Taarifa mpya kuhusu Boniface Jackob na Malissa hii hapa

Taarifa mpya kuhusu Boniface Jackob na Malissa hii hapa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Sasa tutaendelea kuwaletea taarifa za Watuhumiwa hawa kila baada ya muda mfupi , maana wanahamishwa hapa na pale kama Adamoo , Mbinu za Polisi wa Tanzania ni zilezile tangu mkoloni

Screenshot_2024-04-26-16-15-54-1.png
 
Sasa tutaendelea kuwaletea taarifa za Watuhumiwa hawa kila baada ya muda mfupi , maana wanahamishwa hapa na pale kama Adamoo , Mbinu za Polisi wa Tanzania ni zilezile tangu mkoloni

View attachment 2974660
Kwa nini waliharakisha kuwakamata kabla ya kukamilisha upelelezi kwanza?
Kwa nini hawataki kuwapa dhamana?
 
Back
Top Bottom