Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
R.I.P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣noma snKumuua Salwan ambaye alikuwa anelekea Mahakamani alikoshtakiwa kwa makosa ya kuchoma Quran kunathiibitisha kuwa vitendo vya Salwan kuchoma Quran vilikuwa sawa na HALALI.
Tuendelee kuchoma kitabu cha shetani kama alivyogundua Salman Rushdie mwaka 1979 kwenye Satanic verses
Hatuko wakati wa MusaUnadhani wakati wa Musa mtu angemtusi Mungu au torati angeachwa salama?
Uliwahi kuona muujiza wowote umefanywa na Waislamu?Kwanini wasiache atendewe miujiza
Tafuta bendera ya taifa la Tanzania,nenda karibu na kitu cha polisi,ichome moto,kitakachokukuta uko mzima utajuaKumuua Salwan ambaye alikuwa anelekea Mahakamani alikoshtakiwa kwa makosa ya kuchoma Quran kunathiibitisha kuwa vitendo vya Salwan kuchoma Quran vilikuwa sawa na HALALI.
Tuendelee kuchoma kitabu cha shetani kama alivyogundua Salman Rushdie mwaka 1979 kwenye Satanic verses
Uliwahi kuona muujiza wowote umefanywa na Waislamu?
Na hatuko na Mungu wa Mussa?Hatuko wakati wa Musa
Kachome na wewe upigwe risasi umfuate huyo shetani mwenzio aliyetangulia jahananam!Kumuua Salwan ambaye alikuwa anelekea Mahakamani alikoshtakiwa kwa makosa ya kuchoma Quran kunathiibitisha kuwa vitendo vya Salwan kuchoma Quran vilikuwa sawa na HALALI.
Tuendelee kuchoma kitabu cha shetani kama alivyogundua Salman Rushdie mwaka 1979 kwenye Satanic verses
Ilitakiwa auwawe na Allah kwa radi.
ChaiAmani kwenu wakuu
Watu wameona kuendelea kumwachia MUNGU haiwezekan wameamua watende wenyewe, maana wameona MUNGU mwenyewe hampi ukichaa yule jamaa aliye choma Quran bali anazidi kudunda na kunenepa kila siku
==================
Mwanaharakati anayeupinga Uislamu Salwan Momika amepigwa risasi na kuuwawa saa chache kabla ya kuingia mahakamani kusikiliza hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili kuhusiana na matendo yake ya kukichoma moto kitabu kitakatifu kwa waislamu Quran.
Polisi nchini Sweden imesema inawashikilia watu watano kuhusisna na tukio hilo.
Mwaka 2023, Salwan alifanya matukio kadhaa ya kuzichoma moto na kuzinajisi nakala za Quran katika kile alichosema ni kuilinda jamii ya Sweden dhidi ya mafundisho ya kitabu hicho cha kidini.
SAYUNI BOY