Jamanii I love you.Huruma akuonee nani ? Kwenye mahusiano kuna kuoneana huruma?
Tuwe wapole tu..ndio maana nakuaga mpole maana sifa sina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamanii I love you.Huruma akuonee nani ? Kwenye mahusiano kuna kuoneana huruma?
Tuwe wapole tu..ndio maana nakuaga mpole maana sifa sina
Wewe sio bure, umetumwa!
How comes unajua vyote?
Mmmh,HahahahaJamanii I love you.
🤣🤣🤣🤣Hadi dakika hii, huyu manzi nilie nae kazingatia maokoto
Tresor moyo hauna ubongo. Once someone loves you ni kakupenda tu so nothing else matters. Sometimes after breakup unajiuliza why was I even obsessed with him. That's pure loveHahahahaha, katika hizo sifa mlizotaja hilo halipo ujue ..hapa ni muonekano wa nje mnao upenda..hilo lingine si mpk ubahatike kukubaliwa ?
Mimi ni MujahedeenMisimamao yako nilidhaniaga wewe ni mujahedeen....😬
Bro ulijuaje huyu meku ni mweupe.Massawe mbona povu tena?
Mkeo si anakupenda?
Haya ni mambo 'superficial' hakuna tafiti zozote nyuma yake.
Mvuto ni suala mtambuka sana.
Hahahaha,hii kupeana moyo tu..uhalisia mmeisha usemaTresor moyo hauna ubongo. Once someone loves you ni kakupenda tu so nothing else matters. Sometimes after breakup unajiuliza why was I even obsessed with him. That's pure love
Sifa zote hizo ninazo.Hili swali kila siku jamani?
Mweusi, mwembamba, mrefu kiasi sio ngongoti na akiwa na akili nyingi ni added advantage.
Ndio kaka mzuri huyo mwenyewe, ah mi niuliwe tu!
Sifa zote hizo ninazo.Hili swali kila siku jamani?
Mweusi, mwembamba, mrefu kiasi sio ngongoti na akiwa na akili nyingi ni added advantage.
Ndio kaka mzuri huyo mwenyewe, ah mi niuliwe tu!
HahaaaaHahahaha,hii kupeana moyo tu..uhalisia mmeisha usema
Fact...Hizo ni tabia za inferiorityUbaguzi unaanzaga hivi. Coz hata nikiwa vijiweni na washikaji hawaishi kuniponda, mara we jamaa mweupe sana. Watu weusi wana wana shida. Kwa nini?
Nimegundua
1. Watu weusi wakiona watu weupe wanawaponda sana. Watu weupe they don't care about black people
2. Watu wafupi wakiona watu warefu wanawaponda sana, too bad tall people don't care
3. Watu wembamba wakiona watu wakened utasikia unakula sana. Watu wanene hawajali kuhusu watu wembamba
Nifupishe: ukiwa mweupe, mnene, mrefu basi kwa kuwa wa tofauti katika society nyingi za kiafrila jua lazima utaandamwa kwa namna moja au nyingine. Mtazamo wangu
Back to the topic
Week iliuopita nilikuwa natuma mzigo posta. Demu mmoja akawa anazungumza kuwa " wanawake tunapenda wanaume weusi warefu"
Baadae katika mazumgumzo akaropoka " napenda kuwa na watoto weupe"
Ilibidi nibaki njia panda, anapenda wanaume weusi warefu cha ajabu anataka watoto weupe.
Wanawake hawajui wanachokotaka.
Unataka kujichubua sio? Jikubali manKatika mahusiano kila mtu huwa anahisia zake huyu anapenda hivi huyu anapenda vile sindiyo.
sasa hebu funguka hapa, wadada hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi
#nyumayapazia
Mbona Sasa unauliza kuhusu mtume wako?Mimi ni Mujahedeen
Huwa nawasoma vzr sana humu...kuna aina ya watu humu dah.. ndio maana najifunza vingi humuHahaaaa
Haya Tresor Mandala useme sasa huna bahati dodo hilo limedondokaJamanii I love you.
Mwambie unanipenda mieYeyote yule tu mwenye heshima,upendo na kujali