Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Carleen

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2018
Posts
7,982
Reaction score
27,272
1644298969829.png


Guys,

Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali.

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua.

Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa, na nikimjibu namchokoza zaidi naye anaendelea kufunguka akiwa very serious, ila Mimi ndiyo raha yangu nimuone tu hivyo nafuraaahi.

Hii kitu siyo mara moja wala mara mbili, wala mara tatu, mpaka sasa naona hii siyo hali ya kawaida..!! Nikikaa zangu huko naanza zangu tu kuchokoza mtu, na nina enjoy ajabu.

Nimejaribu kuacha nashindwa maana nitajikuta tu tayari nishaanza kutafuta ugomvi ambao hata haupo.!! Yaani tukae muda kidogo hakuna purukushani.? Sijiskii kabisa nitatafuta tu chanzo na lazima nitakipata, nakaa pembeni na popcorn zangu naanza kuenjoy sasa.

Hivi hili litakuwa tatizo gani?
 
Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua..!

Kisha nakaa pembeni, naanza kucheka yaani nacheka mpaka nalia lakini unakuta mtu kakasirika kweli na anakuwa anaamini tunagombana lakini deep down Mimi nipo zangu sawa,
That's it!
Wanawake ni kama watoto wanapenda kufanya mambo ili kukupima uanaume wako.
Ndio maana inashauriwa kumchapa japo mara 3 kwa mwaka, mtu kama huyu mtoa mada akiendelea kukufanyia hivi halafu unaishia tu kupanik mwisho anaanza kukuona kama Shosti wake, atakufanyia vitimbwi hadi upagawe.

Kama kuna reasons zinazokusukuma kumchapa Mwanamke mchape kweli na sio kumgusagusa... Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe🚶🚶🚶
 
Guys,
Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali..!

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile aanze kutype meseji ndefu kama mvua..!
Hizo nazo ni zile hamu tu zikianza kupanda na kushuka basi na wewe unakua mgomvi ghafla
 
That's it!
Wanawake ni kama watoto wanapenda kufanya mambo ili kukupima uanaume wako.
Ndio maana inashauriwa kumchapa japo mara 3 kwa mwaka, mtu kama huyu mtoa mada akiendelea kukufanyia hivi halafu unaishia tu kupanik mwisho anaanza kukuona kama Shosti wake, atakufanyia vitimbwi hadi upagawe.

Kama kuna reasons zinazokusukuma kumchapa Mwanamke mchape kweli na sio kumgusagusa... Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe🚶🚶🚶
Kweli unachosema ila kuna sisi hatuwezi kumpiga ke, tabia hhizi akiwa nazo anaachika tu maana kwa experience wengi wanaofanya haya mambo wanafeed their ego kwa hiyo wanakutest kama umejaa na ukijaa tu unalo maana huwezijua kakujaza wapi,
hawanaga jema
 
Guys,
Naomba tuweke utani wa siku zote pembeni, mnishauri kitu na tuwe serious kidogo tafadhali..!

Mimi nina tabia moja hivi, napenda kumchokoza hasa mtu ninayempenda sana, yaani naanzisha kama kaugomvi mpaka nahakikisha mtu kapanic ile
Jiangalie. The more unazidi kumkasirisha mtu. The more unazidi kumsogeza mbali.
Ww unaona utani mwenzio anachukulia serious.
Siku atachoka utaona ha respond tena, ndio utajua hujui.

Kukushauri tu tafuta mtu anae elewa your behaviour.. oh suppress hiyo hali or risk loosing great men
 
That's it!
Wanawake ni kama watoto wanapenda kufanya mambo ili kukupima uanaume wako.
Ndio maana inashauriwa kumchapa japo mara 3 kwa mwaka, mtu kama huyu mtoa mada akiendelea kukufanyia hivi halafu unaishia tu kupanik mwisho anaanza kukuona kama Shosti wake, atakufanyia vitimbwi hadi upagawe.

Kama kuna reasons zinazokusukuma kumchapa Mwanamke mchape kweli na sio kumgusagusa... Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe🚶🚶🚶
Wewe Vinci', kupigana tena jamani..??
 
One of my exes alikuwa na tabia kama hizo, sometimes umelala anakuchokoza halafu anakimbia nje, au anakukera tu bila ya kuwa na sababu maalumu. Its kinda sexy, mwanamke anayependa utani na masihara anakera lakini anavutia kwa njia ya kipekee.
Umenikumbusha mbali sana. Hahah...
 
Back
Top Bottom