Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Hii comment nimeicopy nimetumia mdada hivi. Ahsante mkuu.Jiangalie. The more unazidi kumkasirisha mtu. The more unazidi kumsogeza mbali.
Ww unaona utani mwenzio anachukulia serious.
Siku atachoka utaona ha respond tena, ndio utajua hujui.
Kukushauri tu tafuta mtu anae elewa your behaviour.. oh suppress hiyo hali or risk loosing great men
Mbona attention ninazo za kunitosha jamani huwa hata sitafuti nyingine Espy..!?Attention seeker, unaitaka attention yake na umegundua namna ya kuipata ni kuzua ugomvi. Tabia za vitoto vya mwisho hizi na vitoto vilivyokosaga attention ya wazazi.
Nimesema kwenye msg mpendwa..!Huo umbali umeandika wapi Mbona hakuna Mahala umeweka wazi kwamba hii hutokea muhusika akiwa Mbali! Au hilo neno umesahau, Nilidhani wewe ni mchangiaji kumbe ndo mtoa mada
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Ahaaa kumbe ni kakukorofi tu akiwa mbali, siku atakufata atakupa makonzi ya utosi πMdogo wangu,
Nina akili hivyo, nikiwa karibu hata sauti husikii ni kudeka tu.!
Umesema unafurahia text zake ndeeefu wakati mnapogombana. Yes mnapogombana its obvious anakupa attention zaidi ili muumalize ugomvi. Kwahiyo yawezekana anakupa attention ila sio ile unayoitaka wewe ndio maana unayazua ya kuyazua.Mbona attention ninazo za kunitosha jamani huwa hata sitafuti nyingine Espy..!?
Oooow'...!Umesema unafurahia text zake ndeeefu wakati mnapogombana. Yes mnapogombana its obvious anakupa attention zaidi ili muumalize ugomvi. Kwahiyo yawezekana anakupa attention ila sio ile unayoitaka wewe ndio maana unayazua ya kuyazua.
Haha,Kuna demu alikuwa ana have fun of my panic disorder kama hivyo! Niliishiaga kumbutua na penzi likafaπ ! Kwa mtu aliezoea amani ni mbaya sana kumfanyia hivyo.
Kwake ilikuwa starehe ila kwangu ni kero, the exact thing unamfanyia jamaa na ana react ndio ilikuwa mimi huyo. Nachemka kwa hasira napandisha sauti like crazy yeye anafurahi weee!
Kwangu thats toxic as Fuc nilibwaga
Wa kushato ππΎHaha,
Kwani mwanangu Extro ulikuwa na manzi wangapi??
Dogo una matukio hatari[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna demu alikuwa ana have fun of my panic disorder kama hivyo! Niliishiaga kumbutua na penzi likafa[emoji28]! Kwa mtu aliezoea amani ni mbaya sana kumfanyia hivyo.
Kwake ilikuwa starehe ila kwangu ni kero, the exact thing unamfanyia jamaa na ana react ndio ilikuwa mimi huyo. Nachemka kwa hasira napandisha sauti like crazy yeye anafurahi weee!
Kwangu thats toxic as Fuc nilibwaga