🤣demokrasia ipo, ila ipo sirini,
kwa mfano walipokua wanamchagua Papa wao baada ya John Paul wa pili kuaga Dunia, alichaguliwa mtu alafu walipochoma kura zake ukafuka Moshi mweusi ishara kua hafai na mpaka leo huyo askofu hajulikani ni nani na wawapi, wakarudia kura ndipo akapatikana papa Francisco baada ya Moshi mweupe kufuka baada ya kura zake kuchomwa.
Pia mtu anapoteuliwa Askofu au paroko, mwingine hawezi fahamu kwanini huyu na si yeye.
Matokeo yake hayupo wa kulaumiwa kwa aidha upendeleo, udanganyofu au wizi wa kura.
na hapo ndipo panatofautisha hilo dhehebu na madhehebu au taasisi nyingine.
so uwezo ni moja lakini usiri ni muhimu Zaidi.