Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MhhAllah kwa umbo la binadamu amejifunza kutumia silaha na kulipiza kisasi 😎
SweetyCandy upo arusha sehemu gani nikuunganishe na mdogo wangu hapo?
Kama kuchoma vikaratasi ni jambo nyeti sana hata kusimama kwenye majukwaa na kusema dini zingine sio halali ila yako ndo ya haki hiyo nayo ni ukosefu wa akili na maadili huyo mwarabu aliyechoma hizo misaafu yeye sio wa kwanza anafuata nyayo za Hazrat uthman hata yeye alizichoma taka taka za mwanzoni hawa wa Sasa wanamalizia tuSitetei uislamu au dini yeyote, ila kitendo cha kuchoma maandiko anayoyaona mwenzako ni matakatifu huo ni upungufu wa akili,na akikuchukulia hatua yeyote ile kutetea imani yake hana hatia. Ndugu zangu tumepewa uhuru wa kuabudu,kuchagua dini,kwa nn uingilie imani au dini ya mwingine? Rubbish
EhSweetyCandy upo arusha sehemu gani nikuunganishe na mdogo wangu hapo?
Asanteniambie SweetyCandy chukua namba yangu unipigie dk5 naifuta coment0689263270
Leo unaandika ujinga ujinga tu mkuu shida nini? Uthman (radhiallahu anhu) alichoma ile misahafu kwa sababu watu waliibadili kuileta kwenye lahaja na lugha zao ambazo baadhi ilibidi wapunguze au kuongeza hirabu, maneno au herufi kuweza ku fit matamshi na kuleta maana kwenye lugha hizo hivyo wakakuta maana halisi imebadilika .Kama kuchoma vikaratasi ni jambo nyeti sana hata kusimama kwenye majukwaa na kusema dini zingine sio halali ila yako ndo ya haki hiyo nayo ni ukosefu wa akili na maadili huyo mwarabu aliyechoma hizo misaafu yeye sio wa kwanza anafuata nyayo za Hazrat uthman hata yeye alizichoma taka taka za mwanzoni hawa wa Sasa wanamalizia tu
Kwanini alichoma?Kama kuchoma vikaratasi ni jambo nyeti sana hata kusimama kwenye majukwaa na kusema dini zingine sio halali ila yako ndo ya haki hiyo nayo ni ukosefu wa akili na maadili huyo mwarabu aliyechoma hizo misaafu yeye sio wa kwanza anafuata nyayo za Hazrat uthman hata yeye alizichoma taka taka za mwanzoni hawa wa Sasa wanamalizia tu
Jamaa angekuona ulivyo angekaa kushoto mapema sanaAsante
Vipi kuhusu kitendo cha ku uninstall. App ya Qoran kutoka kwenye electronic device app hiyo ya maandiko ambayo mwingine anaona ni matakatifu? Nao ni upungufu wa akili?Sitetei uislamu au dini yeyote, ila kitendo cha kuchoma maandiko anayoyaona mwenzako ni matakatifu huo ni upungufu wa akili,na akikuchukulia hatua yeyote ile kutetea imani yake hana hatia. Ndugu zangu tumepewa uhuru wa kuabudu,kuchagua dini,kwa nn uingilie imani au dini ya mwingine? Rubbish
Kwa hio ilichomwa Quran ila iliyoongezwa maneno ila si Quran au gazette?Leo unaandika ujinga ujinga tu mkuu shida nini? Uthman (radhiallahu anhu) alichoma ile misahafu kwa sababu watu waliibadili kuileta kwenye lahaja na lugha zao ambazo baadhi ilibidi wapunguze au kuongeza hirabu, maneno au herufi kuweza ku fit matamshi na kuleta maana kwenye lugha hizo hivyo wakakuta maana halisi imebadilika .
Hivyo uthman ( radhiallau anhu) alipopata taarifa hizo alitoa chapa halisi ya quran ambayo ilinukuliwa kama ilivyoshuka ( kumbuka swahaba walisikia quran kwa mtume muhammad (peace be upon him) na ikawachukua muda mrefu mno kui compile na ilitumika kazi kubwa mno mpaka kuinukuuu yote ) .
Hivyo aliamrisha misahafu yoote niliyotaja hapo juu ichomwe na kuwapatia watu wajifunze sasa ile halisi ambayo hawakuwa wame i edit ku fit matamshi na lahaja zao .
n.b
Siku nyengine ukichangia mada ulete ikiwa imeshiba kama hivyo.
Quran iliyochomwa na Usman ni ipi?Itakuwa holoholo akili zake anazijua mwenyewe, sasa hapo emem reply hata akifuta baada ya hizo dakika 5 si ndiyo itaendelea kuwa hewani!
Hazrat Usman shujaa aliezichoma kiberiti QuranKuna siku ataibuka shujaa
HayaaaJamaa angekuona ulivyo angekaa kushoto mapema sana
DAh kama wewe ni mzuri poaHazrat Usman shujaa aliezichoma kiberiti Quran
Mimi nakujua ulivyo ndio maana nakwambiaHayaaa
Tusibishane imetosha turudi kwenye madaDAh kama wewe ni mzuri poa