Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sasa tutaendelea kuwaletea taarifa za Watuhumiwa hawa kila baada ya muda mfupi , maana wanahamishwa hapa na pale kama Adamoo , Mbinu za Polisi wa Tanzania ni zilezile tangu mkoloni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na akili za kujiongeza walishapokonywa kitamboTuna Polisi WA ajabu mnoooo, ila niliwahi kuongea na Jamaa mmoja pale Central akasema "Kaka sio kwamba tunafanya kwa kupenda kwetu, watawala hawa"
Kwa nini waliharakisha kuwakamata kabla ya kukamilisha upelelezi kwanza?Sasa tutaendelea kuwaletea taarifa za Watuhumiwa hawa kila baada ya muda mfupi , maana wanahamishwa hapa na pale kama Adamoo , Mbinu za Polisi wa Tanzania ni zilezile tangu mkoloni
View attachment 2974660
Ungemuuliza Watawala ndio wanawafanya watu wafie maabusuTuna Polisi WA ajabu mnoooo, ila niliwahi kuongea na Jamaa mmoja pale Central akasema "Kaka sio kwamba tunafanya kwa kupenda kwetu, watawala hawa"
Upelelezi ni pamoja na mahojianoKwa nini waliharakisha kuwakamata kabla ya kukamilisha upelelezi kwanza?
Kwa nini hawataki kuwapa dhamana?
Polisi huwa hawaajiliwi kwa ajili ya kutumia akili zao, bali kwa ajili ya kutumwa na kuamrishwaNa akili za kujiongeza walishapokonywa kitambo
Mbaya zaidi tabia hizo wanarithisha hata familia zaoPolisi huwa hawaajiliwi kwa ajili ya kutumia akili zao, bali kwa ajili ya kutumwa na kuamrishwa
Je, unajua ni kwa muda gani kisheria ambao mtuhumiwa anapaswa kuwepo ktk Mahabusu ya Jeshi la Polisi kabla ya kufikishwa Mahakamani?Upelelezi ni pamoja na mahojiano
hii ndio stahiki yao, wacha wasote huko and no bail at allSasa tutaendelea kuwaletea taarifa za Watuhumiwa hawa kila baada ya muda mfupi , maana wanahamishwa hapa na pale kama Adamoo , Mbinu za Polisi wa Tanzania ni zilezile tangu mkoloni
View attachment 2974660
Amekufanyia umbea gani hadi umejikuna mapaja?Acha umbea ndugu mwandishi
JF wamekuelekeza..."write your reply "..!Nilitaka nisi comment lakini acha tu nikoment.
Baada ya mahojiano na si zaidi ya saa 48 🐼Je, unajua ni kwa muda gani kisheria ambao mtuhumiwa anapaswa kuwepo ktk Mahabusu ya Jeshi la Polisi kabla ya kufikishwa Mahakamani?
Imekuwa gacaca hiyo?Baada ya mahojiano na si zaidi ya saa 48 🐼