Mwaka jana nilisafiri dar 2 Arusha kwenye siti ya bac nilikaa na mdadaa ,yule dada alinikuta mm ndio wakwanza kufika kwenye bac nikaa cty yngu drishan,
Alivyofka akanipa hai ,ukapita ukimya kdg ..nikaanza mchombeza chombeza mwishowee story sana mpk kufka sehemu ya msosi tukaongozana ,tukala nikaclear bili tukarudi kwenye bac na juice zetu za box za Azam
Bwana bwana mpk tunafka chuga cjamsemesha kuhusu namba wala nn ,mm nilikuwa nashukaa kabla ya stendi ,ili nikaribia kufika najiandaa ananda kushuka km mjuavyo basi ,mtt akaona isiwee tabu km mm cjamwomba namba kwann yy asiombee yangu ,bc nikampa mtt nambaa nikashuka zangu,kabla cjafka niendako ananiulizaa kwa sms unarudi lini dar[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1],,dem km huyo unamwachajee madam km c kumla tu