ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Mambo mremboHuyo Bwege wenu alipididiwa atanifanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mremboHuyo Bwege wenu alipididiwa atanifanya nini?
Fresh broMambo mrembo
Kama alikuwa sawa mbona alikuwa ameshitakiwa kwa kitendo hicho?Kuchoma kitabu ulichokinunua mwenyewe inaingiliaje imani ya mtu mwingine??
Weka msisitizo "chapishwa na wanadamu".Huyo Mungu wenu mnao sema haitaji kupiganiwa na mwanadamu,kila kitu anaweza kujifanyia mwenyewe mbona hajawahi kushuka na kujenga kanisa badala yake mnategemea kukamua watu michango?
Au mbona hajawahi kushuka akajihubiri mwenyewe badala yake anawategemea wanadamu waje kutupigia kelele mitaani waki muhubiri?
Au mbona hashushi biblia kutoka mbinguni badala mnaenda kununua zilizo chapishwa na wanadamu?
Kuna watu wakiona mtu anapigwa lisasi na kufa wanafurahi sana. Huo ni ujinga mkubwa sana. Mungu hapendi watu wafanyiwe hivyo.Amani kwenu wakuu
Watu wameona kuendelea kumwachia MUNGU haiwezekan wameamua watende wenyewe, maana wameona MUNGU mwenyewe hampi ukichaa yule jamaa aliye choma Quran bali anazidi kudunda na kunenepa kila siku
==================
Mwanaharakati anayeupinga Uislamu Salwan Momika amepigwa risasi na kuuwawa saa chache kabla ya kuingia mahakamani kusikiliza hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili kuhusiana na matendo yake ya kukichoma moto kitabu kitakatifu kwa waislamu Quran.
Polisi nchini Sweden imesema inawashikilia watu watano kuhusisna na tukio hilo.
Mwaka 2023, Salwan alifanya matukio kadhaa ya kuzichoma moto na kuzinajisi nakala za Quran katika kile alichosema ni kuilinda jamii ya Sweden dhidi ya mafundisho ya kitabu hicho cha kidini.
SAYUNI BOY
Yuko wapi kwani?Uislamu unapiganiwa na waumini maana Allah hana nguvu ya kujipigania
Labda ukojolee ukiwa chumbani kwako au chooni ila mbele ya camera wanakuf.ira bila mate😂Ndiyo maana nasema tuemdelee kuchoma na kukojolea kitabu hiki cha KISHETANI hadi akili ziwakae sawa Waislamu.
Yale wanaita Quran ni rundo la makaratasi tu yamewekwa pamoja
View attachment 3219617
Mwana kulitafuta mwana kulipata akili yako usipoitumia vizuri majuto ndio uyo uyo MjuukuuALIYECHOMA KITABU KITUKUFU CHA QUR-AN NCHINI SWEDEN MWAKA 2023 Salwan Momika
APIGWA RISASI NA KUFARIKI JUMATANO USIKU.
Salwan Momika, Who Burnt Quran In 2023, Shot Dead Ahead Of Court Hearing In Sweden.
View attachment 3219090
View attachment 3219091
---
Salwan Momika, mchomaji wa Kuran na mkimbizi kutoka Iraq, ameuawa kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwake huko Södertälje, karibu na Stockholm, Uswidi.
Kulingana na ripoti Momika alikuwa akifanya matangazo ya moja kwa moja wakati wa tukio hilo.
Polisi walifika nyumbani kwake na kusitisha matangazo hayo.
Tayari watu watano wamekamatwa kuhusiana na tukio hilo, huku uchunguzi wa mauaji hayo ukiendelea.
Safi nayeye akachomwe Ms misifa akidhani Wazungu watamlinda milele POLISI Wazungu penginne ndio Wamemuuza!!!View attachment 3219119
View attachment 3219120
Waziri Mkuu wa Uswidi alisema Alhamisi kuwa serikali ya kigeni inaweza kuwa ilihusika katika mauaji ya mkimbizi wa Iraqi ambaye alizua mvutano wa kimataifa kwa kuchoma Kurani kwenye maandamano ya 2023.
"Ninaweza kuhakikisha kwamba huduma za usalama zinahusika sana katika hili kwa sababu ni wazi kuna hatari kwamba kuna uhusiano na nguvu ya kigeni," Waziri Mkuu Ulf Kristersson aliuambia mkutano wa waandishi wa habari siku moja baada ya Salwan Momika, 38, Mkristo kutoka Iraq, ameuawa kwa kupigwa risasi leo 30.01.2025 kusini mwa Stockholm.
Nyie mungu wenu ndio mnamfanyia maigizo kabisa hoo anaponesha vipofu sijui walemavu kumbe mchungaji kaandaa VITUKO SHOW!!@ jamaaa sifa ziendeeee kwaaaaa aibu watu awana!!!Allah ameshindwa kutoa adhabu ikabidi atume magaidi kufanya yao 😂
Mwana kulitafuta!!!!!!Nyege za kilokole,jamaa alikua mkristu wa iraq,kufukuza mapepo na kuponya hakukumtosha mpaka akachome kitabu cha watu,kakutana na wagonjwa akili wenzie
Yani uyo jamaa kaona awafuraishe waislam!!! nawao waislam wamfraishe uyo jamaa!!Basi tu kuwakera waislamu. Na wamemuonesha kuwa wamekerwa 😂
Yupo Uarabuni pale amefungiwa na wajukuu wake kila mwaka wanaenda kumchungulia na kumbusuYuko wapi kwani?
Allah kamua atumie watu wake wafanye mauaji hayo. Nimekuelewa.Siku ya Malipo bado Haijafika.Mungu Akikulipa Duniani ni kwa Mapenzi yake Akikuacha Ni Kwa Mapenzi Yake Na Allah Ndo Mjuzi wa Mambo.Kama Hiyo Quran Ingemletea Madhara Mngesema Waislamu Wachawi Kitabu Chao Cha Majini,Isipoleta Madhara Mungu Kashindwa Ndo Sifa Za Makafiri
Rudia kusoma nilichoandikaKwa hio ilichomwa Quran ila iliyoongezwa maneno ila si Quran au gazette?