Taasisi yoyote makini haiwezi kujiendesha kidemokrasia

Taasisi yoyote makini haiwezi kujiendesha kidemokrasia

Umekaa ukawaza utetee Vipi udikteta, ndiyo ukaja na hii hoja yako dhaifu.

Wewe binafsi unapenda kutendewa kidikteta??
Kwa nini mnaita udikteta badala ya kuita Haki? Demokrasia ni utamadini wa kishenzi wa mtu mweupe usio akisi matokeo mazuri kwenye nchi za weusi au nchi za kiarabu ambazo zinaendeshwa kiimla.

Ukiingia Demokrasia lazima uharibu mambo, hii kusema wengi wape , kila mtu ana haki, igeuze iwe kwenye familia yako, mkeo awe na haki sawa ya kuamua mambo yake ya ndani na nje uone kivumbi chake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini mnaita udikteta badala ya kuita Haki? Demokrasia ni utamadini wa kishenzi wa mtu mweupe usio akisi matokeo mazuri kwenye nchi za weusi au nchi za kiarabu ambazo zinaendeshwa kiimla.

Ukiingia Demokrasia lazima uharibu mambo, hii kusema wengi wape , kila mtu ana haki, igeuze iwe kwenye familia yako, mkeo awe na haki sawa ya kuamua mambo yake ya ndani na nje uone kivumbi chake

Sent using Jamii Forums mobile app

Familia sio nchi,jifunze kutofautisha hilo kwanza,mbona unakua na upeo mdogo hivi wa akili.

Kwa nchi zetu za kiafrika tunahitaji demokrasia sio lazima ya kuchagua viongozi wakuu ila ile yenye misingi imara ya mihimili kujitegemea na kuwa na uwezo wa kusimamiana sio hichi kilichopo hapa tz,watawala wa kiafrka wengi ni mafisadi na wahuni tu,usipo kuwa na misingi mizuri ya kuisimamia na kuiwajibisha serikali wananchi lazima waumie.
 
Duniani Taasisi yoyote ile iliyo makini haiwezi kukubali kuendeshwa kidemokrasia. Taasisi inayotaka kuwa imara haiwezi kuendeshwa kidemokrasia. Ndiyo maana majeshi hayaendeshwi kidemokrasia. Yanaendeshwa kwa uwezo. Katika nchi nyingi majeshi ndiyo huwa taasisi zenye ufanisi zaidi.

Angalia kanisa Katoliki lilivyo stable na lenye ufanisi. Sababu kubwa ni kutoendeshwa kidemokrasia. Wanaangalia uwezo. Nenda huku KKT, demokrasia imewafanya kuwa taasisi dhaifu, yenye migogoro na ufisafi. Hata kwenye ngazi ya familia. Familia inayotaka kusonga mbele haiwezi endeshwa kidemokrasia.

Hata nchi. Nchi yoyote inayoenda kidemokrasia haiwezi kuwa stable. Haiwezi kuwa na ufanisi. Itakuwa tu kama KKT inakoelekea. Itakuwa tu kama jeshi linaloendehswa kidemokrasia. Nchi zinapoteza muda kuendeshwa kidemokrasia.
Umeamka nazo sister

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini mnaita udikteta badala ya kuita Haki? Demokrasia ni utamadini wa kishenzi wa mtu mweupe usio akisi matokeo mazuri kwenye nchi za weusi au nchi za kiarabu ambazo zinaendeshwa kiimla.

Ukiingia Demokrasia lazima uharibu mambo, hii kusema wengi wape , kila mtu ana haki, igeuze iwe kwenye familia yako, mkeo awe na haki sawa ya kuamua mambo yake ya ndani na nje uone kivumbi chake

Sent using Jamii Forums mobile app
Na watoto pia.
 
Familia sio nchi,jifunze kutofautisha hilo kwanza,mbona unakua na upeo mdogo hivi wa akili.

Kwa nchi zetu za kiafrika tunahitaji demokrasia sio lazima ya kuchagua viongozi wakuu ila ile yenye misingi imara ya mihimili kujitegemea na kuwa na uwezo wa kusimamiana sio hichi kilichopo hapa tz,watawala wa kiafrka wengi ni mafisadi na wahuni tu,usipo kuwa na misingi mizuri ya kuisimamia na kuiwajibisha serikali wananchi lazima waumie.
Familia ndiyo SI unit ya Taifa.
 
Huwezi kuendesha nchi kwa demokrasia inayohubiriwa na magharibi nchi ikasonga mbele kimaendeleo.
Ndio maana waliotuletea hiyo demokrasia ya magharibi hata wao hawaifuati. Afrika tuna aina ya demokrasia yetu.
Ila Samia hapana!
 
Back
Top Bottom