Sweden: Aliyechoma moto Quran auawa kwa kupigwa risasi

Sweden: Aliyechoma moto Quran auawa kwa kupigwa risasi

Sitetei uislamu au dini yeyote, ila kitendo cha kuchoma maandiko anayoyaona mwenzako ni matakatifu huo ni upungufu wa akili,na akikuchukulia hatua yeyote ile kutetea imani yake hana hatia. Ndugu zangu tumepewa uhuru wa kuabudu,kuchagua dini,kwa nn uingilie imani au dini ya mwingine? Rubbish
Kama kuchoma vikaratasi ni jambo nyeti sana hata kusimama kwenye majukwaa na kusema dini zingine sio halali ila yako ndo ya haki hiyo nayo ni ukosefu wa akili na maadili huyo mwarabu aliyechoma hizo misaafu yeye sio wa kwanza anafuata nyayo za Hazrat uthman hata yeye alizichoma taka taka za mwanzoni hawa wa Sasa wanamalizia tu
 
Kama kuchoma vikaratasi ni jambo nyeti sana hata kusimama kwenye majukwaa na kusema dini zingine sio halali ila yako ndo ya haki hiyo nayo ni ukosefu wa akili na maadili huyo mwarabu aliyechoma hizo misaafu yeye sio wa kwanza anafuata nyayo za Hazrat uthman hata yeye alizichoma taka taka za mwanzoni hawa wa Sasa wanamalizia tu
Leo unaandika ujinga ujinga tu mkuu shida nini? Uthman (radhiallahu anhu) alichoma ile misahafu kwa sababu watu waliibadili kuileta kwenye lahaja na lugha zao ambazo baadhi ilibidi wapunguze au kuongeza hirabu, maneno au herufi kuweza ku fit matamshi na kuleta maana kwenye lugha hizo hivyo wakakuta maana halisi imebadilika .

Hivyo uthman ( radhiallau anhu) alipopata taarifa hizo alitoa chapa halisi ya quran ambayo ilinukuliwa kama ilivyoshuka ( kumbuka swahaba walisikia quran kwa mtume muhammad (peace be upon him) na ikawachukua muda mrefu mno kui compile na ilitumika kazi kubwa mno mpaka kuinukuuu yote ) .

Hivyo aliamrisha misahafu yoote niliyotaja hapo juu ichomwe na kuwapatia watu wajifunze sasa ile halisi ambayo hawakuwa wame i edit ku fit matamshi na lahaja zao .

n.b
Siku nyengine ukichangia mada ulete ikiwa imeshiba kama hivyo.
 
Kama kuchoma vikaratasi ni jambo nyeti sana hata kusimama kwenye majukwaa na kusema dini zingine sio halali ila yako ndo ya haki hiyo nayo ni ukosefu wa akili na maadili huyo mwarabu aliyechoma hizo misaafu yeye sio wa kwanza anafuata nyayo za Hazrat uthman hata yeye alizichoma taka taka za mwanzoni hawa wa Sasa wanamalizia tu
Kwanini alichoma?
 
Sitetei uislamu au dini yeyote, ila kitendo cha kuchoma maandiko anayoyaona mwenzako ni matakatifu huo ni upungufu wa akili,na akikuchukulia hatua yeyote ile kutetea imani yake hana hatia. Ndugu zangu tumepewa uhuru wa kuabudu,kuchagua dini,kwa nn uingilie imani au dini ya mwingine? Rubbish
Vipi kuhusu kitendo cha ku uninstall. App ya Qoran kutoka kwenye electronic device app hiyo ya maandiko ambayo mwingine anaona ni matakatifu? Nao ni upungufu wa akili?
 
Leo unaandika ujinga ujinga tu mkuu shida nini? Uthman (radhiallahu anhu) alichoma ile misahafu kwa sababu watu waliibadili kuileta kwenye lahaja na lugha zao ambazo baadhi ilibidi wapunguze au kuongeza hirabu, maneno au herufi kuweza ku fit matamshi na kuleta maana kwenye lugha hizo hivyo wakakuta maana halisi imebadilika .

Hivyo uthman ( radhiallau anhu) alipopata taarifa hizo alitoa chapa halisi ya quran ambayo ilinukuliwa kama ilivyoshuka ( kumbuka swahaba walisikia quran kwa mtume muhammad (peace be upon him) na ikawachukua muda mrefu mno kui compile na ilitumika kazi kubwa mno mpaka kuinukuuu yote ) .

Hivyo aliamrisha misahafu yoote niliyotaja hapo juu ichomwe na kuwapatia watu wajifunze sasa ile halisi ambayo hawakuwa wame i edit ku fit matamshi na lahaja zao .

n.b
Siku nyengine ukichangia mada ulete ikiwa imeshiba kama hivyo.
Kwa hio ilichomwa Quran ila iliyoongezwa maneno ila si Quran au gazette?
 
Back
Top Bottom