Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Basi sawaNina uzoefu mkuu, nawajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawaNina uzoefu mkuu, nawajua
Hata Shetani ni mweusi .
Endeleeni kupenda Mashetan.
2024 imekuja vizuriUsihangaike nipo hapa
Hapa utawafanya wakumbushe muhamad alivyomkiss mtoto wa kiume wa dada yake na kumnyonya mate. Kisha akawa anavaa nguo za wakeze. Epuka sana haya mambo.
Ubaguzi unaanzaga hivi. Coz hata nikiwa vijiweni na washikaji hawaishi kuniponda, mara we jamaa mweupe sana. Watu weusi wana wana shida. Kwa nini?
Nimegundua
1. Watu weusi wakiona watu weupe wanawaponda sana. Watu weupe they don't care about black people
2. Watu wafupi wakiona watu warefu wanawaponda sana, too bad tall people don't care
3. Watu wembamba wakiona watu wakened utasikia unakula sana. Watu wanene hawajali kuhusu watu wembamba
Nifupishe: ukiwa mweupe, mnene, mrefu basi kwa kuwa wa tofauti katika society nyingi za kiafrila jua lazima utaandamwa kwa namna moja au nyingine. Mtazamo wangu
Back to the topic
Week iliuopita nilikuwa natuma mzigo posta. Demu mmoja akawa anazungumza kuwa " wanawake tunapenda wanaume weusi warefu"
Baadae katika mazumgumzo akaropoka " napenda kuwa na watoto weupe"
Ilibidi nibaki njia panda, anapenda wanaume weusi warefu cha ajabu anataka watoto weupe.
Wanawake hawajui wanachokotaka.
Hahahaha2024 imekuja vizuri
Wewe mbona hujasema unachagua bwana mwenye sifa gani akakutoe rindaHapa utawafanya wakumbushe muhamad alivyomkiss mtoto wa kiume wa dada yake na kumnyonya mate. Kisha akawa anavaa nguo za wakeze. Epuka sana haya mambo.
Awe mweusi au mweupe ili mradi tu anizidi urefu.
Yaani,ila ana kitu.Huyu jamaa hajawahi eleweka kila siku ni new version dkk yeyote anakuja kivyovyote
Jitahidi ujiupdate 😁Hizo sifa zote sina sijui nitakuwa mgeni wa nani mie
JamiiForums is an open forums,ukisha weka jambo hapa basi linakua sio lako tena na kila mtu anakua huru kuchangia,Oya punguza Sasa shobo maana nlkuwa sjakuuliza Wewe ..kama unataka sana shobo msaidie mjibie Hilo swali
Yaani vijana mnashida sana, umesema kila mtu anavutiwa na rangi tofauti, huoni umeufunga uzi?Katika mahusiano kila mtu huwa anahisia zake huyu anapenda hivi huyu anapenda vile sindiyo.
sasa hebu funguka hapa, wadada hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi
#nyumayapazia
Ngoja nikuitie Smart 😂😂😂Yoyote yule mwenye Utu na Utulivu
Inaonyesha unaye mweusi wako.Usifananishe wakaka weusi, rangi ya ngamia na vitu vingine pleaseeeee😂
Plus awe mrefu😍
Nimeamini humu kweli wqtu wana id mbilimbili😂Inaonyesha unaye mweusi wako.
Hebu tutajie sifa zake zaidi
Imekuwaje tena?Nimeamini humu kweli wqtu wana id mbilimbili😂
Nimeamini humu kweli wqtu wana id mbilimbili😂
Mbona unacheka mkuu?