KERO Taarifa Binafsi: Kampuni ya mkopo mtandaoni (online loan app) imenidhalilisha sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hahaaaaa, mimi Pesa X. Niliona tangazo nikadownload. Nikaingiza details baadaye nikadelete ile app na kuachana nayo. Kidogo naona nimepokea 4760 toka detax nini sijui. Sijajua ni nini, nikasearch mtandaoni. Nikajua ni wao.

Nikawatafuta kwenye page zao za FB na Instagram. Nikawaambia nataka niwarudishie 4000's yao waliyoniingizia. Jamaa wakauchuna. Baada ya wiki 2 naona simu kuwa nadaiwa 7000's toka kwao. Nikawaambia mbona nikiwatafuta niwarudishie pesa yenu mkanyamaza? Sasa hiyo 7000's nitawapa kwa kigezo gani?

Kila wiki wakawa wananipigia na deni lao kuongezeka sasa nadaiwa 15000's. Siku 2 zilizopita naona wananitumia sms, watanipeleka mahakamani. Nikawaambia silipi hata 100 kwani sijawahi omba mkopo kwenu. Nina 4000's yenu niwalipe, hiyo nyingine siijui. Mawasubiri twende Mahakamani sasa.
 
Kukushika ni ngumu sana mkuu, kuwa na amani ni mikwara tu ile, mimi pesa x wameuamua kunipotezea wenyewe tu.
Sijawalipa hata sasa na sina mpango.

Wamenidhalilisha sana.
 

Attachments

  • Screenshot_20240221_195721_Magic SMS.jpg
    743.9 KB · Views: 72
Hii chai, hiyo sms ya madai imekosewa kuandikwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…