Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Na yeye kwanini alichoma kitabu cha keep left.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu waheshimu dini za watu , itapendezaAmani kwenu wakuu
Watu wameona kuendelea kumwachia MUNGU haiwezekan wameamua watende wenyewe, maana wameona MUNGU mwenyewe hampi ukichaa yule jamaa aliye choma Quran bali anazidi kudunda na kunenepa kila siku
==================
Mwanaharakati anayeupinga Uislamu Salwan Momika amepigwa risasi na kuuwawa saa chache kabla ya kuingia mahakamani kusikiliza hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili kuhusiana na matendo yake ya kukichoma moto kitabu kitakatifu kwa waislamu Quran.
Polisi nchini Sweden imesema inawashikilia watu watano kuhusisna na tukio hilo.
Mwaka 2023, Salwan alifanya matukio kadhaa ya kuzichoma moto na kuzinajisi nakala za Quran katika kile alichosema ni kuilinda jamii ya Sweden dhidi ya mafundisho ya kitabu hicho cha kidini.
SAYUNI BOY
Kwa hiyo kwa case mezani mlipoona ameshindwa mkaamua mumsaidie siyo?Siku ya Malipo bado Haijafika.Mungu Akikulipa Duniani ni kwa Mapenzi yake Akikuacha Ni Kwa Mapenzi Yake Na Allah Ndo Mjuzi wa Mambo.Kama Hiyo Quran Ingemletea Madhara Mngesema Waislamu Wachawi Kitabu Chao Cha Majini,Isipoleta Madhara Mungu Kashindwa Ndo Sifa Za Makafiri
Huyo Mungu wenu mnao sema haitaji kupiganiwa na mwanadamu,kila kitu anaweza kujifanyia mwenyewe mbona hajawahi kushuka na kujenga kanisa badala yake mnategemea kukamua watu michango?Uislamu unapiganiwa na waumini maana Allah hana nguvu ya kujipigania
Mijitu ina sura za kiuaji hii
Watu hutenda kwa niaba ya mungu! Humlingania mungu wao.Amani kwenu wakuu
Watu wameona kuendelea kumwachia MUNGU haiwezekan wameamua watende wenyewe, maana wameona MUNGU mwenyewe hampi ukichaa yule jamaa aliye choma Quran bali anazidi kudunda na kunenepa kila siku
==================
Mwanaharakati anayeupinga Uislamu Salwan Momika amepigwa risasi na kuuwawa saa chache kabla ya kuingia mahakamani kusikiliza hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili kuhusiana na matendo yake ya kukichoma moto kitabu kitakatifu kwa waislamu Quran.
Polisi nchini Sweden imesema inawashikilia watu watano kuhusisna na tukio hilo.
Mwaka 2023, Salwan alifanya matukio kadhaa ya kuzichoma moto na kuzinajisi nakala za Quran katika kile alichosema ni kuilinda jamii ya Sweden dhidi ya mafundisho ya kitabu hicho cha kidini.
SAYUNI BOY
Kwa hiyo wewe hapa unaishi wakati wa Musa?Unadhani wakati wa Musa mtu angemtusi Mungu au torati angeachwa salama?
Miujiza ipi tena zaidi ya kutwanga risasi chini ya ulinzi, na zimepenya 😄 🤣 bora wamemuwahisha alipo taka kwenda.Kwanini wasiache atendewe miujiza
Huyo Mungu wenu mnao sema haitaji kupiganiwa na mwanadamu,kila kitu anaweza kujifanyia mwenyewe mbona hajawahi kushuka na kujenga kanisa badala yake mnategemea kukamua watu michango?
Au mbona hajawahi kushuka akajihubiri mwenyewe badala yake anawategemea wanadamu waje kutupigia kelele mitaani waki muhubiri?
Au mbona hashushi biblia kutoka mbinguni badala mnaenda kununua zilizo chapishwa na wanadamu?
Una akili fupi sana 🚮🚮🚮Miujiza ipi tena zaidi ya kutwanga risasi chini ya ulinzi, na zimepenya 😄 🤣 bora wamemuwahisha alipo taka kwenda.
Huyo jamaa yupo katika matukio Mengi ya kihalifu Duniani, Nina uhakika 99% humu hata hamumjui ila Kwa Chuki zenu dhidi ya uisilamu munashabikia tuAmani kwenu wakuu
Watu wameona kuendelea kumwachia MUNGU haiwezekan wameamua watende wenyewe, maana wameona MUNGU mwenyewe hampi ukichaa yule jamaa aliye choma Quran bali anazidi kudunda na kunenepa kila siku
==================
Mwanaharakati anayeupinga Uislamu Salwan Momika amepigwa risasi na kuuwawa saa chache kabla ya kuingia mahakamani kusikiliza hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili kuhusiana na matendo yake ya kukichoma moto kitabu kitakatifu kwa waislamu Quran.
Polisi nchini Sweden imesema inawashikilia watu watano kuhusisna na tukio hilo.
Mwaka 2023, Salwan alifanya matukio kadhaa ya kuzichoma moto na kuzinajisi nakala za Quran katika kile alichosema ni kuilinda jamii ya Sweden dhidi ya mafundisho ya kitabu hicho cha kidini.
SAYUNI BOY
Zimefanana na zako 🤣Una akili fupi sana 🚮🚮🚮
Sawa bwana zuzuZimefanana na zako 🤣
Wapuuzi kweli wameona albadili haifanyi kaziAmani kwenu wakuu
Watu wameona kuendelea kumwachia MUNGU haiwezekan wameamua watende wenyewe, maana wameona MUNGU mwenyewe hampi ukichaa yule jamaa aliye choma Quran bali anazidi kudunda na kunenepa kila siku
==================
Mwanaharakati anayeupinga Uislamu Salwan Momika amepigwa risasi na kuuwawa saa chache kabla ya kuingia mahakamani kusikiliza hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili kuhusiana na matendo yake ya kukichoma moto kitabu kitakatifu kwa waislamu Quran.
Polisi nchini Sweden imesema inawashikilia watu watano kuhusisna na tukio hilo.
Mwaka 2023, Salwan alifanya matukio kadhaa ya kuzichoma moto na kuzinajisi nakala za Quran katika kile alichosema ni kuilinda jamii ya Sweden dhidi ya mafundisho ya kitabu hicho cha kidini.
SAYUNI BOY