Kijana hutaki nisali? Nalala saa tano ya usiku, naamka saa 9, nasali narudi kulala mpaka ntapoamka.Wewe bibi jiandae ulale. Hizo nati za ubongo zimeanza kulegea. Kulala kwa muda mrefu kunaweza kuongeza afya ya akili.
Saa mbili ya usiku, ukilala mpaka asubuhi una uhakika wa walau masaa 9.
Umesahau Kenyata alisema mnauwana wenyewe mnawasingizia Waisla, wizi wakubwa nyinyi.Wacha hata kuchoma Biblia, tumeshuhudia Wakristo wakichinjwa na waislamu kisa imani, bus linatekwa Garissa, abiria asiye muislamu anachinjwa, haya matukio yalishatabiriwa, ni Mkristo asiyesoma Biblia ndiye atashangaa maana siku zinakuja tutashuhudia mengi.
Bibi nikaribishe Eid. Nitafika bila kukosa.Kiajna hutaki nisali? Nalala saa tano ya usiku, naamka saa 9, nasali narudi kulala mpaka ntapoamka.
Nilale mapema yote hii na leo Eid. Unanchekesha. Hivi natazama TV Live watu wapo Muzdalifa huko wameshaanza kusali na kuondoka, wakamlambe mawe shetani.
Embu na wewe acha bangi zako huyo mungu wako aliyozaliwa na maria? Au mwingine?siku zote huwa najiuliza hivi huyu mungu anayehitaji msaada wa wanadamu wampiganie, wamtetee, ni mungu mwenye nguvu kweli? unaaminije kitu ambacho kinakutegemea ukipiganie na kukitetea? upofu kitu kibaya sana. binafsi mimi Mungu wangu, hata ufanyeje sihitaji kumpigania au kumtetea, yeye anazo nguvu za kutosha kujitetea hahitaji msaada wa mwanadamu. angehitaji msaada wa mwanadamu kutetewa ningeona ni mungu sawa tu na sisi na hapangekuwa na haja ya kumwabudu mtu aliye sawa na wewe.
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.Bibi nikaribishe Eid. Nitafika bila kukosa.
Nile nisaze, nimshukuru Mwenyeji.
Hujiamini.Generalization kutoka kwa mtu aliyejawa na chuki dhidi ya wengine.....
Kuna kisichoisha. Sina haja sana na chakula cha tumboni.Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Unataka kusema nini kijana?Kuna kisichoisha. Sina haja sana na chakula cha tumboni.
Umesahau Kenyata alisema mnauwana wenyewe mnawasingizia Waisla, wizi wakubwa nyinyi.
Sina. Nahitaji kuja kunyonya kwako Bibi.Unataka kusema nini kijana?
Hicho ambacho siyo cha tumboni huna mamako akakunyonyesha?
Wao. Wako wangapi au ndio hao utatu mtakatifu yaani Mungu baba, Mungu mwana na Mungu Roho mtakatifu?15:9 Quran
إِنَّا نَحۡنُ نَزَّلۡنَا ٱلذِّكۡرَ وَإِنَّا لَهُۥ لَحَٰفِظُونَ
Hakika Sisi ndio tulio teremsha Ukumbusho huu(Quran), na hakika Sisi ndio tutao ulinda.
Umerogwa wewe.Wachome tu mbona zinasombwa na mafuriko hawashangai
Mungu wa Biblia anajitetea mwenyewe mkuu. Unapomkashifu au kuchoma Bible utakutana naye wewe mwenyewe. Sisi wafuasi tuko kimyaaaaaa maana vita ni vya Bwana.Hawa ndio wanaoleta mtafaruku wa dini upuuzi mtupu
kesho uarabuni nao watachoma Biblia
Kwanini mungu wa biblia hajihubiri na kujitangaza mwenyewe mpaka atangazwe na watu?Mungu wa Biblia anajitetea mwenyewe mkuu. Unapomkashifu au kuchoma Bible utakutana naye wewe mwenyewe. Sisi wafuasi tuko kimyaaaaaa maana vita ni vya Bwana.