Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Ubaguzi unaanzaga hivi. Coz hata nikiwa vijiweni na washikaji hawaishi kuniponda, mara we jamaa mweupe sana. Watu weusi wana wana shida. Kwa nini?

Nimegundua
1. Watu weusi wakiona watu weupe wanawaponda sana. Watu weupe they don't care about black people
2. Watu wafupi wakiona watu warefu wanawaponda sana, too bad tall people don't care
3. Watu wembamba wakiona watu wakened utasikia unakula sana. Watu wanene hawajali kuhusu watu wembamba

Nifupishe: ukiwa mweupe, mnene, mrefu basi kwa kuwa wa tofauti katika society nyingi za kiafrila jua lazima utaandamwa kwa namna moja au nyingine. Mtazamo wangu

Back to the topic
Week iliuopita nilikuwa natuma mzigo posta. Demu mmoja akawa anazungumza kuwa " wanawake tunapenda wanaume weusi warefu"
Baadae katika mazumgumzo akaropoka " napenda kuwa na watoto weupe"

Ilibidi nibaki njia panda, anapenda wanaume weusi warefu cha ajabu anataka watoto weupe.


Wanawake hawajui wanachokotaka.
Ni km vile warefu wanavyotuponda sie wafupi
 
Ubaguzi unaanzaga hivi. Coz hata nikiwa vijiweni na washikaji hawaishi kuniponda, mara we jamaa mweupe sana. Watu weusi wana wana shida. Kwa nini?

Nimegundua
1. Watu weusi wakiona watu weupe wanawaponda sana. Watu weupe they don't care about black people
2. Watu wafupi wakiona watu warefu wanawaponda sana, too bad tall people don't care
3. Watu wembamba wakiona watu wakened utasikia unakula sana. Watu wanene hawajali kuhusu watu wembamba

Nifupishe: ukiwa mweupe, mnene, mrefu basi kwa kuwa wa tofauti katika society nyingi za kiafrila jua lazima utaandamwa kwa namna moja au nyingine. Mtazamo wangu

Back to the topic
Week iliuopita nilikuwa natuma mzigo posta. Demu mmoja akawa anazungumza kuwa " wanawake tunapenda wanaume weusi warefu"
Baadae katika mazumgumzo akaropoka " napenda kuwa na watoto weupe"

Ilibidi nibaki njia panda, anapenda wanaume weusi warefu cha ajabu anataka watoto weupe.


Wanawake hawajui wanachokotaka.
Massawe mbona povu tena?

Mkeo si anakupenda?

Haya ni mambo 'superficial' hakuna tafiti zozote nyuma yake.

Mvuto ni suala mtambuka sana.
 
Ubaguzi unaanzaga hivi. Coz hata nikiwa vijiweni na washikaji hawaishi kuniponda, mara we jamaa mweupe sana. Watu weusi wana wana shida. Kwa nini?

Nimegundua
1. Watu weusi wakiona watu weupe wanawaponda sana. Watu weupe they don't care about black people
2. Watu wafupi wakiona watu warefu wanawaponda sana, too bad tall people don't care
3. Watu wembamba wakiona watu wakened utasikia unakula sana. Watu wanene hawajali kuhusu watu wembamba

Nifupishe: ukiwa mweupe, mnene, mrefu basi kwa kuwa wa tofauti katika society nyingi za kiafrila jua lazima utaandamwa kwa namna moja au nyingine. Mtazamo wangu

Back to the topic
Week iliuopita nilikuwa natuma mzigo posta. Demu mmoja akawa anazungumza kuwa " wanawake tunapenda wanaume weusi warefu"
Baadae katika mazumgumzo akaropoka " napenda kuwa na watoto weupe"

Ilibidi nibaki njia panda, anapenda wanaume weusi warefu cha ajabu anataka watoto weupe.


Wanawake hawajui wanachokotaka.

Black men look more masculine but weupe mbona hamna shida hataa. Jiamini
 
Katika mahusiano kila mtu huwa anahisia zake huyu anapenda hivi huyu anapenda vile sindiyo.

sasa hebu funguka hapa, wadada hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi


#nyumayapazia
Wewe unajua kabisa kuwa kila mtu ana uchaguzi wake. Kuna wanaopenda ma-black tii, kuna wanaopenda weupe kama ma-albino, kuna wanaopenda maji ya kunde, etc. Ndiyo maana huwezi kukuta aliyekosa mwenza wake.
 
Back
Top Bottom