Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?



Guys,

Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.

Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.

Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.

Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.

Hivi hili litakuwa tatizo gani?

Dada siku ukiwashwa ndo utaelewa na kuacha hyo tabia ya ugomvi [emoji23][emoji23] ukikutana mbabe labda shwm mpole ndomana unamletea hizo
 
Huu ndio ugomvi sasa
IMG-20220311-WA0009.jpg
 
Inategemea na ugomvi unakuwaje, aidha ni Mimi nijishushe ama tuutafutie tu solusheni uishe..!
Na siyo mtu yoyote hapana, only my man..!!
Hiii Hali anayo mamawatoto wangu, exactly ulichokiandika ndivyo alivyo changanya nauswahili wake wapwani ndio balaa,Ila kusema kweli mara nyingi unakua niwivu uliopitiliza nakutaka serious attention kutoka kwahyo umpendae ,yy husisitiza ananipenda lkn,kwangu Naona sio type yangu,mm nahitaji cool and submissive wife,
Kwakweli magomvi ktk mahusiano hasa yakujitafutia huharibu mahusiano nakuibua hisia hasi ,no body wants to be around an irritating person,Kua na irritative behaviour Unarisk Sana mahusiano yako kuvunjika ,kwasababu zako zakukifurhisha,
Ushauri wangu,ni either utafute MTU mtakae endana nae au ujiandae Kwa lolote maana sio Tabia most men need, nawasiliana.
 
Hata hivyo mlishasema yenu matako akili mtatumia zakwetu!..
By the way itafaa zaidi ukutane na mtu ambae furaha yake ni kuona nundu ama damu nafikiri yatakuwa mapenzi ya heri kwenu..[emoji16]
Yaani nakumbuka mkuu mapenzi yahivi,Hadi mnashikiana silaha,nakung'atana nishawahi kung'atwa mara kadhaa mgongoni namikononi kuanza kuuguza majereha mapenzi yahivi hayana afya kwakweli nikutafuta attention zisizo zamsingi halafu huleta madhara Tu nakuondoa mazungumzo chanya Kati yenu
 
Hilo ni tatizo.. wewe unaona utani mwenzio anachukulia serious. Hapo ndio wanaendaga kutafuta sehemu yenye Amani anapumzika zake... Binafsi sipendi mahusiano yenye malumbano nachefukwa haraka Sana.... Napenda mpenzi tupige story tuchekeee,tudisiscuss idea,tusengenye wananzengo Kiasi japo wanajitiaga hawataki umbea kumbe wanautaka Sana.... Achana na huo mchezo shosti
Eti kuseng'enya wananzengo kidogo,nikweli mkiwa ktk mahusiano yaliyoshibana yataambatana,nakupiga story kadhawakadha,kupeana umbea wahapa napale ,kuzungumza maendeleo,nnachangamoto ikiwemo familia zenu najinsi ambavyo ndugu wanazingua au kusaidia,SASA haya mambo ya ugomvi daahh,japo namm nishakutana na Aina hii yamapenzi natumzaa nae , kiukwel nichangamoto
 
Hilo ni tatizo.. wewe unaona utani mwenzio anachukulia serious. Hapo ndio wanaendaga kutafuta sehemu yenye Amani anapumzika zake... Binafsi sipendi mahusiano yenye malumbano nachefukwa haraka Sana.... Napenda mpenzi tupige story tuchekeee,tudisiscuss idea,tusengenye wananzengo Kiasi japo wanajitiaga hawataki umbea kumbe wanautaka Sana.... Achana na huo mchezo shosti
Eti kuseng'enya wananzengo kidogo,nikweli mkiwa ktk mahusiano yaliyoshibana yataambatana,nakupiga story kadhawakadha,kupeana umbea wahapa napale ,kuzungumza maendeleo,nnachangamoto ikiwemo familia zenu najinsi ambavyo ndugu wanazingua au kusaidia,SASA haya mambo ya ugomvi daahh,japo namm nishakutana na Aina hii yamapenzi natumzaa nae , kiukwel nichangamoto
 
Eti kuseng'enya wananzengo kidogo,nikweli mkiwa ktk mahusiano yaliyoshibana yataambatana,nakupiga story kadhawakadha,kupeana umbea wahapa napale ,kuzungumza maendeleo,nnachangamoto ikiwemo familia zenu najinsi ambavyo ndugu wanazingua au kusaidia,SASA haya mambo ya ugomvi daahh,japo namm nishakutana na Aina hii yamapenzi natumzaa nae , kiukwel nichangamoto
Eeh Raha ya mpenzi Muwe na amani bwana sio migubugubu
 
Dada siku ukiwashwa ndo utaelewa na kuacha hyo tabia ya ugomvi [emoji23][emoji23] ukikutana mbabe labda shwm mpole ndomana unamletea hizo
dada mbona sahii najifunza kuishi ndani ya Kristo.???
 
Yaani nakumbuka mkuu mapenzi yahivi,Hadi mnashikiana silaha,nakung'atana nishawahi kung'atwa mara kadhaa mgongoni namikononi kuanza kuuguza majereha mapenzi yahivi hayana afya kwakweli nikutafuta attention zisizo zamsingi halafu huleta madhara Tu nakuondoa mazungumzo chanya Kati yenu
Mashetani mlikutana..😂
 


Guys,

Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.

Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.

Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.

Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.

Hivi hili litakuwa tatizo gani?
Mkurya nini wewe?
 
Unadeka,....juzi nko na demu wangu bafuni kaning’ata kifuani tena kwa nguvu mpaka nimehamaki afu ye anacheka tuu,..yaani mpaka ngozi imetaka kutoka.
 


Guys,

Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.

Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.

Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.

Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.

Hivi hili litakuwa tatizo gani?
Subili uje utolewe meno
 
Yani mtu niliyemtafuta ili anipe furaha ndio anakuwa chanzo cha stress Kila akijiskia?
 


Guys,

Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.

Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.

Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.

Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.

Hivi hili litakuwa tatizo gani?
Itakuwa unasumbuliwa na ugonjwa wa akili.
 
Back
Top Bottom