Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
πππππππππSema unajikubali kibingwa tu! Ukikutana na mtoto mzur Kwa mara ya kwanza usishuke kwenye gari... inatakiwa aone kimo chako siku anaenda kutumikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππππSema unajikubali kibingwa tu! Ukikutana na mtoto mzur Kwa mara ya kwanza usishuke kwenye gari... inatakiwa aone kimo chako siku anaenda kutumikia
Hahahaha, na marafiki hakuna kufika wala out humtoi ?Inabidi uhakikishe anakaa ndani tu geti Kali, hakuna kutoka
Ni kamzozoπππππ
Ona sasa ulivyo haujikubaliππ, kwani unataka kusema ni mfupi Sana kama naniliiHahahaha, na marafiki hakuna kufika wala out humtoi ?
Kwakweli naonaNi kamzozo
Huu ufup afu mnene mweusi tunashida aiseTuanze na wewe tujue ni me au ke
Kwenye masimulizi huwa wanataka wanaume weusi wanaofanya mazoezi, kwenye picha wanataka mweupe, kuzaa wanatamani kuzaa na mwanaume mweupe na mtoto awe mweupe, kwenye maisha halisi huwa wanatafuta wanaume wenye vitambi na weusi.Katika mahusiano kila mtu huwa anahisia zake huyu anapenda hivi huyu anapenda vile sindiyo.
sasa hebu funguka hapa, wadada hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi
#nyumayapazia
Wadada kwenye kutoa marks wanakuaga mafwala sana ila sisi hata kama mwenetu akiomba tuweke marks kwa chopper yake huwa tunampamba ila akishakula taratibu tunaanza kumkumbusha Hapo sioHahahaha, sasa uwe na gari , ila walivyo na mbinu atakushusha ili rafiki watoe points, hapo ndio unapopata zeroo
HahahahaOna sasa ulivyo haujikubaliππ, kwani unataka kusema ni mfupi Sana kama nanilii
Haya bhana πππHahahaha
Dah, we acha tu ,nishapoteza sana points kwa style hiyoWadada kwenye kutoa marks wanakuaga mafwala sana ila sisi hata kama mwenetu akiomba tuweke marks kwa chopper yake huwa tunampamba ila akishakula taratibu tunaanza kumkumbusha Hapo sio
Amegoma ngoja nitafute mfupi mwingine.Haya Tresor Mandala useme sasa huna bahati dodo hilo limedondoka
Mchawi ufupiHaya bhana πππ
Tatizo kujiamini tu mkuuMchawi ufupi
Hahahaha, sijagoma ila najua anazugaAmegoma ngoja nitafute mfupi mwingine.
HahahahaTatizo kujiamini tu mkuu
Usihangaike nipo hapaAmegoma ngoja nitafute mfupi mwingine.
Nina uzoefu mkuu, nawajuaTatizo kujiamini tu mkuu
ππππMi jua likiwaka nakua mweupe kukiwa na mawingu naonekana na ublack flani hivi wa kisomali nafikiri nakufaa maana mi ndo huyo yeyote uliemtaja