Sweden: Aliyechoma moto Quran auawa kwa kupigwa risasi

Sweden: Aliyechoma moto Quran auawa kwa kupigwa risasi

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Amani kwenu wakuu

Watu wameona kuendelea kumwachia MUNGU haiwezekan wameamua watende wenyewe, maana wameona MUNGU mwenyewe hampi ukichaa yule jamaa aliye choma Quran bali anazidi kudunda na kunenepa kila siku
==================

Mwanaharakati anayeupinga Uislamu Salwan Momika amepigwa risasi na kuuwawa saa chache kabla ya kuingia mahakamani kusikiliza hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili kuhusiana na matendo yake ya kukichoma moto kitabu kitakatifu kwa waislamu Quran.

Polisi nchini Sweden imesema inawashikilia watu watano kuhusisna na tukio hilo.

Mwaka 2023, Salwan alifanya matukio kadhaa ya kuzichoma moto na kuzinajisi nakala za Quran katika kile alichosema ni kuilinda jamii ya Sweden dhidi ya mafundisho ya kitabu hicho cha kidini.

SAYUNI BOY
 
Amani kwenu wakuu

Watu wameona kuendelea kumwachia MUNGU haiwezekan wameamua watende wenyewe, maana wameona MUNGU mwenyewe hampi ukichaa yule jamaa aliye choma Quran bali anazidi kudunda na kunenepa kila siku
==================

Mwanaharakati anayeupinga Uislamu Salwan Momika amepigwa risasi na kuuwawa saa chache kabla ya kuingia mahakamani kusikiliza hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili kuhusiana na matendo yake ya kukichoma moto kitabu kitakatifu kwa waislamu Quran.

Polisi nchini Sweden imesema inawashikilia watu watano kuhusisna na tukio hilo.

Mwaka 2023, Salwan alifanya matukio kadhaa ya kuzichoma moto na kuzinajisi nakala za Quran katika kile alichosema ni kuilinda jamii ya Sweden dhidi ya mafundisho ya kitabu hicho cha kidini.

SAYUNI BOY
View attachment 3219056
Dini hizi ...
 
Amani kwenu wakuu

Watu wameona kuendelea kumwachia MUNGU haiwezekan wameamua watende wenyewe, maana wameona MUNGU mwenyewe hampi ukichaa yule jamaa aliye choma Quran bali anazidi kudunda na kunenepa kila siku
==================

Mwanaharakati anayeupinga Uislamu Salwan Momika amepigwa risasi na kuuwawa saa chache kabla ya kuingia mahakamani kusikiliza hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili kuhusiana na matendo yake ya kukichoma moto kitabu kitakatifu kwa waislamu Quran.

Polisi nchini Sweden imesema inawashikilia watu watano kuhusisna na tukio hilo.

Mwaka 2023, Salwan alifanya matukio kadhaa ya kuzichoma moto na kuzinajisi nakala za Quran katika kile alichosema ni kuilinda jamii ya Sweden dhidi ya mafundisho ya kitabu hicho cha kidini.

SAYUNI BOY
View attachment 3219056
Kumuua Salwan ambaye alikuwa anelekea Mahakamani alikoshtakiwa kwa makosa ya kuchoma Quran kunathiibitisha kuwa vitendo vya Salwan kuchoma Quran vilikuwa sawa na HALALI.

Tuendelee kuchoma kitabu cha shetani kama alivyogundua Salman Rushdie mwaka 1979 kwenye Satanic verses
 
Kila siku nawaambia watu unaweza ukamtukana Yesu katika ya soko na bado ukatoka salama bila mchubuko wowote ule. Sisi tunaamini kama uliyemtukana ni Yesu mwenyewe basi yeye mwenye atadili na wewe kwa wakati wake.

Tunayeamini ana nguvu kupita kiumbe chochote duniani halafu tuanze tena kumpania anapokeliwa kwa kuchukua mapanga kuwacharanga wengine, kweli?
 
Kila siku nawaambia watu unaweza ukamtukana Yesu katika ya soko na bado ukatoka salama bila mchubuko wowote ule. Sisi tunaamini kama uliyemtukana ni Yesu mwenyewe basi yeye mwenye atadili na wewe kwa wakati wake.

Tunayeamini ana nguvu kupita kiumbe chochote duniani halafu tuanze tena kumpania anapokeliwa kwa kuchukua mapanga kuwacharanga wengine, kweli?
Unadhani wakati wa Musa mtu angemtusi Mungu au torati angeachwa salama?
 
Siku ya Malipo bado Haijafika.Mungu Akikulipa Duniani ni kwa Mapenzi yake Akikuacha Ni Kwa Mapenzi Yake Na Allah Ndo Mjuzi wa Mambo.Kama Hiyo Quran Ingemletea Madhara Mngesema Waislamu Wachawi Kitabu Chao Cha Majini,Isipoleta Madhara Mungu Kashindwa Ndo Sifa Za Makafiri
 
Amani kwenu wakuu

Watu wameona kuendelea kumwachia MUNGU haiwezekan wameamua watende wenyewe, maana wameona MUNGU mwenyewe hampi ukichaa yule jamaa aliye choma Quran bali anazidi kudunda na kunenepa kila siku
==================

Mwanaharakati anayeupinga Uislamu Salwan Momika amepigwa risasi na kuuwawa saa chache kabla ya kuingia mahakamani kusikiliza hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili kuhusiana na matendo yake ya kukichoma moto kitabu kitakatifu kwa waislamu Quran.

Polisi nchini Sweden imesema inawashikilia watu watano kuhusisna na tukio hilo.

Mwaka 2023, Salwan alifanya matukio kadhaa ya kuzichoma moto na kuzinajisi nakala za Quran katika kile alichosema ni kuilinda jamii ya Sweden dhidi ya mafundisho ya kitabu hicho cha kidini.

SAYUNI BOY
View attachment 3219056
Bado kuna mataahira wanauawana kwa upuuzi kama huu kweli? Kweli watasha na wamanga walituweza. Ajabu, juha kama hili ukilitukania wazazi, linakimbilia polisi.
 
ALIYECHOMA KITABU KITUKUFU CHA QUR-AN NCHINI SWEDEN MWAKA 2023 Salwan Momika
APIGWA RISASI NA KUFARIKI JUMATANO USIKU.

Salwan Momika, Who Burnt Quran In 2023, Shot Dead Ahead Of Court Hearing In Sweden.

1738264556863.png




---
Salwan Momika, mchomaji wa Kuran na mkimbizi kutoka Iraq, ameuawa kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwake huko Södertälje, karibu na Stockholm, Uswidi.

Kulingana na ripoti Momika alikuwa akifanya matangazo ya moja kwa moja wakati wa tukio hilo.

Polisi walifika nyumbani kwake na kusitisha matangazo hayo.

Tayari watu watano wamekamatwa kuhusiana na tukio hilo, huku uchunguzi wa mauaji hayo ukiendelea.
 
Siku ya Malipo bado Haijafika.Mungu Akikulipa Duniani ni kwa Mapenzi yake Akikuacha Ni Kwa Mapenzi Yake Na Allah Ndo Mjuzi wa Mambo.Kama Hiyo Quran Ingemletea Madhara Mngesema Waislamu Wachawi Kitabu Chao Cha Majini,Isipoleta Madhara Mungu Kashindwa Ndo Sifa Za Makafiri

Quran haijawai kumletea mtu madhara ila binadamu ndio wanamletea mtu madhara kwa kumpigania Allah.

Mbagala ilikojolewa ila Allah hakufanya chochote. Ila binadamu wa kiislamu ndio wakaenda kuchoma makanisa
 
Quran haijawai kumletea mtu madhar ila binadamu ndio wanamletea mtu madhara kwa kumpigania Allah.

Mbagala ilikojolewa ila Allah hakufanya chochote. Ila binadamu wa kiislamu ndio wakaenda kuchoma makanisa
Korani si kitabu kama vingine villivyosheheni za pwagu na pwaguzi zinazoitwa za kimungu tu. Ni machizi na majuha wanaouana kwa ajili ya makaratasi.
 
Korani si kitabu kama vingine villivyosheheni za pwagu na pwaguzi zinazoitwa za kimungu tu. Ni machizi na majuha wanaouana kwa ajili ya makaratasi.
Unaonaje wewe ujirikodi kwenye youtube na uchome kitabu cha waislam Quran uone na wewe kama watakuacha hai Waislam? Utajibeba mwenyewe ukiona kitabu chao waislam ni kama ni hadithi ya pwagu na pwaguzi au ni makaratasi ?Fanya ili na wewe tukuona kama alivyo kijana Salwan Momika.
 
Back
Top Bottom