Sweden: Aliyechoma moto Quran auawa kwa kupigwa risasi

Sweden: Aliyechoma moto Quran auawa kwa kupigwa risasi

Kumuua Salwan ambaye alikuwa anelekea Mahakamani alikoshtakiwa kwa makosa ya kuchoma Quran kunathiibitisha kuwa vitendo vya Salwan kuchoma Quran vilikuwa sawa na HALALI.

Tuendelee kuchoma kitabu cha shetani kama alivyogundua Salman Rushdie mwaka 1979 kwenye Satanic verses
🤣🤣🤣noma sn
Km ni Cha mungu kweli Kwann wamuue mtu? Kwann wasimthibitishie kuwa huyo mungu wa hiko kitabu anaweza?
Yaani mungu wa kutetewa na wanadamu hapana aisee
 
Alitaka mwenyewe, usiwaingilie watu kwenye imani zao.
Ye mwenyewe muisilamu kaleta mtafaruku atengeneze mazingira wakamficha lakini jamaa timming ilikua hiyo wamtembeze mbele.
Unaanzaje kuchoma vitabu vya dini vya watu?
 
Kumuua Salwan ambaye alikuwa anelekea Mahakamani alikoshtakiwa kwa makosa ya kuchoma Quran kunathiibitisha kuwa vitendo vya Salwan kuchoma Quran vilikuwa sawa na HALALI.

Tuendelee kuchoma kitabu cha shetani kama alivyogundua Salman Rushdie mwaka 1979 kwenye Satanic verses
Tafuta bendera ya taifa la Tanzania,nenda karibu na kitu cha polisi,ichome moto,kitakachokukuta uko mzima utajua
 
Kumuua Salwan ambaye alikuwa anelekea Mahakamani alikoshtakiwa kwa makosa ya kuchoma Quran kunathiibitisha kuwa vitendo vya Salwan kuchoma Quran vilikuwa sawa na HALALI.

Tuendelee kuchoma kitabu cha shetani kama alivyogundua Salman Rushdie mwaka 1979 kwenye Satanic verses
Kachome na wewe upigwe risasi umfuate huyo shetani mwenzio aliyetangulia jahananam!
 
Amani kwenu wakuu

Watu wameona kuendelea kumwachia MUNGU haiwezekan wameamua watende wenyewe, maana wameona MUNGU mwenyewe hampi ukichaa yule jamaa aliye choma Quran bali anazidi kudunda na kunenepa kila siku
==================

Mwanaharakati anayeupinga Uislamu Salwan Momika amepigwa risasi na kuuwawa saa chache kabla ya kuingia mahakamani kusikiliza hukumu ya kesi iliyokuwa inamkabili kuhusiana na matendo yake ya kukichoma moto kitabu kitakatifu kwa waislamu Quran.

Polisi nchini Sweden imesema inawashikilia watu watano kuhusisna na tukio hilo.

Mwaka 2023, Salwan alifanya matukio kadhaa ya kuzichoma moto na kuzinajisi nakala za Quran katika kile alichosema ni kuilinda jamii ya Sweden dhidi ya mafundisho ya kitabu hicho cha kidini.

SAYUNI BOY
Chai
 
IMG_5990.png
 
Sitetei uislamu au dini yeyote, ila kitendo cha kuchoma maandiko anayoyaona mwenzako ni matakatifu huo ni upungufu wa akili,na akikuchukulia hatua yeyote ile kutetea imani yake hana hatia. Ndugu zangu tumepewa uhuru wa kuabudu,kuchagua dini,kwa nn uingilie imani au dini ya mwingine? Rubbish
 
Back
Top Bottom