KERO Taarifa Binafsi: Kampuni ya mkopo mtandaoni (online loan app) imenidhalilisha sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kweli aisee
Mimi nimepoteza marafiki wengi sababu nilimkopa ukianza kumdai anachukia
Yaani hii kwa Wabongo ni tamaduni kabisa
 
Hahaha hao watu washapigwa sana mjini hapa. Sasa wameboresha kwa njia hiyo sawa. Mwqnzoni mwa hizo mambo walikuwa loose sana. Wakagongwa weeeee hii ndo dar salaama
 
Toa nondo kidogo mkuu
 
Mimi yalinikuta haya sina hata hamu,ila nilichopanga hawa nawatafutia laini mpya harafu na save namba za uongo uongo ili nikipiga pesa hata elfu 30,000 basi laini naofutia usajiri
Hahahaha? Ufungue line, ujaze majina ya uongo, ukope na kulipa mpaka ufike elf 30 halafu uvunje line. Kweli watu mna hasira.
 
Kwanini watu wanaacha pesa za wazi wazi hivi? Hapo akifungua kesi ya defamation anashinda maana sheria ipo wazi huwezi kumtangaza mtu mitandaoni kwamba unamdai pasipo kufuata procedures zote.
Kwa mtu aliyekopa, ukisoma Terms na Conditions zao, basi hakika huwezi kushinda kesi yeyote mahakamani dhidi yao, zile T & C’s hakika ukizisoma, huwezi kopa kwao, zinajipa nguvu na haki za ajabu sana, zingine ni uncostitutional kabisa, ila kwakuwa umekubali kwa shida zako, ishi nao tu.

Anaeweza kufungua kesi ni contacts wako wanao kuwa harassed wakati hawakushirikishwa wakati unakopa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…