Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wewe unataka kuishi ukigandamizwa??Democracy ni siasa za utapeli wa kimagharibi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unataka kuishi ukigandamizwa??Democracy ni siasa za utapeli wa kimagharibi.
Demokrasia ililetwa ili kuwatishia nyau waliopo madarakani kwamba wasipofuata wakubwa wa Dunia wanavyotaka watawadondosha kutoka kwenye viti vya Enzi !!Demokrasia ni utapeli
Ndiyo maana madikteta vibaraka kama wakina Bongo na Nguesso wanawaacha tu. Wale wazuri kama Gaddaf na Sankara wanadeal nao. Demokrasia ni hila.Demokrasia ililetwa ili kuwatishia nyau waliopo madarakani kwamba wasipofuata wakubwa wa Dunia wanavyotaka watawadondosha kutoka kwenye viti vya Enzi !!
Scratch my back I scratch yours otherwise tunakushughulikia !!
Strong institutions ni muhimu sana !!Utawala wa wngi. Yaani kila mtu anasauti juu ya nchi inavyopaswa kuendeshwa. Kuna vipingele vingi vinavyowezesha hilo.
Kabisa !Ndiyo maana madikteta vibaraka kama wakina Bongo na Nguesso wanawaacha tu. Wale wazuri kama Gaddaf na Sankara wanadeal nao. Demokrasia ni hila.
Wewe sijui leo umekula makande ya wapi, huu ndo ujinga mlimlisha mwendazake sasa kiko wapi, ukiona viongozi wa nchi flan hawataki demokrasia, lengo kuu ni kufisidi nchi kama ilivyokuwa kwa mwendazake,Duniani Taasisi yoyote ile iliyo makini haiwezi kukubali kuendeshwa kidemokrasia. Taasisi inayotaka kuwa imara haiwezi kuendeshwa kidemokrasia. Ndiyo maana majeshi hayaendeshwi kidemokrasia. Yanaendeshwa kwa uwezo. Katika nchi nyingi majeshi ndiyo huwa taasisi zenye ufanisi zaidi.
Angalia kanisa Katoliki lilivyo stable na lenye ufanisi. Sababu kubwa ni kutoendeshwa kidemokrasia. Wanaangalia uwezo. Nenda huku KKT, demokrasia imewafanya kuwa taasisi dhaifu, yenye migogoro na ufisafi. Hata kwenye ngazi ya familia. Familia inayotaka kusonga mbele haiwezi endeshwa kidemokrasia.
Hata nchi. Nchi yoyote inayoenda kidemokrasia haiwezi kuwa stable. Haiwezi kuwa na ufanisi. Itakuwa tu kama KKT inakoelekea. Itakuwa tu kama jeshi linaloendehswa kidemokrasia. Nchi zinapoteza muda kuendeshwa kidemokrasia.
Kwani Democracy ni nini?, yawezekana maana yenyewe ndiyo inatupiga chenga.England yenyewe Haina democracy...
USA yenyewe Haina democracy
Kwani Democracy ni nini?, yawezekana maana yenyewe ndiyo inatupiga chenga.
Kwangu mimi Democracy ni ile hali ya kutenda yale mliyokubaliana kuyafuata bila kuumiza au kupendelea upande wowote.
Ndani yake utapata Majority rule minority rights...Sasa ukichanganua maneno hayo katika misingi ya maisha yetu ya kila siku ndipo utakutana na maneno kama HAKI, USAWA ndani ya Democracy hivyo itabidi sasa tuifafanue katika maisha yetu.Democracy ni government of the people for the people by the people
Unaogopa nini ndugu unazungumzia umri wangu, unataka kunipa mke?Wewe jamaa Una umri gani?
Mada inajadili democracy
Ghafla ishageuka Tanzania na machafuko na discipline...
Kwani mleta mada amesema democracy ifutwe Tz?
Au ushakimbilia conclusion yako na hofu zako na assumptions zako?
Unaongea kuhusu discipline wakati hata discipline ya Ku stick na main point huna?
Geuza kinyume chake ndiyo usahihi wake.Ndani yake utapata Majority rule minority rights...Sasa ukichanganua maneno hayo katika misingi ya maisha yetu ya kila siku ndipo utakutana na maneno kama HAKI, USAWA ndani ya Democracy hivyo itabidi sasa tuifafanue katika maisha yetu.
Haki ni hali ya kutomtendea mtu mwingine kile usichopenda wewe kutendewa, hapo ndipo utakuwa umetenda haki.
Usawa ni hali ya wote kupata haki bila kuegemea upande wowote katika mazingira mnamoishi.
Kwangu mimi natafsiri Democracy kama hali ya kutenda yale mliokubaliana kuyatekeleza katika msingi wa kujiletea maendeleo bila kuegemea upande wowote. Iwapo kuna kitu kinawakwaza basi itabidi mkubaliane kuijadili na kupata muafaka wa kuifuta au kutoifuta ...hapo ndipo maneno ya majority rule minority rights.
Swali ni je, majority rule minority rights tunaizingatia?
Kama democracy haiwezi kutuletea maendeleo ni namna gani uamuzi wa Kiimla ya mtu mmoja itapimwa kuwa ilikuwa ndiyo njia sahihi? Wakati mapendekezo ya watu wengine hayapewi nafasi ya kusikilizwa.
Watu wasiojua haki, wajibu na sheria mambo tafraniTena Kwa watu kama watanzania ndio kabisaa