Mapenzi matamu nyie mwanzoni....hadi rahaMwanzo wa mapenzi mtu hawezi kukuonesha tabia zake ila mkianza kuwa pamoja ndipo unagundua hapa si sehemu sahihi .
Siyo kweli mimi napenda flat screen sana. Wanawake wazuri sana wakiwa kama salama jabir.Kabisaaaa. Sawa na sie wanaume mwanamke ambae hana tako ni takataka kabisa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mweeee! Una matatizo.Siyo kweli mimi napenda flat screen sana. Wanawake wazuri sana wakiwa kama salama jabir.
Sasa mzee wa mbususu nawe unachagua kweli? Flat screen ndo mpango mzima kwa viba100.Mweeee! Una matatizo.
Msambwanda ndio kila kitu kwa mwanamke
Hamna lolote....tako muhimu pamoja na kiba100 changuSasa mzee wa mbususu nawe unachagua kweli? Flat screen ndo mpango mzima kwa viba100.
๐๐๐Mimi ubishi na wivu wa kipumbavu nilitoka ๐๐ฝโโ๏ธBaada ya kupata story yake huko kwao kigoma aliwahi kumkata mpenzi wake mkono nikasema toba roho yangu.
Wii hii sikuiona wee ๐น๐นMimi ubishi na wivu wa kipumbavu nilitoka ๐๐ฝโโ๏ธBaada ya kupata story yake huko kwao kigoma aliwahi kumkata mpenzi wake mkono nikasema toba roho yangu.
Wifi na barua ulikuwa unaandika?? ๐นTilipendana ila mm nikafall Zaidi nikapata story ana mwanamke nikawa nalia na kumbembeleza asiniache wakat huo anakana kuwa sio mwanamke wake
Kipindi hiko Hana kazi anafatilia mipango aingie jeshini
Sikuwa na ujasiri wa kumuaccha had akanitamkia wazi siwez muacha nilionyesha rangi zote had za njano still nikakomaa ๐๐
Nikawa nashindwa kuonana nae Kam zamni nikawaa naandik barua za mapenz na kubembeleza ๐
Rafikizangu wakaanza kunichukia nilikuwa sishauriki kwa yule jamaa Yani watasema hadi walie akinibembelelza kidogo tu bas
Sikumoja tukakutana tukakosana akasema nifanye lolote yeye ni kma polis na mm ndo mwizi vyovyote vile pale ndo nyumbani ๐๐๐
Theresa49
Lamomy
Nuzulati
Bantu Lady
My Wii nilikuwa nusu mwendawazimu Yani nilipenda niliwashiwa had taa za blue bahari ila wapi fuvu limekaza Tena hizo barua naandika huku nalia sabbu nilikuwa siwez kuongea nilikuwa mkimya so live nilikuwa siwez kumkabili ni Kwa barua au Kwa simu ndio nitatoa la rohoni ๐Wifi na barua ulikuwa unaandika?? ๐น
Kweli ulipenda mahi wangu, ndo bwana wako wa kwanza?? ๐
Pole sana ๐ฅน๐นMy Wii nilikuwa nusu mwendawazimu Yani nilipenda niliwashiwa had taa za blue bahari ila wapi fuvu limekaza Tena hizo barua naandika huku nalia sabbu nilikuwa siwez kuongea nilikuwa mkimya so live nilikuwa siwez kumkabili ni Kwa barua au Kwa simu ndio nitatoa la rohoni ๐
Nimemalizia Wii๐Pole sana ๐ฅน๐น
Haya endelea ikawaje sasa? Au ndo imeisha?
Nlimnyamazia bila.sababuNjooni huku; naona kwenye ule uzi mwingine tumevamiwa na jinsia ya upande wa pili, ngoja tuwaachie.
Mahusiano ni kuvumiliana na kuchukuliana madhaifu yetu, ila kuna wakati unasema hapana, siwezi kuendelea.
Ladies, nini kilikutokea kwenye mahusiano kikafanya red light iwake kichwani na umuache mpenzi / mwenza / mume wako?
*Naanza: *
Mwanaume alikua mvivu, hajishughulishi, akili mgando na mlalamishi.
Kila akipata ajira hadumu anafukuzwa kwa sababu ya kutokujituma na malalamiko yasiyoisha (Ajira 3 tofauti in 2 years). Nilikua nalipa ada za wadogo zake, kodi nyumbani na majukumu mengine yote. Japo alikua na mema yake ila baada ya miaka miwili nilichoka na nikaona hakuna future. Niliomba uhamisho kazini kwenda mji mwingine, nilivyofika tu makao mapya, nikampiga kibuti.
โโ โโ โโ โ โโ
CC:
nakwede97 โ Aaliyyah
Sister Abigail โ Bantu Lady
realMamy โ Qashy Lilith
Atoto โ Niwaheri
Lamomy โ To yeye
Msweet โ Chujio
Demi โ ledada
Midekoo โ Carleen
ABJ
Waiteni na wengine!
Hadi hapo wii inaonyesha mtarudiana mnapendana nyie ๐นNikachoka nikamwambia tuachane alicheka balaa alijua Sina ujanja nikaondoka kabisa pale nilivorud akawa kashaenda jeshin nikawa na amani kidogo alivorudi akaanza kuomba msamaha nikawa nachomoa hasira akaanza kunifanyia matukio ya ajabu ajabu ubabe na kunitishia maisha ๐๐
Aliwahi kupiga boyfriend wangu akapokea akamjibu hawez kuniacha aniache yeye ndo mumewangu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Nik akamfata aunt yangu kumuomba amuombee msamaha
Nikabadili namba akawa anazipatab nikiblock anatafuta namba mpya
Tulipofikia ni kuwa sitaolewa na nikiolewa atafanya vurugu siku ya harusi yangu Yani kasema ni lazima aniharibie ๐๐
Ahsante, hakuna ya mwingine aliyefatia utusimulie ๐Nimemalizia Wii๐
Pole mkuu, inaonekana umepita mapito sana maishani.Mimi bhana ni story ndefu ila ni bonge la mwanaume, nikimfikiria nabaki nalia sana.!! ๐ญ
Naweza kusema Mungu alinionyesha mwanaume ninayetakiwa kuwa naye ila kwa kunidolishiaโฆ. Unajua ile unapata kazi nzuri ina marupurupu ya kutosha na mshahara mkubwa bado dili za nje km zote?? Basi ndo nilikuwa mimi sasa..!! Niliokota dodo chini ya mnazi..!
Mpaka leo namlaani Mungu, ndiomana kuna muda siamini km yupo..!
Tuishie hapa nikiendelea kuna watu wanaojua kisa changu watanijua..!! ๐ฅน
Kawaida ila nimefaidika sana, ingawa kwake bado anahitaji tuendelee ๐ฅนPole mkuu, inaonekana umepita mapito sana maishani.
We acha tu my wii nimepitia Mengi๐๐Wii hii sikuiona wee ๐น๐น
Jamani kukatana mikono tena??! Wohiii Wohiii
๐น๐น๐น Hebu elezea vizuri wii.!!We acha tu my wii nimepitia Mengi๐๐