Rublicant ambayo ni water based ni msaada mkubwa kwa wanao tumia condom. Hasa kwa wanawake walio na less natural rublicant! Mate usiyatumia ya naweza kuwa chanzo za UTI! au STD!Kwani mate hayasaidii kulainisha? Kuna wanawake hawana mate pia?
Hoja hii inakwama kwa kuwa huyu mtu hajaoa,kwa umri haijulikani ana tatizo ganiRublicant ambayo ni water based ni msaada mkubwa kwa wanao tumia condom. Hasa kwa wanawake walio na less natural rublicant! Mate usiyatumia ya naweza kuwa chanzo za UTI! au STD!
Huyu Polepole hana mke ndio maana anaingia kwenye kundi la wahuni kwa tabia zake za uzinifu.Sugu naye ni Mjinga tu
Unajua mpaka nawashangaa
K-Y ni water based kilainishi ambacho kazi yake nikutumika wakati wa Tendo.
Wanaume wengine wanatumia kupigia punyeto.
Kuna wanawake kwasababu za kihomoni, UKE wao nimkavu, hata umwandae vipi yeye nimkavu, wanawake hawa huchubuka kirahisi na hawafurahii tendo ,lkn pia nihatari kwa mwanaume.
Watu wa aina hiyo, Tunawashauri watumie K-Y Jelly..
Sio tu mpaka uwe na shida hizo, hata km hauna, kwa usalama Zaidi ,na ukizingatia matumizi ya kondom, kondom inawah kuisha mafuta, ivo kutumia KY ni chaguo sahihi.
KWA UPINZANI WA KIPUUZI NAMNA HIYO. UPINZANI, USAHAU KUBEBA NCHI.!!.
SIO SALAMA KWA AFYA YA UKE.Kwani mate hayasaidii kulainisha? Kuna wanawake hawana mate pia?
Akuondolewa na Rais Samia ameondolewa Hayati Magufuli kwa kumteua kuwa Mbunge
Ukibeba full package utakuta viongozi wengi chamani na serikalini wachafu sana kwenye Mambo Yao binafsi wana adabu kazini lakini kibinafsi wako hovyo sana wahuni wa kutupwa
Hakuna uhuni mbaya kama wa kupora Mali za chama au serikali
Tabia binafsi hazipaswi kuingizwa katika masuala ya umma; hata wewe baadhi ya mambo unayofanya hayakubaliki kiimani na oia yana athari kwa jamii japo sio moja kwa moja.Lazima tujue tabia binafsi za viongozi,zinaweza kuathiri mustakabali wa taifa baadae, kama ana tabia hizo tujue, maana anavyopiga mdomo anatoa kiashiria fulani
Wazungu wanapigia debe ushoga na vilainishi,huyu akipewa madaraka makubwa atapitisha hii ajenda fastaTabia binafsi hazipaswi kuingizwa katika masuala ya umma; hata wewe baadhi ya mambo unayofanya hayakubaliki kiimani na oia yana athari kwa jamii japo sio moja kwa moja.
Mjaji kwa matendo yake kwa umma; watu weusi tunapenda sana vitu privy badala ya nambo ya msingi. Hatuongozwi na malaika bali wanadamu wenzetu na kila mmoja ana interest yake binafsi.
Ukweli chuki dhidi ya Polepile ni kwa kuwa tu alikuwa mfuasi wa JPM. Muwe objective katika jambo lolote lile unaloamua kujadili.
Kwani ni ya matumizi gani kutoka kwa mtengenezaji?Soma ujiView attachment 2057144SWALI-nani analiwa kupitia haya mafuta?
Kati ya Polepole na Lissu nani anaunga mkono ushoga? Au wewe sio mfuatiliaji wa hoja / ahadi za uchaguzi?Wazungu wanapigia debe ushoga na vilainishi,huyu akipewa madaraka makubwa atapitisha hii ajenda fasta
Kuulizwa matumizi ya ky iliyo kutwa kwa muhuni mnawaka, vp wakati ule mlivyokuwa mnamuita TL kuwa ni [emoji2380]? Msiwatendee watu vitu msivyopenda kutendewaSugu naye ni Mjinga tu
Unajua mpaka nawashangaa
K-Y ni water based kilainishi ambacho kazi yake nikutumika wakati wa Tendo.
Wanaume wengine wanatumia kupigia punyeto.
Kuna wanawake kwasababu za kihomoni, UKE wao nimkavu, hata umwandae vipi yeye nimkavu, wanawake hawa huchubuka kirahisi na hawafurahii tendo ,lkn pia nihatari kwa mwanaume.
Watu wa aina hiyo, Tunawashauri watumie K-Y Jelly..
Sio tu mpaka uwe na shida hizo, hata km hauna, kwa usalama Zaidi ,na ukizingatia matumizi ya kondom, kondom inawah kuisha mafuta, ivo kutumia KY ni chaguo sahihi.
KWA UPINZANI WA KIPUUZI NAMNA HIYO. UPINZANI, USAHAU KUBEBA NCHI.!!.