Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Swali kwa wanawake, hivi kati ya mwanaume mweusi na mweupe yupi anakuvutia zaidi?

Kiuhalisia ni nadra sana mwanamke kumpenda mwanaume mweupe.

Yaani unakuta mwanaume ana rangi ya mtume inawakawaka kuliko mwanamke, hawezi akampenda ataonyesha kumchukia kwa sababu anaona mwanaume kabarikiwa vitu ambavyo yeye mwanamke ndo anatamani angekuwa navyo hapo lazima aonyeshe chuki inayochangiwa na wivu.

We jiulize kwa nini wanapishana kwenye maduka ya vipodozi wanatumia gharama kuutafuta muonekana ambao mwanaume mweupe anao bure, lazima kuwe na bifu hapo, wataishia oooh nataka mwanaume mweusi mreu, ila wanapenda watoto wawe weupe, mwanamke akiwa na mtoto mweusi huwezi ukaona anapiga nae picha nakuuza sura mtandaoni.

Demu anakutana na mwanaume mweupe handsome ana nuru ya sura yaani kiufupi mwanaume mzuri kuliko demu afu unategemea demu ampende, mademu wenyewe wao kwa wao huwa wanaoneana wivu akikutana na wanawake wenye mvuto zaidi yake ndo maana utawaona wanapotembea huwa ni kimagrupu, grupu hili sura za wajomba, hawa sura za baba, hawa wenye unafuu, na pisi kali nao huwa wanajitenga wenye mvuto unaofanana kuepusha jealous na bifu kwa wale mvutoless.

Kwa experience yangu wanawake wenye pigo za napenda mwanaume mweusi mrefu, wengi wao huwa hawana mvuto afu wana trauma ya kutotongozwa, ama kusimamishwa njiani kuombwa namba na mahandsome enzi za usichana wao, hivyo wanapsychological effect inayopelekea chuki kwa mahandsome mawaiti wanawaita mabishoo si unajua mabishoo wanapendaga pisi za kwenda afu huwa hazipingi.
 
Kiuhalisia ni nadra sana mwanamke kumpenda mwanaume mweupe.

Yaani unakuta mwanaume ana rangi ya mtume inawakawaka kuliko mwanamke, hawezi akampenda ataonyesha kumchukia kwa sababu anaona mwanaume kabarikiwa vitu ambavyo yeye mwanamke ndo anatamani angekuwa navyo hapo lazima aonyeshe chuki inayochangiwa na wivu.

We jiulize kwa nini wanapishana kwenye maduka ya vipodozi wanatumia gharama kuutafuta muonekana ambao mwanaume mweupe anao bure, lazima kuwe na bifu hapo, wataishia oooh nataka mwanaume mweusi mreu, ila wanapenda watoto wawe weupe, mwanamke akiwa na mtoto mweusi huwezi ukaona anapiga nae picha nakuuza sura mtandaoni.

Demu anakutana na mwanaume mweupe handsome ana nuru ya sura yaani kiufupi mwanaume mzuri kuliko demu afu unategemea demu ampende, mademu wenyewe wao kwa wao huwa wanaoneana wivu akikutana na wanawake wenye mvuto zaidi yake ndo maana utawaona wanapotembea huwa ni kimagrupu, grupu hili sura za wajomba, hawa sura za baba, hawa wenye unafuu, na pisi kali nao huwa wanajitenga wenye mvuto unaofanana kuepusha jealous na bifu kwa wale mvutoless.

Kwa experience yangu wanawake wenye pigo za napenda mwanaume mweusi mrefu, wengi wao huwa hawana mvuto afu wana trauma ya kutotongozwa, ama kusimamishwa njiani kuombwa namba na mahandsome enzi za usichana wao, hivyo wanapsychological effect inayopelekea chuki kwa mahandsome mawaiti wanawaita mabishoo si unajua mabishoo wanapendaga pisi za kwenda afu huwa hazipingi.
Duh
 
Back
Top Bottom