longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,265
- 4,250
wapi wewe mi najua wanawake wa huko mnatutamani sana tu sema hayo maneno umetoa ili kuwapaka mafuta kwa mgongo wachupa manake kuna tuhuma kwamba idadi ya vibao vya kutangaza waganga wanaotoa tiba za nguvu za kiume ni nyingi kushinda wanaume waliopo dar.........Tena Hata kuoga wanaona shida, unapishana na mtu anastink ka nn, wanaume wa dar endeleeni kujipenda mpendeze mwaya tunawapenda hivyo hivyo Hata wakiwasema wadhaifu, bao moja kwa afya! Mapenzi sio vita mpaka ule ugali Sinia zima. Wanaume wa bara sio romantic lol😀
wapi wewe mi najua wanawake wa huko mnatutamani sana tu sema hayo maneno umetoa ili kuwapaka mafuta kwa mgongo wachupa manake kuna tuhuma kwamba idadi ya vibao vya kutangaza waganga wanaotoa tiba za nguvu za kiume ni nyingi kushinda wanaume waliopo dar.........
yani imezidi idadi ya wanaume wote wa dar es salaam ndo maana mnauziwa sex toys
sasa mtu unakula tonge mbili unasema umeshiba njaa itatoka wapi?Pamoja na miguvu yenu kila siku mnaletewa mahindi ya msaada ovyo sana nyie,umeshawahi kuskia dar kuna njaa?
Mwanaume anayekimbilia tigo ni mwanaume asiyeweza kupeleka moto sawasawaoho,ndio mtindo wenu unaoitwa kula tigo,si ndiyo!kuna dokta pale muhimbili anasema kwa wiki anawasafisha wanaume 5-10,kwa ku waingiza sindano ndani ya vibofu vya mikojo ili kufyonza vinyesi vilivyo ganda kwa kulana tigo,sasa kama mbele mmeshindwa hadi mmeze viagra,basi uko nyuma na mpaka mnywe super shaft,ahahaha
Warumi ni mfano dhahiri wa wanaume wa darsi ndio hapo aisee, dume zima limekaa linatokwa na mapovu kisa eti ugomvi wa Diamond vs Ali kiba, punguani kweli
hiyo ilikua zamani, sasa hivi maji tumejua namna ya kuya control na kuhifadhi, nyie mvua ikinyesha mnageuka vyura, maana kujenga nyumba za maana huko mwabepande mlikopewa viwanja hamtaki kisa hamna hela, mnang'ang'ania kuishi karibia na mji ili mcheze pool table na kuuza mitumbaWanaume wa mikoani hamjielewi mnaish kwa kutegemea mvua inyeshe hahahahahaha
Hii ya mwanaume kutegenezwa kucha niliiona live pale sinza B. Bar men linaoshwa kuchwa na kukatwa, nilishangaa sanaDuu halafu anajiita mwanaume
kwaiyo mfano imetokea ajali utasema wamekufa wanaume sita na mmasai mmoja au watu nane wamejeruhia na mmasai mmojaHapana wale ni wamasai na ile ni jadi
wanaume wa dar ni waongo sana ukiacha umbea wakudiscuss maisha ya watu, na uvivu na kupenda kushinda bar lakin ni wazuri kwa kuhonga ha ha ha ha , kukupangishia nyumba nzuri, kukununulia kiwanja au kukujengea sio hatari ila uongo haachi usidhani kama ndio anakupenda, ila pia ni watafutaji hata akiajiriwa lazima akili ichangamke kivyengine, mission town 🙂🙂[/QUOTEUnatuuma huku unatupuliza
Kwani Warumi ni mwanaume? Hakika mmatuharibia sifa yetu ya uanaumeWarumi ni mfano dhahiri wa wanaume wa dar
Huyo kaishi Mtwara.. Dar kaja akiwa mbunge na waziriView attachment 333180Dar wajanja wameishi toka kitambo sanaaa
Warumi ni mwanaume wa Dar heheheheKwani Warumi ni mwanaume? Hakika mmatuharibia sifa yetu ya uanaume
Mtwara sio Bara, so hana tofauti na wa Dar tu...Huyo kaishi Mtwara.. Dar kaja akiwa mbunge na waziri