Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

this came to me as a surprise walaqhi'..! Nimeskia kubarikiwa sana..!! Barikiwa pia hakika,
 
Msururu wake hadi shetani anaogopa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Extrovert unaona mahangaiko yako umeswampa weeee sasa hivi umebaki kutusagia kunguni eti tunyimwe hela. Ushindwe
Hahahaa,
amehangaika weeh', hakuna cha maana alichopata zaidi ya experience ya kufa mtu na broken hearts kama 1000 walaqhi' tena..!
 
Wengine inakuwa hujui kama unataniwa, wewe unajua tupo serious lakini Mimi naenjoy..!! Msalimie mtani mwenzangu.!
 
Hahahahahah dah demu mmoja anawezs kuwa na tabia za kiwaki 100 sasa niki refer muwe mnaelewa ni madem hao hao wawili😅 maana wapenzi wangu wawili tu
Kuliko niamini hili bora mninyonge..! Hahaa,
 
Ahsante mpendwa, ila siwezi fika huko naamini...!
 
Siku udungwe kisu maratatu uingie kwenye list kafa kisa penzi

pia acha hiyo njia unayotumia kujua mwezako hua anachukuliaje mizinga unayompigaga
Mbona suala la mizinga limekuja ghafla sana jamani??!
 
Tuko sawa mkuu..mm pia juz wken kaniletea za hivyo..alioga makofi na mitama ya kutosha...yaan unaona kabxa mtu anaku discomfort hadi mwsho af yy anajichekesha chekesha tu
Punguza hasira mazee,
 
Hahahahah Aisee, Itabidi nikuazime huyu wa kwangu mcheze huo mchezo maana mnafanana tabia, akiona mnafuraha tu lazima alianzishe bila sababu ya maana.
Ukikua utaacha lakini
Haha,
Nimecheka hatari, umejuaje matukio huyatafuta wakati wa furaha???
anyway, Jamaa keshakua pia tayari??
 
Hiyo mambo ndiyo ilisababisha niachane na mke wangu wa ndoa, anapenda ugomvi tu, yaani muda wote hataki uwe na amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…