Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza na warefu ..wamechukua points zote nyumbani na ugeniniWeusi wamechukua kura za kutosha mpaka sasa, na wale wanasemaga maji ya maharage ni weusi au weupe
Mbona umeongea kwa uchungu sana mkuu😃Ongeza na warefu ..wamechukua points zote nyumbani na ugenini
Wafupi imekula kwetu
Tuacheni hizi mambo jamani, wengi wetu tumezaliwa katika hizo dini tukajikuta na sisi humu wala hatukuwa na machaguo, wikiendi leo tuburudike sio tena mnapeana stressHapa utawafanya wakumbushe muhamad alivyomkiss mtoto wa kiume wa dada yake na kumnyonya mate. Kisha akawa anavaa nguo za wakeze. Epuka sana haya mambo.
Sasa mbona unamaliza sifa za kaka mzuri? 🤣🤣🤣Intelligent men are problem solvers and very sexy 🔥🔥
Aloo watuonee huruma tu kama hawawezi kutupendaOngeza na warefu ..wamechukua points zote nyumbani na ugenini
Wafupi imekula kwetu
Ni kweli kwa uchungu...wafupi tunanyanyasika sana ,we shahidi mkuu..pitia maoniMbona umeongea kwa uchungu sana mkuu😃
Kama hela unazo huwezi kupata shidaNi kweli kwa uchungu...wafupi tunanyanyasika sana ,we shahidi mkuu..pitia maoni
Huruma akuonee nani ? Kwenye mahusiano kuna kuoneana huruma?Aloo watuonee huruma tu kama hawawezi kutupenda
Hahaaa undramatic, peaceful and very confident 🔥🔥Sasa mbona unamaliza sifa za kaka mzuri? 🤣🤣🤣
Nilitaka kukwambia wapo romantic pia we ukajiongeza! Lol
Unachunwa tu kisha mtarudi kwa warefu wenu mka enjoy naoKama hela unazo huwezi kupata shida
Hahaha calm down buddy, utapata tu wa kukuonea hurumaHuruma akuonee nani ? Kwenye mahusiano kuna kuoneana huruma?
Tuwe wapole tu..ndio maana nakuaga mpole maana sifa sina
Kama huyo tresor mwingine anafanya kazi sawasawa, Hilo halina shidaUnachunwa tu kisha mtarudi kwa warefu wenu mka enjoy nao
Mweusi.Katika mahusiano kila mtu huwa anahisia zake huyu anapenda hivi huyu anapenda vile sindiyo.
sasa hebu funguka hapa, wadada hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi
#nyumayapazia
Hahahaha, hilo la kuonewa huruma sahau..hapa walau uwe na maokoto ..ila pia bado unabaki huna sifa zao..utachunwa tuHahaha calm down buddy, utapata tu wa kukuonea huruma
Wewe sio bure, umetumwa!Hahaaa undramatic, peaceful and very confident 🔥🔥
Hahahahaha, katika hizo sifa mlizotaja hilo halipo ujue ..hapa ni muonekano wa nje mnao upenda..hilo lingine si mpk ubahatike kukubaliwa ?Kama huyo tresor mwingine anafanya kazi sawasawa, Hilo halina shida