Taasisi yoyote makini haiwezi kujiendesha kidemokrasia

Taasisi yoyote makini haiwezi kujiendesha kidemokrasia

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Duniani Taasisi yoyote ile iliyo makini haiwezi kukubali kuendeshwa kidemokrasia. Taasisi inayotaka kuwa imara haiwezi kuendeshwa kidemokrasia. Ndiyo maana majeshi hayaendeshwi kidemokrasia. Yanaendeshwa kwa uwezo. Katika nchi nyingi majeshi ndiyo huwa taasisi zenye ufanisi zaidi.

Angalia kanisa Katoliki lilivyo stable na lenye ufanisi. Sababu kubwa ni kutoendeshwa kidemokrasia. Wanaangalia uwezo. Nenda huku KKT, demokrasia imewafanya kuwa taasisi dhaifu, yenye migogoro na ufisafi. Hata kwenye ngazi ya familia. Familia inayotaka kusonga mbele haiwezi endeshwa kidemokrasia.

Hata nchi. Nchi yoyote inayoenda kidemokrasia haiwezi kuwa stable. Haiwezi kuwa na ufanisi. Itakuwa tu kama KKT inakoelekea. Itakuwa tu kama jeshi linaloendehswa kidemokrasia. Nchi zinapoteza muda kuendeshwa kidemokrasia.
 
Nilipokuwa mwaka 3 nilsoma topic moja inaitwa political development vs economy ikiangalia hasa uchum katika pand ya demokrasia na udiktekta upi unakuw uchum mzur point kubwa0ya kufanikia kwa uchumi inasema democrasy mafanikio yake ya uchum ni haba...pia nadhan unajua strong instution it means economy na sio policies
 
Kama umekubali kutendewa kidikteta, kuanzia Sasa nakuamuru utumie Jina lako halisi uchane na hilo la "Lycaon pictus"
Na dakika kumi toka Sasa uweke hapa picha yako na historia ya maisha yako.

Na kuanzia kesho kabla ya kuingia humu JF uwasiliane na mimi kwanza Ili niamue kama uingie ama usiingie JF.
 
Kama umekubali kutendewa kidikteta, kuanzia Sasa nakuamuru utumie Jina lako halisi uchane na hilo la "Lycaon pictus"
Na dakika kumi toka Sasa uweke hapa picha yako na historia ya maisha yako.

Na kuanzia kesho kabla ya kuingia humu JF uwasiliane na mimi kwanza Ili niamue kama uingie ama usiingie JF.
Naona na kiswahili kinakupiga chenga. Hiyo ni ndiyo ya kukubali!? Halafu udikteta siyo huo unaowaza. Wazazi wako walikulea kidikteta au kidemokrasia?
 
Akili za wapi hizi?
Nimesema Qatar na Emirates kuna democracy?
Why iitajwa USA unataja Qatar na Emirates? Wao Qatar na Emirates walikwambia wao Wana democracy?
What an idiotic question?
Wewe umechagua kuitaja US na England, Mimi nimeamua kuitaja Qatar na Emirate, zogo la nini??
 
Duniani Taasisi yoyote ile iliyo makini haiwezi kukubali kuendeshwa kidemokrasia. Taasisi inayotaka kuwa imara haiwezi kuendeshwa kidemokrasia. Ndiyo maana majeshi hayaendeshwi kidemokrasia. Yanaendeshwa kwa uwezo. Katika nchi nyingi majeshi ndiyo huwa taasisi zenye ufanisi zaidi.

Angalia kanisa Katoliki lilivyo stable na lenye ufanisi. Sababu kubwa ni kutoendeshwa kidemokrasia. Wanaangalia uwezo. Nenda huku KKT, demokrasia imewafanya kuwa taasisi dhaifu, yenye migogoro na ufisafi. Hata kwenye ngazi ya familia. Familia inayotaka kusonga mbele haiwezi endeshwa kidemokrasia.

Hata nchi. Nchi yoyote inayoenda kidemokrasia haiwezi kuwa stable. Haiwezi kuwa na ufanisi. Itakuwa tu kama KKT inakoelekea. Itakuwa tu kama jeshi linaloendehswa kidemokrasia. Nchi zinapoteza muda kuendeshwa kidemokrasia.
Mkuu kuna kutofautisha mambo.
Vyombo vya ulinzi na usalama havina neno "uhuru au demokrasia " ni taasisi za kupokea na kutekeleza maamuzi.
Usifananishe na taasisi nyingine..
 
Back
Top Bottom