Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Hahaa,
Hapo natamani kukuona na vimashavu vyako unavyokimbizana kupanda pikipiki kwa uoga..!
Nimechekaaaa...!
 
binafsi huwa hata sifikiagi hatua ya ku panic, nikiona unaanza kuleta kunikosoa au kunituhum bila sababu za msingi fasta i agree with you and ghafla u will keep seeing me occassionally sana.Yan huwezi kunijaza hata kwa mbali. na conversation yetu itakua very disconnected.
 
Hahaa,
Hapo natamani kukuona na vimashavu vyako unavyokimbizana kupanda pikipiki kwa uoga..!
Nimechekaaaa...!
Yaani dada kama umeniona vile.. nlikua mdogo kama nmemwagiwa maji baridi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
kiukwel mimi now days niko hivi, yani kupigizana kelele siku hiz siwezi kabisaa,,mambo yangu ni meengi mno yanatosha kunifanya niwe na kila sababu ya kuepuka mazogo zogo.
 
Hujashikwa ukashikika we maandazi, eti nakuwa 'disconnected' with who.???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…