grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Oh! Crusaders , knight templers , bynzantine empire e.t.c walimpigania kakobe na joe davy au mwakasege?Uislamu unapiganiwa na waumini maana Allah hana nguvu ya kujipigania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh! Crusaders , knight templers , bynzantine empire e.t.c walimpigania kakobe na joe davy au mwakasege?Uislamu unapiganiwa na waumini maana Allah hana nguvu ya kujipigania
Quran ni Quran mkuu km Harzat Usman alichoma Quran kisa ilikua ya kindengereko haina maana kwamba haikua QuranRudia kusoma nilichoandika
Unadhani wakati wa Musa mtu angemtusi Mungu au torati angeachwa salama?
Ndiyo maana imani yenu inachezewa na mnaona kawaida tu ni mwaka jana tu kuna kipindi padri mmoja alitumia bible kama mpora wa rugby akaipiga teke kufunga goli na nyie kondoo mnaona sawa tu tena mnacheeka kweli kweli kondoo ninyi.Kila siku nawaambia watu unaweza ukamtukana Yesu katika ya soko na bado ukatoka salama bila mchubuko wowote ule. Sisi tunaamini kama uliyemtukana ni Yesu mwenyewe basi yeye mwenye atadili na wewe kwa wakati wake.
Tunayeamini ana nguvu kupita kiumbe chochote duniani halafu tuanze tena kumpania anapokeliwa kwa kuchukua mapanga kuwacharanga wengine, kweli?
Quran inateketezwa kwa moto ikiwa katika hali hiziQuran ni Quran mkuu km Harzat Usman alichoma Quran kisa ilikua ya kindengereko haina maana kwamba haikua Quran
Wewe walikwisha kufira kumbe!! PoleLabda ukojolee ukiwa chumbani kwako au chooni ila mbele ya camera wanakuf.ira bila mate😂
Miujixa Imeshindwa wameamua wamchape risasiKwanini wasiache atendewe miujiza
Uislamu unapiganiwa na waumini maana Allah hana nguvu ya kujipigania
Kwa hizi akili bora trump atunyooshe tu.Dini ya mudi mbakaji hakuna kupoa
Imagine kiongozi anabaka mtoto wa miaka 9
Kama nimekuelewa vizuri ni kwamba, wapiga risasi wameona wamsaidie Mungu kutoa adhabu baada ya yeye mwenyewe mnyazimungu kumnyamazia kimya huyo jamaa mwenye matusiSiku ya Malipo bado Haijafika.Mungu Akikulipa Duniani ni kwa Mapenzi yake Akikuacha Ni Kwa Mapenzi Yake Na Allah Ndo Mjuzi wa Mambo.Kama Hiyo Quran Ingemletea Madhara Mngesema Waislamu Wachawi Kitabu Chao Cha Majini,Isipoleta Madhara Mungu Kashindwa Ndo Sifa Za Makafiri
Duh kivipi yaanKuna siku ataibuka shujaa
AiseeKwa hizi akili bora trump atunyooshe tu.
Elimu ni bora lakini haija kukombowa
Kwa hiyo huu ni wakati wa Musa siyo!??Unadhani wakati wa Musa mtu angemtusi Mungu au torati angeachwa salama?
Kwa hiyo huu ni wakati wa Musa siyo!??Unadhani wakati wa Musa mtu angemtusi Mungu au torati angeachwa salama?
Kama Rais wa nchi ukimtukana unafungwa. Kwaniini yeye atambe?Dini hizi ...
Hawaamini katika miujiza japo wanaipenda.Kwanini wasiache atendewe miujiza
Yeye ni nani hadi kuwaaminisha wafuasi wa Muhammad kuwa anachokichoma siyo cha haki Bali kile anachokisha?Leo unaandika ujinga ujinga tu mkuu shida nini? Uthman (radhiallahu anhu) alichoma ile misahafu kwa sababu watu waliibadili kuileta kwenye lahaja na lugha zao ambazo baadhi ilibidi wapunguze au kuongeza hirabu, maneno au herufi kuweza ku fit matamshi na kuleta maana kwenye lugha hizo hivyo wakakuta maana halisi imebadilika .
Hivyo uthman ( radhiallau anhu) alipopata taarifa hizo alitoa chapa halisi ya quran ambayo ilinukuliwa kama ilivyoshuka ( kumbuka swahaba walisikia quran kwa mtume muhammad (peace be upon him) na ikawachukua muda mrefu mno kui compile na ilitumika kazi kubwa mno mpaka kuinukuuu yote ) .
Hivyo aliamrisha misahafu yoote niliyotaja hapo juu ichomwe na kuwapatia watu wajifunze sasa ile halisi ambayo hawakuwa wame i edit ku fit matamshi na lahaja zao .
n.b
Siku nyengine ukichangia mada ulete ikiwa imeshiba kama hivyo.
Kwa sababu kuluwani ni uongo na uzandiki wenyewe wanaita taqqiya yaani uongo unaokuvalika ili kuwashawishi wasioamini wawe waislamuKwanini alichoma?
😂 mbona hasira au unaogopa?Wewe walikwisha kufira kumb mbinae!! Pole