Taasisi ya Kidini ya Spirit Word Ministry yafutiwa usajili

Jamaaa ana vitu fulani adimu, nilifuatilia mafundisho yao fulani kuhusu fungu la 10 nilimuelewa sana
 
Sijui waumini wake walikuwa wanavumilia vipi kusikiliza maubili yake.
Jamaa ana mafundisho fulani mazuru sana ingawa kwelu kuna baadhi ya mahubiri yake sikubaliani nayo, ukiyoa hilo la Ushoga jamaa yuko vizuri sana
 
Yule mchungaji alibugi Sana, eti Kama Mimi shoga inakuhusu Nini?. Yani unaongea mambo ya ushoga kanisani. Bora serikali imewafungia maana walikuwa Wana kiburi Sana.
 
Bora wamfungie tu. Sikuyakubali mafundisho yake. Anapinga kila kitu hadi Biblia anaipinga. Bora asalie nyumbani kwake.
 

Huyo alifungiwa kwa mengi Sana. Halafu hilo Kanisa lilihamasisha ushoga hadharani sio kwa kificho. Wengine watadakwa tu ndani ya muda.
 
Huyu nabii mwenyewe anaonekana ni shoga
Hasa yule msaidizi wake. Yeye alihubiri live madhabahuni kwamba Kama yeye ni shoga inakuwashia Nini?. Nadhani baada ya happy ndipo kanisa likafungwa.
 
Jamaaa ana vitu fulani adimu, nilifuatilia mafundisho yao fulani kuhusu fungu la 10 nilimuelewa sana
Mwalimu wa uongo, ndio maana serikali imempiga Chini. Wewe unapingaje zaka?. Wakati zaka Ni agizo kwa kila aaminiaye?. Mimi tangu aanze kupinga Biblia nilimuona nabii wa uongo. Uzuri serikali ikamla kichwa.
 
Jamaa ana mafundisho fulani mazuru sana ingawa kwelu kuna baadhi ya mahubiri yake sikubaliani nayo, ukiyoa hilo la Ushoga jamaa yuko vizuri sana
Uzuri kwenye Nini? Kupotosha Biblia. Naishukuru serikali kwa kudeal na wahuni walianza Zumaridi, akaja mzee wa kucha na wakamalizana na mzee wa ushoga. Wasilichafue kanisa.
 
Manabii wanashindwa kujisimamia mpaka serikali imeamua kuingilia Kati. Mara wajiite Mungu, Mara waagize kucha, Mara kuhubiriwa ushoga. Kwa hili naipongeza serikali ishughulike na wahuni wachache wanao lichafua kanisa.
 
Upumbavu, mbona Yesu aliwakumbatia makahaba?

Kanisa ndio mahali pa kurekebisha watu wakiwemo mashoga!

Mnataka kanisa liwafukuze mashoga? Halafu??
Nadhani sio hivyo. Ni baada ya mchungaji kuhubiri kwamba yeye akiwa shoga inakuhusu Nini?. Sasa hilo ni dosari huwezi kutetea dhambi madhabahuni. Ndio maana kwa kugundua hilo kosa waliomba msamaha kwa watanzania.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

we mwehu kweli, jamii yenyewe hii ya machokoraa na mafisadi unataka iharibike mara ngapi?
Usihalalishe ubaya kisa wengine wanafanya ubaya. Itafika sehemu tutashindwa kufanya chochote. Maana muuaji atasema naua kwasababu ufisadi upo nk.
 
Mashoga wanahitaji neno la Mungu ili wabadilike mbona wazinzi wapo wengi na still wanacheka nao tunataka haki sawa kwa wote
Shida kuhamasisha ushoga. Ulimsikia yule mchungaji chumvi alivyosema. Kwamba Yeye akiwa shoga inawahusu nini. Kwa hivyo tuwe na mchungaji analiwa na wanaume kisa machangudoa wapo?. Sio sahihi kabisa, Tena madhabahuni.
 
Tofa

Tofautisha toba na kuhamasisha ushoga. Yesu alihamsisha toba kwa wazizinzi sio kuhamasisha uzinzi. Wale Spirit world wanadai Hakuna dhambi, maana yake hawaamini kwenye toba ya dhambi.
 
Tofa

Tofautisha toba na kuhamasisha ushoga. Yesu alihamsisha toba kwa wazizinzi sio kuhamasisha uzinzi. Wale Spirit world wanadai Hakuna dhambi, maana yake hawaamini kwenye toba ya dhambi.
 
Biblia ipo mfiraji na mfirwaji wote ni kwenye ziwa la Moto. Anakuja mchungaji anasema ushoga hauna shida. Anapingana na Biblia hiyo hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…