Taasisi yoyote makini haiwezi kujiendesha kidemokrasia

Taasisi yoyote makini haiwezi kujiendesha kidemokrasia

Wewe umechagua kuitaja US na England, Mimi nimeamua kuitaja Qatar na Emirate, zogo la nini??

Wewe unaongea kama vile mtoto mdogo...
USA na England zina preach democracy...na zinataka nchi zinazo wapa misaada ziwe za democracy...
Qatar na Emirates lini wali preach democracy???
 
Demokrasia na maendeleo haviendani. USA wenyewe kwenye uchaguzi wao hata wananchi wamchague wanayempenda bado kuna watu maalum 240 ndo wana maamuzi ya mwisho nani awe Rais. Tatizo kwa Afrika bora demokrasia iwepo kwasababu hatuna viongozi wenye uwezo wa kutumia mamlaka yao bila kupitiliza.
 
Kama umekubali kutendewa kidikteta, kuanzia Sasa nakuamuru utumie Jina lako halisi uchane na hilo la "Lycaon pictus"
Na dakika kumi toka Sasa uweke hapa picha yako na historia ya maisha yako.

Na kuanzia kesho kabla ya kuingia humu JF uwasiliane na mimi kwanza Ili niamue kama uingie ama usiingie JF.
Huu ndio udikteta?
 
Duniani Taasisi yoyote ile iliyo makini haiwezi kukubali kuendeshwa kidemokrasia. Taasisi inayotaka kuwa imara haiwezi kuendeshwa kidemokrasia. Ndiyo maana majeshi hayaendeshwi kidemokrasia. Yanaendeshwa kwa uwezo. Katika nchi nyingi majeshi ndiyo huwa taasisi zenye ufanisi zaidi.

Angalia kanisa Katoliki lilivyo stable na lenye ufanisi. Sababu kubwa ni kutoendeshwa kidemokrasia. Wanaangalia uwezo. Nenda huku KKT, demokrasia imewafanya kuwa taasisi dhaifu, yenye migogoro na ufisafi. Hata kwenye ngazi ya familia. Familia inayotaka kusonga mbele haiwezi endeshwa kidemokrasia.

Hata nchi. Nchi yoyote inayoenda kidemokrasia haiwezi kuwa stable. Haiwezi kuwa na ufanisi. Itakuwa tu kama KKT inakoelekea. Itakuwa tu kama jeshi linaloendehswa kidemokrasia. Nchi zinapoteza muda kuendeshwa kidemokrasia.
Naona mnataka kutundika daluga mapema sana😂,

Udikteta unaousema wewe kwenye hizo nchi mnazotaka kukilinganisha nao , viongozi wake nao walipata Div 4 au waliiba mitihani, au mnalinganisha visivyofanana.

Au achana na mambo ya akili za darasani, nitajie kiongozi mmoja wa Tz mwenye charisma ya uongozi... mmoja tu aliepo kwenye mfumo kwa sasa.
 
Mkuu kuna kutofautisha mambo.
Vyombo vya ulinzi na usalama havina neno "uhuru au demokrasia " ni taasisi za kupokea na kutekeleza maamuzi.
Usifananishe na taasisi nyingine..
Ni taasisi makini ndiyo maana hazina demokrasia. Uhuru ni subjective. Wana uhuru unaoendana na kazi yao.
 
Naona mnataka kutundika daluga mapema sana😂,

Udikteta unaousema wewe kwenye hizo nchi mnazotaka kukilinganisha nao , viongozi wake nao walipata Div 4 au waliiba mitihani, au mnalinganisha visivyofanana.

Au achana na mambo ya akili za darasani, nitajie kiongozi mmoja wa Tz mwenye charisma ya uongozi... mmoja tu aliepo kwenye mfumo kwa sasa.
Hawa waliopatikana kwa demokrasia uchwara!!?
 
Mada ni democracy...
Mada sio discipline
Kama Discipline basi China na Japan na Korea wako juu kuzidi hao
Exactly and on point
Kwahiyo sisi tunaweza kuwa kama Japan au China au hata Korea tukiwaacha mtutawale at your wish? Can you by any means promise that?

Una dictate nini ukiwa huna discipline ...

mnataka nchi iingie kwenye machafuko?
 
Duniani Taasisi yoyote ile iliyo makini haiwezi kukubali kuendeshwa kidemokrasia. Taasisi inayotaka kuwa imara haiwezi kuendeshwa kidemokrasia. Ndiyo maana majeshi hayaendeshwi kidemokrasia. Yanaendeshwa kwa uwezo. Katika nchi nyingi majeshi ndiyo huwa taasisi zenye ufanisi zaidi.

Angalia kanisa Katoliki lilivyo stable na lenye ufanisi. Sababu kubwa ni kutoendeshwa kidemokrasia. Wanaangalia uwezo. Nenda huku KKT, demokrasia imewafanya kuwa taasisi dhaifu, yenye migogoro na ufisafi. Hata kwenye ngazi ya familia. Familia inayotaka kusonga mbele haiwezi endeshwa kidemokrasia.

Hata nchi. Nchi yoyote inayoenda kidemokrasia haiwezi kuwa stable. Haiwezi kuwa na ufanisi. Itakuwa tu kama KKT inakoelekea. Itakuwa tu kama jeshi linaloendehswa kidemokrasia. Nchi zinapoteza muda kuendeshwa kidemokrasia.
Inategemea wewe unatafsiri vipi democracy
 
Wewe unaongea kama vile mtoto mdogo...
USA na England zina preach democracy...na zinataka nchi zinazo wapa misaada ziwe za democracy...
Qatar na Emirates lini wali preach democracy???
Mkuu mimi naheshimu sana michango yako.
Ila kuna tofauti kubwa sana kati ya wafalme au viongozi wa Nchi za Kiarabu na Kiafrika.
Wenzetu mashariki ya kati demokrasia ni duni ila viongozi wanawajibika kujenga miundombinu na maendeleo ya nchi zao. Sisi hatuna vyote!!
Magharibi pia.,matatizo yanayozikumba nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara kwao hawana..
Hatujapa viongozi wenye nia bado..
Huenda Mwenyezi Mungu akatupa siku zijazo INSHAALLAH.
Viongozi watakaopunguza gharama za juu wanazotumia ili kumsaidia mtu wa china apate angalau matibabu ya msingi.,maji safi na elimu.
 
Duniani Taasisi yoyote ile iliyo makini haiwezi kukubali kuendeshwa kidemokrasia. Taasisi inayotaka kuwa imara haiwezi kuendeshwa kidemokrasia. Ndiyo maana majeshi hayaendeshwi kidemokrasia. Yanaendeshwa kwa uwezo. Katika nchi nyingi majeshi ndiyo huwa taasisi zenye ufanisi zaidi.

Angalia kanisa Katoliki lilivyo stable na lenye ufanisi. Sababu kubwa ni kutoendeshwa kidemokrasia. Wanaangalia uwezo. Nenda huku KKT, demokrasia imewafanya kuwa taasisi dhaifu, yenye migogoro na ufisafi. Hata kwenye ngazi ya familia. Familia inayotaka kusonga mbele haiwezi endeshwa kidemokrasia.

Hata nchi. Nchi yoyote inayoenda kidemokrasia haiwezi kuwa stable. Haiwezi kuwa na ufanisi. Itakuwa tu kama KKT inakoelekea. Itakuwa tu kama jeshi linaloendehswa kidemokrasia. Nchi zinapoteza muda kuendeshwa kidemokrasia.
Kwakweli 😅
Inatakiwa udikteta ulio na Uadilifu mkubwa !!
 
Exactly and on point
Kwahiyo sisi tunaweza kuwa kama Japan au China au hata Korea tukiwaacha mtutawale at your wish? Can you by any means promise that?

Una dictate nini ukiwa huna discipline ...

mnataka nchi iingie kwenye machafuko?


Wewe jamaa Una umri gani?
Mada inajadili democracy
Ghafla ishageuka Tanzania na machafuko na discipline...
Kwani mleta mada amesema democracy ifutwe Tz?
Au ushakimbilia conclusion yako na hofu zako na assumptions zako?
Unaongea kuhusu discipline wakati hata discipline ya Ku stick na main point huna?
 
Back
Top Bottom