Sweden: Mwanaume achoma Quran nje ya msikiti siku ya Eid

Chuki mnaleta nyie wajinga, kwani huyo jamaa kakosea nini? kaona ni vyema afanye yeye sasa wewe unaumia nini? kazi ya hukumu ni ya Mungu braza ok
 
quran imewashinda maadui zake kwa HOJA NDO MAANA WANAICHUKIA.hauwezi kumkuta muislam akichoma biblia.maana anajua hicho kitabu hakina hoja za kumshinda.
Hapo na wewe ndio umepotea kabisa!
 


Hizi unaweza kuzuia kila kitu Dunia hii? Kuna vichaa, watumia madawa ya kulevya, watoto, wapenda fujo......... kama Dunia nzima utakuwa unafuatilia kila wanaochoma vitabu badala ya kuangalia na kujali wewe na Mungu wako utakuwa na shida sana. Jali imani yako zaidi ya vitu. Hicho kitabu hujui kimetoka wapi au hata ni kweli kitabu au uzushi. Mtu anaweza kuchoma daftari akasema Quran utajuaje??
 
Hapo na wewe ndio umepotea kabisa!
bibila ni kitabu kilichokuja baada ya yesu kuondoka duniani.hapo hapo biblia imechezewa maandiko yake.kuna aya wanafuta kuna aya wanaongeza
 
bibila ni kitabu kilichokuja baada ya yesu kuondoka duniani.hapo hapo biblia imechezewa maandiko yake.kuna aya wanafuta kuna aya wanaongeza
Ndio nakwambia na wewe unapotea!Ukishaamini dini yako inatosha,wa dini hiyo nayo wanaweza kukujibu hivyo hivyo!Mijadala ya imani haijawahi kuishia sehemu salama zaidi ya kila mtu kushika la kwake!So ka kujua hilo,wewe amini unachoamini na muache mwingine aamini anachoamini kisha mheshimiane kwa kila mtu anachoamini!
 
Sababu twaamini hata wachome Mungu sio Biblia
Mungu gani!?..ulipo huna hata uhakika unaabudu Mungu gani,ukiulizwa huwezi mtaja kwa sentensi moja Bali maelezo mengi ambayo hata mwenyewe huyaelewi
 
Tatizo sio hilo,tatizo ni jambo hilo kuwa backed na mamlaka!Vichaa sawa tunajua wapo,issue ni kupewa airtime na uwanja wa kufanyia huo uvichaa wao!
 
Hakuna mwenye jeuri ya kumpangia mwenzake, unapaswa umhubirie huyo unayedhani amekengeuka lakini sio umlipukie mabomu kwamba wewe ndiye umekerwa kumzidi "mungu" wenu.
Yesu alibinua mezabza biashara hekaluni baada ya wayahudi kugeuza hekalu soko...mbona hakuwahubiria badala yake akachukia kuliko Mungu wake!?
 
Dini za kuletwa na Meli Africa zina changamoto zake , Hivi watu wote waliofariki Kabla ya dini kuletwa na Meli , wameenda mbinguni au jehanamu ¿??????.
Ungeuliza kwanza kabla ya kudhihaki ningekwambia QUR'AN inasema nini juu ya mtu ambaye ujumbe haukufika kwake
 
Mungu wetu ana nguvu sana.

mungu wao hana nguvu
Mungu wenu ana nguvu Sana Ila hawezi kuhubiri mwenyewe tumsikie tumfuate,badala yake mnarukwa mate kwenye majukwaa jua Kali kimuhubiri,na babu zako waliingia dini kwa kupewa masweta ya mitumba na peremende...kwa fikra zako hizo huyo Mungu hajiwezi,dhaifu
 
Unavijua Vita vya msalaba!?
 
Ukweli gani umewahi kuutoa we mbuzi!?
 
Hizo ni nchi za mashoga....

Zinawapinga wakristo wanaofuata maandiko....

Zinawapinga wayahudi.....

Zinawapinga waislamu....

Hao ni "atheists" tu [emoji1787][emoji1787]
Na hawa ndugu zetu kutoka nchi za kiislam ni wakati sasa wa kuwa na selection za oa kwenda. Mimi ni mkristo, hata ktk ukimbizi chaguo langi la kwanza haliwezi kuwa Iran au Pakistan au India ambako najua naenda kupata shida hasa ktk ku practice Imani yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…