Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Shikeni adabu nyie! hao sio wanaume wa Mwanza Bali " WANAUME WA CCM MWANZA"
Kwanza hakuna aliyejua kuwa Magu anatua Mwanza zaidi ya Diallo na watu wake ndio maana kijani na njano zilitapakaa uwanjani. Hiyo dezo kwa ccm mbona jambo la kawaida? Usikute baada ya kutoka hapo kuna mahali wanaume hao wa ccm waliandaliwa wali maharage.
Wanaume wa Mwanza huwa hawaweki kwenye hesabu wanaume wa ccm kwani ni maboya kama yanavyoonekana hapo
Kwanza hakuna aliyejua kuwa Magu anatua Mwanza zaidi ya Diallo na watu wake ndio maana kijani na njano zilitapakaa uwanjani. Hiyo dezo kwa ccm mbona jambo la kawaida? Usikute baada ya kutoka hapo kuna mahali wanaume hao wa ccm waliandaliwa wali maharage.
Wanaume wa Mwanza huwa hawaweki kwenye hesabu wanaume wa ccm kwani ni maboya kama yanavyoonekana hapo