redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Fei toto kwa Simba ata wafaa, Sera za Yanga kwasasa ni tofauti kidogo wao wanataka mtu akiondoka basi wapate mchezaji aliye juu zaidi kuliko aliye ondoka.
Ata Saidoo ni mchezaji nyota pale msimbazi, Yanga kwasasa wana hangaikia replacement ya Mayele na wakifanikiwa kupata mtu zaidi ya Mayele itakua balaaa kubwa.
Ata Saidoo ni mchezaji nyota pale msimbazi, Yanga kwasasa wana hangaikia replacement ya Mayele na wakifanikiwa kupata mtu zaidi ya Mayele itakua balaaa kubwa.