holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Ambivert88 ivi kwani nimewaambia namtaka SweetyCandy kama mnavyofikilia nyie?Basi yameisha holoholo chukua hii mama uende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ambivert88 ivi kwani nimewaambia namtaka SweetyCandy kama mnavyofikilia nyie?Basi yameisha holoholo chukua hii mama uende
Waambie hao shida zao v9nembe vyao vona wawashaAmbivert88 ivi kwani nimewaambia namtaka SweetyCandy kama mnavyofikilia nyie?
Kitumbua cha kwako hicho usikitie mchangaAmbivert88 ivi kwani nimewaambia namtaka SweetyCandy kama mnavyofikilia nyie?
Wewe tuliza komwe hiloWaambie hao shida zao v9nembe vyao vona wawasha
me nimekwambia unitafute kuna mdogo wangu hapo arusha yuko chuo sasa wao cjui imekuwaje,mala ooh mbaya,mala yani tafrani jamani wanataka nini? Nitafte basi na ww SweetyCandy tuwakate midomo yaoWaambie hao shida zao v9nembe vyao vona wawasha
Njoo utulizwe lako kubwa kama la ngedere mvivuWewe tuliza komwe hilo
Ila unamtolea sadaka ya kuteketeza na kumjengea kanisa,anapenda nyamachoma!?..hana hela/nguvu za kujenga?Kila siku nawaambia watu unaweza ukamtukana Yesu katika ya soko na bado ukatoka salama bila mchubuko wowote ule. Sisi tunaamini kama uliyemtukana ni Yesu mwenyewe basi yeye mwenye atadili na wewe kwa wakati wake.
Tunayeamini ana nguvu kupita kiumbe chochote duniani halafu tuanze tena kumpania anapokeliwa kwa kuchukua mapanga kuwacharanga wengine, kweli?
Komwe kubwa sanaNjoo utulizwe lako kubwa kama la ngedere mvivu
Nyege za kilokole,jamaa alikua mkristu wa iraq,kufukuza mapepo na kuponya hakukumtosha mpaka akachome kitabu cha watu,kakutana na wagonjwa akili wenzieKwanini achome lakini?
Acha kunitia nuksi bahna nakuignore kwanza unastress no timeKomwe kubwa sana
Dini gani haipiganiwi!?..sadaka,fungu la kuhubiri,kwa nini asihubiri mwenyewe huko aliko anakuachieni nyie mumhubiri kwa nguvu hadi mnataka chana makoo!?Uislamu unapiganiwa na waumini maana Allah hana nguvu ya kujipigania
Ule ushauri ulinipaga unakumbuka?Acha kunitia nuksi bahna nakuignore kwanza unastress no time
Majini yamegoma ikabidi ikabidi watumie risasiYou get served what you deserve.
Haachiwi Mungu mambo yaliyo ndani ya uwezo.
wewe mpuuzi kabisa, utakuwa wale waeSitetei uislamu au dini yeyote, ila kitendo cha kuchoma maandiko anayoyaona mwenzako ni matakatifu huo ni upungufu wa akili,na akikuchukulia hatua yeyote ile kutetea imani yake hana hatia. Ndugu zangu tumepewa uhuru wa kuabudu,kuchagua dini,kwa nn uingilie imani au dini ya mwingine? Rubbish
Allah ni msela asiye na nguvu yeyote ile kama teja la unga, ndiyo maana lazima apiganiwe.Uislamu unapiganiwa na waumini maana Allah hana nguvu ya kujipigania
Kwaiyo ukichoma au kukojolea Quran Mungu hakufanyi chochote?Amani kwenu wakuu
Watu wameona kuendelea kumwachia MUNGU haiwezekan wameamua watende wenyewe, maana wameona MUNGU mwenyewe hampi ukichaa yule jamaa aliye choma Quran bali anazidi kudunda na kunenepa kila siku
==================
Mwanaharakati anayeupinga Uislamu Salwan Momika amepigwa risasi na kuuwawa saa chache kabla ya kuingia mahakamani kusikiliza hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili kuhusiana na matendo yake ya kukichoma moto kitabu kitakatifu kwa waislamu Quran.
Polisi nchini Sweden imesema inawashikilia watu watano kuhusisna na tukio hilo.
Mwaka 2023, Salwan alifanya matukio kadhaa ya kuzichoma moto na kuzinajisi nakala za Quran katika kile alichosema ni kuilinda jamii ya Sweden dhidi ya mafundisho ya kitabu hicho cha kidini.
SAYUNI BOY