Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Naelewa hayo mkuu mzani wa mahusiano kubalance ni shughuli pevu sometimes ni kujizima data tu ukiwa siriaz sana ni shida.Kwenye mahusiano mara nyingi hamuwezi kua sawa hua Kuna ambae kapenda sana design ya mtoa mada .....sasa Moja akiwa miyeyusho kukawa hamna maelewano yule miyeyusho hachukui mda mrefu mapema tu unashangaa anaenjoy penzi jipya ila ww penda penda sana
We cheka utafikiri ni mazuri angalia mwenzako anaumia kihisi🤣🤣
Ktk umri huo mtetezi wako anakua una nn account unadaka graduate flan jobless unakaendesha unavotaka ww😄Atafute wazee wenzake😅
Kama vipi atafute mnyonge wake na yeye aibe wa mtu kama alivyoibiwa wake
😂 kwahiyo nimuite daktari wetu?🤣🤣 Atamnyoosha vema
Sema nini mtoa mada ajitahidi kula vizuri akashiba, unajua sometime unaweza kuhisi ni mapenzi yanakutesa kumbe hushibi vizuri, njaaaa mbaya sana.
Hahaa tena jobless hayuko busy, utapewa mapenzi fullKtk umri huo mtetezi wako anakua una nn account unadaka graduate flan jobless unakaendesha unavotaka ww😄
Ile ya mara ya kwanza🤔aiseee labda nyie mpo vzr hamna hisia kali! Ila kama ni mpenzi wa pili, tatu huko haina shidaNa kwanini upende sana? Lazima utakua na shida mahali
Mtoto wa watu anakua kama manamba unaempeleka kila shughuliHahaa tena jobless hayuko busy, utapewa mapenzi full
Tumuombeee rafiki wa mtoa mada apate namba zangu nimuoneshe mambo makuu asiyoyajuaNaelewa hayo mkuu mzani wa mahusiano kubalance ni shughuli pevu sometimes ni kujizima data tu ukiwa siriaz sana ni shida.
Hahaa saivi atakua anaota ndoto ya 7😂 kwahiyo nimuite daktari wetu?
Mda mwingine ni njaa tu akishiba atakuwa sawa
Ushindwe wewe Tu hapo sasaMtoto wa watu anakua kama manamba unaempeleka kila shughuli
Iwe inasoma walao 7digital na kuendelea.... enjoyment yake ni tamu balaa.Ktk umri huo mtetezi wako anakua una nn acount unadaka graduate flan jobless unakaendesha unavotaka ww😄
Nacheka kwa sababu nilishapita humo ila 3yrs hapana 😂We cheka utafikiri ni mazuri angalia mwenzako anaumia kihisi🤣🤣
Hii ndio ipojeSio ku ghost tu wengine wanafikia hatua Wana zombie kwenye relationship
Watakwambia digits 7 iwe basic salary 😂jf bnIwe inasoma walao 7digital na kuendelea.... enjoyment yake ni tamu balaa.
Ndio Ile unampenda mtu kwa moyo wako wote kumbe ye anapenda parachichi🤣🤣Ile ya mara ya kwanza🤔aiseee labda nyie mpo vzr hamna hisia kali! Ila kama ni mpenzi wa pili, tatu huko haina shida
Haujapasha?Nacheka kwa sababu nilishapita humo ila 3yrs hapana 😂
Leo nikiwa natoka ibada night nimekutana na Ke mmoja nae alikuwa na mitabia hiyo hiyo nilishamsotea sana ila now naona kawaka.
😄Kumbe jeuri yote Kuna binti alikunyoosha vilivyoNacheka kwa sababu nilishapita humo
HahahaWatakwambia digits 7 iwe basic salary 😂jf bn
Bora hata parachichi ntamnunulia! hv ushawahi kutana na mtu huelewi anataka nini? Hela unampa, usafiri unajitahidi hata kama huna gari ila anasafir vzr, kule 6×5 unajitahidi lkn waaaaapiNdio Ile unampenda mtu kwa moyo wako wote kumbe ye anapenda parachichi🤣🤣