Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).
Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.
Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.
Tabia nzuri na ya kuigwa.
View attachment 1838693
Kazaliwa na kukulia wapi,alikuwa anajisaidiaje,hajawahi nyeshewa mvua? Akiona mapungufu atarekebisha kwa wakati na rasilimali ikiruhusu.Ya nini kumpangia?
Wape za uso. Waambie chema chajiuza kibaya chajitembeza. Wachaga wameendelea kwa juhudi zao na siyo vinginevyo kama baadhi ya watu wanaowaonea wivu wanavyodhani. luambo makiadiMajani ya ng'ombe sio miwa
Anakuwa ameshajenga sehemu nyingine. Huko migombani anajenga nyumbani kwao alikozaliwa. Nyumba ya kupumzikia na kupunguza stress. Nyumba ya kukutana na ndugu. Kumabuka mkaataa kwao ni mtumwa.Jenga sehemu yoyote yenye fursa na sio kujenga kisa ni kwenu or something. Dunia inaendelea kwa kasi sana hivyo ukibaki na mawazo ya miaka ya 1960 utakuwa unajitafutia kufa masikini.
jenga popote pale penye fursa hata marekani, ila kama umeona kilimo ni fursa basi jenga huko shamba.
mtu mwenye akili ya kujenga kwao mradi ni kwao karne hii lazima atakuwa na mindset ya kitoto.
Ni kijijini. Amejenga kulingana na uwezo wake. Vijiji vya sehemu nyingine ukienda unakutana na nyumba kama viota vya ndege.Mbona hakuna nyumba ya maana hapo
Makafala ya damu ya mbuzi na matambiko yametamalaki uchagani
Mbona na mijini wamewekeza sanaKuna mitazamo tofauti.
Kujenga kijijini inaweza kuwa misallocation of resources.
Unawekeza investment kubwa ambayo ungeweka mjini ungeweza kupata fedha nyingi. Mtu ameweka ghorofa kijijini, ni kujionyesha au ndio nyumbani.
Unaishije stendi mkuu?Karibu sana kwetu bwashee
Huku ndio ajira yangu iliko bwasheeUnaishije stendi mkuu?
Wakuu, Kati ya kitu ambacho makabila mengine yanapaswa kuiga kwa wachagga ni hii tabia ya kujenga nyumbani (kwenye asili yako).
Hii picha nimeipiga Huko Moshi Vijijini, ndanindani sana huko kijiji cha Kirua.
Hii tabia ndio inayowahamasisha kurudi makwao mwisho wa Mwaka, kwasababu wanajua wanamaeneo mazuri yakufikia.
Tabia nzuri na ya kuigwa.
View attachment 1838693
We jamaa umenikumbusha vijiji vya uko kuna wampembe,kampumpuli,file kasanga nkMkuu utakua mwenyeji wa wampembe ziwa rukwa au,laela sio bure.tena mundali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]