hivi. Coz hata nikiwa vijiweni na washikaji hawaishi kuniponda, mara we jamaa mweupe sana. Watu weusi wana wana shida. Kwa nini?

Nimegundua
1. Watu weusi wakiona watu weupe wanawaponda sana. Watu weupe they don't care about black people
2. Watu wafupi wakiona watu warefu wanawaponda sana, too bad tall people don't care
3. Watu wembamba wakiona watu wakened utasikia unakula sana. Watu wanene hawajali kuhusu watu wembamba

Nifupishe: ukiwa mweupe, mnene, mrefu basi kwa kuwa wa tofauti katika society nyingi za kiafrila jua lazima utaandamwa kwa namna moja au nyingine. Mtazamo wangu

Back to the topic
Week iliuopita nilikuwa natuma mzigo posta. Demu mmoja akawa anazungumza kuwa " wanawake tunapenda wanaume weusi warefu"
Baadae katika mazumgumzo akaropoka " napenda kuwa na watoto weupe"

Ilibidi nibaki njia panda, anapenda wanaume weusi warefu cha ajabu anataka watoto weupe.


Wanawake hawajui wanachokotaka.
Mkuu wanawake mioyoni mwao wanawatamani sana wanaume weupe shida wanajua mwanaume mweupe hawezi kuwa wa peke yake lazima watakuwa wengi.

Sasa ili kujipoza utasikia mwanamke anakwambia anataka mwanaume mweusi ili tu awe wa peke yake maana weusi hawashobokewi na mademu wanaopenda wanaume weupe kwa ajili ya mtoko.

Huyo huyo anayetaka mwanaume mweusi anatamani apate mtoto mweupe, ni maajabu haya kwakweli.
 
Back
Top Bottom