Tabia hii wanaume mtaiacha lini?

Tabia hii wanaume mtaiacha lini?

Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa!

Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko superior au less superior to the opposite sex, bali sote tunategemeana katika kuyaishi maisha haya mafupi katika Ulimwengu huu.

BINAFSI kuna TABIA moja inanikwaza sana kutoka kwa ndugu zetu hawa wa jinsi ya Me; ukikutana na mwanaume mathalan safari, kwenye majukumu ya kikazi au hafla za kijamii wengi watakuomba namba WHICH OFCOURSE IS NOT BAD lakini changamoto inakuja kwenye matumizi ya hiyo namba!!!

Asilimia kubwa ni kutongoza!!!! Jamani Kama ilivyo kwa wanaume wenzio mwanamke anaweza akawa mshirika katika biashara, kazi au madili mengine, sasa ukitanguliza NGONO utafunga MILANGO MINGINE ya kushirikiana kama wanajamii katika kuyaendesha maisha haya.

Baadhi ya wanaume huwa nashindwa kabisa kuwaelewa vichwa vyao vinawaza nini!!!!

Unakutana na mtu ana mahusiano au familia yake PLEASE HESHIMU PERSONAL LIFE YAKE NA KAMA HUNA CHOCHOTE UNAWEZA KUSHARE NAYE POSITIVE LET HER MOVE ON WITH HER STRUGGLE...

Usimrubuni mwanadada au binti wa watu ili ULETE UZI HAPA JF huku ukimwachia majonzi katika maisha yake!!!! Huna future na mtu au ana mahusiano yake msaidie kuyalinda na usiwe sababu ya kuvurugikiwa!!!!

Kuna wanaume wa kweli WACHACHE ambao anaweza kumsaidia MWANAMKE NA WALA ASIHITAJI NAMBA YA SIMU WALA SHUKRAN!!! Siyo wengine akipata nafasi ya kutoa huduma au msaada kwa mwanamke basi tayari ametengeneza NDOANA...

Wengi wa WANAUME HAPA WANALIA MAISHA MAGUMU HAYAELEWEKI, HONESTLY NADHANI PARTLY NI KWA SABABU YA MACHOZI MNAYOYASABABISHA KWA MABINTI ZA WATU!!!!

Jamani hii TABIA IMEKUWA SHIDA SANA KWENYE JAMII ZETU....
Sawa tumekusoma mama. Haya nyie wanaume Wenye tabia hii mbovu ya kuomba namba za wanawake kwa lengo la kuwatongoza muwache mara moja.
 
Hujui tu sister jinsi tunavyotamani kupata wenza wanaojitambua. Ila kila tukijaribu wote ni kama mama na baba zao ni wamoja.
Hicho unachotulaumu ni vile tunajaribu kuitumia kila fursa kuweka mambo sawa
Umeeleweka sana mkuu
 
Tatizo na nyie wanawake mkisaidiwa hamna namna ya kutoa shukrani zaidi utataka iyo bibi hapo chini itoke kama zawadi.

Tukitoa msaada bila kuwaomba namba mnaona tumedharau uzuri wenu.
Hii ni excuse tu ILA KUNA BAADHI YA WANAUME ni shiiida, Uchumi wa Tanzania unakuwa wanawake wengi wamesoma, wengi wanashikilia nafasi mbalimbali, wengi wana biashara mbalimbali na wengi wana vipato HIVYO NI KOSA KUBWA KUMFIKIRIA MWANAMKE WA SASA WA TANAZANIA SAWA NA KARNE YA 20!!!!!

Mwanamke wa leo unaweza kushirikiana NAYE kwenye mambo chanya na yenye TIJA!!! Ila ukiwa na mawaza ya kumwona kila mwanamke kama sex toy ujuue unaweza ukawa unajifungia fursa mbalimbali mwenyewe bila kujijua!!!!

Wenye TABIA hii badilikeni!!!
 
Mwaka jana nilisafiri dar 2 Arusha kwenye siti ya bac nilikaa na mdadaa ,yule dada alinikuta mm ndio wakwanza kufika kwenye bac nikaa cty yngu drishan,
Alivyofka akanipa hai ,ukapita ukimya kdg ..nikaanza mchombeza chombeza mwishowee story sana mpk kufka sehemu ya msosi tukaongozana ,tukala nikaclear bili tukarudi kwenye bac na juice zetu za box za Azam
Bwana bwana mpk tunafka chuga cjamsemesha kuhusu namba wala nn ,mm nilikuwa nashukaa kabla ya stendi ,ili nikaribia kufika najiandaa ananda kushuka km mjuavyo basi ,mtt akaona isiwee tabu km mm cjamwomba namba kwann yy asiombee yangu ,bc nikampa mtt nambaa nikashuka zangu,kabla cjafka niendako ananiulizaa kwa sms unarudi lini dar[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1],,dem km huyo unamwachajee madam km c kumla tu
Wanawake wasipo ombwa namba wanajisikia vibaya wanakuwa wanyonge wanajiona wao siyo pisi kali, yani wao furaha yao ni kusikia mwanaume unaomba namba tu.
 
Niliwahi kusikia kwamba wanawake kutongozwa huwa wanaona ni ujiko.

Yaani bila kusimamishwa na kuombwa namba wanahisi labda hawapendezi na kuvutia tena.
Huu ni ujinga ulio kwenye vichwa vya baadhi ya watu
 
Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa!

Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko superior au less superior to the opposite sex, bali sote tunategemeana katika kuyaishi maisha haya mafupi katika Ulimwengu huu.

BINAFSI kuna TABIA moja inanikwaza sana kutoka kwa ndugu zetu hawa wa jinsi ya Me; ukikutana na mwanaume mathalan safari, kwenye majukumu ya kikazi au hafla za kijamii wengi watakuomba namba WHICH OFCOURSE IS NOT BAD lakini changamoto inakuja kwenye matumizi ya hiyo namba!!!

Asilimia kubwa ni kutongoza!!!! Jamani Kama ilivyo kwa wanaume wenzio mwanamke anaweza akawa mshirika katika biashara, kazi au madili mengine, sasa ukitanguliza NGONO utafunga MILANGO MINGINE ya kushirikiana kama wanajamii katika kuyaendesha maisha haya.

Baadhi ya wanaume huwa nashindwa kabisa kuwaelewa vichwa vyao vinawaza nini!!!!

Unakutana na mtu ana mahusiano au familia yake PLEASE HESHIMU PERSONAL LIFE YAKE NA KAMA HUNA CHOCHOTE UNAWEZA KUSHARE NAYE POSITIVE LET HER MOVE ON WITH HER STRUGGLE...

Usimrubuni mwanadada au binti wa watu ili ULETE UZI HAPA JF huku ukimwachia majonzi katika maisha yake!!!! Huna future na mtu au ana mahusiano yake msaidie kuyalinda na usiwe sababu ya kuvurugikiwa!!!!

Kuna wanaume wa kweli WACHACHE ambao anaweza kumsaidia MWANAMKE NA WALA ASIHITAJI NAMBA YA SIMU WALA SHUKRAN!!! Siyo wengine akipata nafasi ya kutoa huduma au msaada kwa mwanamke basi tayari ametengeneza NDOANA...

Wengi wa WANAUME HAPA WANALIA MAISHA MAGUMU HAYAELEWEKI, HONESTLY NADHANI PARTLY NI KWA SABABU YA MACHOZI MNAYOYASABABISHA KWA MABINTI ZA WATU!!!!

Jamani hii TABIA IMEKUWA SHIDA SANA KWENYE JAMII ZETU....
Naomba namba yako tafadhari, nitakuchek
 
Wanawake wasipo ombwa namba wanajisikia vibaya wanakuwa wanyonge wanajiona wao siyo pisi kali, yani wao furaha yao ni kusikia mwanaume unaomba namba tu.
OF COURSE kama ilivyo wanaume kuna wanawake wa hivyo ILA NAKUHAKIKISHIA SIYO KILA MWANAMKE YUPO HIVYO.....

Lakini pia siyo kila anayejirahisisha LAZIMA upite NAYE, tujitahidi kuwa na focus na mahusiano yetu na muda na akili zitumike kuipeleka mbele nchi
 
Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa!

Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko superior au less superior to the opposite sex, bali sote tunategemeana katika kuyaishi maisha haya mafupi katika Ulimwengu huu.

BINAFSI kuna TABIA moja inanikwaza sana kutoka kwa ndugu zetu hawa wa jinsi ya Me; ukikutana na mwanaume mathalan safari, kwenye majukumu ya kikazi au hafla za kijamii wengi watakuomba namba WHICH OFCOURSE IS NOT BAD lakini changamoto inakuja kwenye matumizi ya hiyo namba!!!

Asilimia kubwa ni kutongoza!!!! Jamani Kama ilivyo kwa wanaume wenzio mwanamke anaweza akawa mshirika katika biashara, kazi au madili mengine, sasa ukitanguliza NGONO utafunga MILANGO MINGINE ya kushirikiana kama wanajamii katika kuyaendesha maisha haya.

Baadhi ya wanaume huwa nashindwa kabisa kuwaelewa vichwa vyao vinawaza nini!!!!

Unakutana na mtu ana mahusiano au familia yake PLEASE HESHIMU PERSONAL LIFE YAKE NA KAMA HUNA CHOCHOTE UNAWEZA KUSHARE NAYE POSITIVE LET HER MOVE ON WITH HER STRUGGLE...

Usimrubuni mwanadada au binti wa watu ili ULETE UZI HAPA JF huku ukimwachia majonzi katika maisha yake!!!! Huna future na mtu au ana mahusiano yake msaidie kuyalinda na usiwe sababu ya kuvurugikiwa!!!!

Kuna wanaume wa kweli WACHACHE ambao anaweza kumsaidia MWANAMKE NA WALA ASIHITAJI NAMBA YA SIMU WALA SHUKRAN!!! Siyo wengine akipata nafasi ya kutoa huduma au msaada kwa mwanamke basi tayari ametengeneza NDOANA...

Wengi wa WANAUME HAPA WANALIA MAISHA MAGUMU HAYAELEWEKI, HONESTLY NADHANI PARTLY NI KWA SABABU YA MACHOZI MNAYOYASABABISHA KWA MABINTI ZA WATU!!!!

Jamani hii TABIA IMEKUWA SHIDA SANA KWENYE JAMII ZETU....
Cha kwanza wanaume tunajitosheleza tunacho kiona kwenu ni utelezi tu. Tukitoa utelezi wanawake karibu asilimia 99 hamna cha maana hasa nyie wanawake wa kibongo.

Kifupi hamna value zaidi ya utelezi tu....

Sasa wewe unakutana na binti wa miaka 24 cha ajabu hata buku nne ya kununua pedi hana sasa huyu nitaongea nae madili gani.......? Eti ndugu mtoa mada.

Wanawake wa kibongo most of you ni kwa ajiri ya utelezi tu nje na hapo nyie ni kama mifugo tu you are not worth any more
 
Hii ni excuse tu ILA KUNA BAADHI YA WANAUME ni shiiida, Uchumi wa Tanzania unakuwa wanawake wengi wamesoma, wengi wanashikilia nafasi mbalimbali, wengi wana biashara mbalimbali na wengi wana vipato HIVYO NI KOSA KUBWA KUMFIKIRIA MWANAMKE WA SASA WA TANAZANIA SAWA NA KARNE YA 20!!!!!

Mwanamke wa leo unaweza kushirikiana NAYE kwenye mambo chanya na yenye TIJA!!! Ila ukiwa na mawaza ya kumwona kila mwanamke kama sex toy ujuue unaweza ukawa unajifungia fursa mbalimbali mwenyewe bila kujijua!!!!

Wenye TABIA hii badilikeni!!!
Labda wewe na wanawake wanaowaza kama wewe ni asilimia 0.1 tu ya wanawake wote.

Wengi wenu mnajiweka Kwa kujiuza uza tu Yani, mmejiweka kuliwa liwa tu yani, mnajirahisisha sanaa yani.

Hata hao wanawake wenyewe waliosoma wanaliwa kirahisi kichizi yani, yani unagusa tu ushapewa tunda

Wanawake hamn kitu yani zerooo
 
Labda wewe na wanawake wanaowaza kama wewe ni asilimia 0.1 tu ya wanawake wote.

Wengi wenu mnajiweka Kwa kujiuza uza tu Yani, mmejiweka kuliwa liwa tu yani, mnajirahisisha sanaa yani.

Hata hao wanawake wenyewe waliosoma wanaliwa kirahisi kichizi yani, yani unagusa tu ushapewa tunda

Wanawake hamn kitu yani zerooo
Remember one thing: Hawa ambao tunawasema vibaya ndiyo hawa wametuzaa, ni mama zetu wadogo, shangazi zetu, binti zetu, dada zetu, wake zetu, wakwe zetu, walimu wetu n.k

Ni wanaume wangapi zipu za suruali zao zimeharibika KITABU NA HAZIFUNGI TENA...

unasemaje mnavyojikuta mnalawiti watoto wadogo, mnabaka na kutembea na wanafunzi...

Na Vitoto vinavyolawitiwa navyo UNASEMAJE???
 
Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa!

Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko superior au less superior to the opposite sex, bali sote tunategemeana katika kuyaishi maisha haya mafupi katika Ulimwengu huu.

BINAFSI kuna TABIA moja inanikwaza sana kutoka kwa ndugu zetu hawa wa jinsi ya Me; ukikutana na mwanaume mathalan safari, kwenye majukumu ya kikazi au hafla za kijamii wengi watakuomba namba WHICH OFCOURSE IS NOT BAD lakini changamoto inakuja kwenye matumizi ya hiyo namba!!!

Asilimia kubwa ni kutongoza!!!! Jamani Kama ilivyo kwa wanaume wenzio mwanamke anaweza akawa mshirika katika biashara, kazi au madili mengine, sasa ukitanguliza NGONO utafunga MILANGO MINGINE ya kushirikiana kama wanajamii katika kuyaendesha maisha haya.

Baadhi ya wanaume huwa nashindwa kabisa kuwaelewa vichwa vyao vinawaza nini!!!!

Unakutana na mtu ana mahusiano au familia yake PLEASE HESHIMU PERSONAL LIFE YAKE NA KAMA HUNA CHOCHOTE UNAWEZA KUSHARE NAYE POSITIVE LET HER MOVE ON WITH HER STRUGGLE...

Usimrubuni mwanadada au binti wa watu ili ULETE UZI HAPA JF huku ukimwachia majonzi katika maisha yake!!!! Huna future na mtu au ana mahusiano yake msaidie kuyalinda na usiwe sababu ya kuvurugikiwa!!!!

Kuna wanaume wa kweli WACHACHE ambao anaweza kumsaidia MWANAMKE NA WALA ASIHITAJI NAMBA YA SIMU WALA SHUKRAN!!! Siyo wengine akipata nafasi ya kutoa huduma au msaada kwa mwanamke basi tayari ametengeneza NDOANA...

Wengi wa WANAUME HAPA WANALIA MAISHA MAGUMU HAYAELEWEKI, HONESTLY NADHANI PARTLY NI KWA SABABU YA MACHOZI MNAYOYASABABISHA KWA MABINTI ZA WATU!!!!

Jamani hii TABIA IMEKUWA SHIDA SANA KWENYE JAMII ZETU....
Ndivyo maisha yalivyo. Kila mtego umewekwa ili akwepaye awe mshidi. Kiti hukatazwa kama kipo. Kataa kilichopo sio kisichokuwepo.
 
Back
Top Bottom