Hahaa... sasa hapo siunaweza kuanzisha taifa lako mkuuKifupi ni wengi kuna siku niliwaandika kwenye Notebook walifika 367 niliokuwa nakumbuka.
Hahaa... sasa hapo siunaweza kuanzisha taifa lako mkuu
Daah umetisha sana ... nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe[emoji22][emoji22][emoji22] Kuna wapinzani wengi ndiyo maana mpango huo ulikufa.
Daah umetisha sana ... nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe
Muongo wewe tenaaa
Wanajaa mwendo kasi
Uchokozi sasa huoooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]