Searching for the truth
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 903
- 1,851
- Thread starter
-
- #81
Mimi yalinikuta haya sina hata hamu,ila nilichopanga hawa nawatafutia laini mpya harafu na save namba za uongo uongo ili nikipiga pesa hata elfu 30,000 basi laini naofutia usajiri
Kweli kabisa hamna rafiki hapo. Ni bunch of selfish peoplehao marafiki zako 200 wameshindwa kukulipia deni achana nao, futa wote,
Kukushika ni ngumu sana mkuu, kuwa na amani ni mikwara tu ile, mimi pesa x wameuamua kunipotezea wenyewe tu.
Sijawalipa hata sasa na sina mpango.Aisee, hao waduanzi kwani wangapi wanakopa. Ningekuwa mimi nisingewalipa maana wameshatumia silaha yao ya mwisho.
Alafu haina haja ya wewe kujisikia vibaya kwani sms katumiwa mtu mmoja mmoja kwahiyo kila mtu ataielewa kwa anavyo kufahamu ni rahisi kumjibu kuwa hao ni matapeli
Mkuu nakuja PM kwa huu ujuziHiki ndo nilichowafanyia PESA X mbwa wale, nimepita na 80000 yao, na kunishika hawawezi, shenzi kabisa yani mtu ukikaa tu siku tatu bila kuwalipa wanaaza usumbufu wa kingese.
Mpaka waje kudevelop hizo applications zao tutakuwa tumewaliza sana.
HapanaLipa Tu, sasa ungekopa OYA ndo ungekoma wangekufuata hadi huko kazini na ngoma ya mchiriku
Bora ajiite (mzanzibar mpumbafuu)Putin gani anakopa buku 42 mikopo ya kausha damu?
Badilisha jina kwanza mkuu,kisha tuendelee na kijadili kuhusu kuwafungulka kesi jamaa.
[emoji1787][emoji1787]Ah ah tena shukuru awakukufungulia group la Whatsapp maana awachelewi
Hapana silipi kwanza.Mwanasheria wa nini? Utamlipa naye kwa kesi ya 42,000 ni hasara tupu, lipa and move on
Wataendelea kukudharirisha and next watakufuata ofisini au nyumbani ukiwa na familia yako, hao wameajiri mabaunsa wasio na akili kukusanya madeni yaoHapana silipi kwanza.
Issue siyo elfu 42, issue ni udhalilishaji.
Privacy yangu imekiukwa pakubwa sana.
Hii chai, hiyo sms ya madai imekosewa kuandikwaHuenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana.
Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE".
Hawa jamaa walinikopesha elfu 42 mtandaoni kwa muda wa siku 7.
Siku jana nilitakiwa ndiyo nilipe, na jana hiyo nilikuwa kazini nikitegemea nitoke kazini jioni niwalipe pesa yao.
Lakini nashangaa jana mida ya mchana saa saba, watu wanaanza kunitumia kunipigia simu na kunifoadia sms kuwa nadaiwa.
Kumbe hii kampuni ilichofanya baada ya kunikosa hewani jana mda flani, wakatuma sms kwa watu wote walioko kwenye phone book yangu (watu zaidi ya 200) kuwajuza kuwa wananidai na nataka kuwatapeli.
Nikawa napata simu ngingi sana kutoka kwa hao watu waliotumiwa hiyo sms.
Aisee niliona ni udhalilishaji sana hii kampuni imenifanyia.
Sasa nikajiuliza walipataje majina yaliyopo kwenye simu yangu, hapo ndipo nilipokumbuka kwenye app yao ukiwa unafungua kuna sehemu itaandika "allow access to your contacts, messeges n.k" hapo ndipo walipopata majina ya phone book yangu.
Sasa tangu jana hiyo nimekosa raha kabisa baada ya kuzalilishwa na mimi nimeamua kutowalipa mpaka sasa.
Nimepata wazo la kutafta mwanasheria nikawafungulie kesi ya kunidhadhalisha wanilipe fidia, kwanini wanidhalilishe wakati dead line ya malipo ilikuwa bado haijapita
View attachment 2910966View attachment 2910967
Kwa hiyo tunadaiana kwa kutumia nguvu au kwa mujibu wa sheria.Wataendelea kukudharirisha and next watakufuata ofisini au nyumbani ukiwa na familia yako, hao wameajiri mabaunsa wasio na akili kukusanya madeni yao
SawaHii chai, hiyo sms ya madai imekosewa kuandikwa