Swadakta! umenena mkuu [emoji817]Cha kwanza wanaume tunajitosheleza tunacho kiona kwenu ni utelezi tu. Tukitoa utelezi wanawake karibu asilimia 99 hamna cha maana hasa nyie wanawake wa kibongo.
Kifupi hamna value zaidi ya utelezi tu....
Sasa wewe unakutana na binti wa miaka 24 cha ajabu hata buku nne ya kununua pedi hana sasa huyu nitaongea nae madili gani.......? Eti ndugu mtoa mada.
Wanawake wa kibongo most of you ni kwa ajiri ya utelezi tu nje na hapo nyie ni kama mifugo tu you are not worth any more
Nakazia[emoji4]Mtu mnapeana number on the same day anakuomba hela utafanya nae biashara gani zaidi ya kuvuana chupi
Sahii kabisaWewe ndo ujiwekee msimamo dada ! Sisi ukitupa namba tutakutongoza tu [emoji2][emoji2] Kwa hiyo kama mnataka kukomesha hii tabia kataa tu ! Uking'ang'aniwa tia block , na siku hizi watu ving'ang'anizi hawapo ukimzungusha siku mbili anapotea !! Madeal nitafanya na wengine ambao sijawaelewa ! Ila nikikuelewa nakutongoza ! Onesha msimamo wako sasa tuone !! Ukichomoka kwangu basi , kuna baharia mwingine atakupata
Very well Said Sis!Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa!
Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko superior au less superior to the opposite sex, bali sote tunategemeana katika kuyaishi maisha haya mafupi katika Ulimwengu huu.
BINAFSI kuna TABIA moja inanikwaza sana kutoka kwa ndugu zetu hawa wa jinsi ya Me; ukikutana na mwanaume mathalan safari, kwenye majukumu ya kikazi au hafla za kijamii wengi watakuomba namba WHICH OFCOURSE IS NOT BAD lakini changamoto inakuja kwenye matumizi ya hiyo namba!!!
Asilimia kubwa ni kutongoza!!!! Jamani Kama ilivyo kwa wanaume wenzio mwanamke anaweza akawa mshirika katika biashara, kazi au madili mengine, sasa ukitanguliza NGONO utafunga MILANGO MINGINE ya kushirikiana kama wanajamii katika kuyaendesha maisha haya.
Baadhi ya wanaume huwa nashindwa kabisa kuwaelewa vichwa vyao vinawaza nini!!!!
Unakutana na mtu ana mahusiano au familia yake PLEASE HESHIMU PERSONAL LIFE YAKE NA KAMA HUNA CHOCHOTE UNAWEZA KUSHARE NAYE POSITIVE LET HER MOVE ON WITH HER STRUGGLE...
Usimrubuni mwanadada au binti wa watu ili ULETE UZI HAPA JF huku ukimwachia majonzi katika maisha yake!!!! Huna future na mtu au ana mahusiano yake msaidie kuyalinda na usiwe sababu ya kuvurugikiwa!!!!
Kuna wanaume wa kweli WACHACHE ambao anaweza kumsaidia MWANAMKE NA WALA ASIHITAJI NAMBA YA SIMU WALA SHUKRAN!!! Siyo wengine akipata nafasi ya kutoa huduma au msaada kwa mwanamke basi tayari ametengeneza NDOANA...
Wengi wa WANAUME HAPA WANALIA MAISHA MAGUMU HAYAELEWEKI, HONESTLY NADHANI PARTLY NI KWA SABABU YA MACHOZI MNAYOYASABABISHA KWA MABINTI ZA WATU!!!!
Jamani hii TABIA IMEKUWA SHIDA SANA KWENYE JAMII ZETU....
Kwa hiyo tufiche ukweli kwa sababu ni mama zetu....?[emoji23][emoji23]Remember one thing: Hawa ambao tunawasema vibaya ndiyo hawa wametuzaa, ni mama zetu wadogo, shangazi zetu, binti zetu, dada zetu, wake zetu, wakwe zetu, walimu wetu n.k
Ni wanaume wangapi zipu za suruali zao zimeharibika KITABU NA HAZIFUNGI TENA...
unasemaje mnavyojikuta mnalawiti watoto wadogo, mnabaka na kutembea na wanafunzi...
Na Vitoto vinavyolawitiwa navyo UNASEMAJE???
Tatizo lenu wanawake wengi hamna akili ya kujisimamia....mwanaume akikuomba namba mpe lakini muweke wazi kwa kumuambia "nakupa namba yangu lakini kama utanitafuta kwa ishu ya mahusiano tayari mimi nina mtu..lakini kwa ishu nyingine kama biashara na mambo mengine niko huru tu nicheki".......Salam Wanajamvi, natumai wote mko poa kabisa!
Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mungu wetu Bwana wa Viumbe vyote ametuumba Jinsi mbili za ME na KE. Kuwa Me au Ke haina maana kuwa uko superior au less superior to the opposite sex, bali sote tunategemeana katika kuyaishi maisha haya mafupi katika Ulimwengu huu.
BINAFSI kuna TABIA moja inanikwaza sana kutoka kwa ndugu zetu hawa wa jinsi ya Me; ukikutana na mwanaume mathalan safari, kwenye majukumu ya kikazi au hafla za kijamii wengi watakuomba namba WHICH OFCOURSE IS NOT BAD lakini changamoto inakuja kwenye matumizi ya hiyo namba!!!
Asilimia kubwa ni kutongoza!!!! Jamani Kama ilivyo kwa wanaume wenzio mwanamke anaweza akawa mshirika katika biashara, kazi au madili mengine, sasa ukitanguliza NGONO utafunga MILANGO MINGINE ya kushirikiana kama wanajamii katika kuyaendesha maisha haya.
Baadhi ya wanaume huwa nashindwa kabisa kuwaelewa vichwa vyao vinawaza nini!!!!
Unakutana na mtu ana mahusiano au familia yake PLEASE HESHIMU PERSONAL LIFE YAKE NA KAMA HUNA CHOCHOTE UNAWEZA KUSHARE NAYE POSITIVE LET HER MOVE ON WITH HER STRUGGLE...
Usimrubuni mwanadada au binti wa watu ili ULETE UZI HAPA JF huku ukimwachia majonzi katika maisha yake!!!! Huna future na mtu au ana mahusiano yake msaidie kuyalinda na usiwe sababu ya kuvurugikiwa!!!!
Kuna wanaume wa kweli WACHACHE ambao anaweza kumsaidia MWANAMKE NA WALA ASIHITAJI NAMBA YA SIMU WALA SHUKRAN!!! Siyo wengine akipata nafasi ya kutoa huduma au msaada kwa mwanamke basi tayari ametengeneza NDOANA...
Wengi wa WANAUME HAPA WANALIA MAISHA MAGUMU HAYAELEWEKI, HONESTLY NADHANI PARTLY NI KWA SABABU YA MACHOZI MNAYOYASABABISHA KWA MABINTI ZA WATU!!!!
Jamani hii TABIA IMEKUWA SHIDA SANA KWENYE JAMII ZETU....
Sasa kuna wenzako wakiona wanawake WANAWAZA KUWATONGOZA TU!!!mh!dada hujui raha ya kutongoza ww,alaf inategemea hyo namba mmepeana kwenye mazingira gani...mm kuna mdada nina namba yake yeye ananitengenezea bidhaa flan hv yan mazungumzo yetu ni biashara tu!tuna mwaka wa pili sasa
Siku hizi naona umekuwa Demi umeshindikanaYaani ni ajabu sana,unipe namba yako mwanaume afu nikuangalie tu...aisee lazima tupigane miti...na kupigana miti ndo lishe tosha kaz utafanya kiufanisi kabisa ofisini au biasharani
Mawazo potofu sana ayo.Kama haupo tayari kutongozwa usitoe number hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke mwisho wa siku mtapigana miti tu