Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

Tabia ya kutafuta ugomvi bila sababu za msingi inasababishwa na nini?

nitakuombea tu , sasa kama hata bange unakula na ugali haya maombi mbona yatahitaji muda mrefu sana?

hahahahha lakini ile mboga ni tamu sana hata mimi nishakula
Hahhaahaaaaa...
Mtumishi hata wewe.???

Jamani kanisa tuna maombi ya kufunga Mamtumishi kajaribiwa..!!
 
Sio rahisi kusema kama unavyodhani, kama kusoma hujuia tizama picha ati
Hahaha issue tupo mbali hatuishi pamoja unapaswa useme hata nmekumic baba kesho tuonane,kwa mwanaume muelewa ashaelewa,,,lkn unaanza kisiran tuu jaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Haha,
Walishindwa hao siyo Mimi..!! Halafu ninyi wabishi hivi ndiyo nawapendaga hatari..! Nakuliza mpaka kamasi.!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ,,, once a KE always a KE,,,, lady kaa utulie,, kina hiki cha maji hukiwezi,,, unafanyiwa personal attributes test for a month,, kinachofata ni kukuweka kwa mstari,,,
 
Hahaha issue tupo mbali hatuishi pamoja unapaswa useme hata nmekumic baba kesho tuonane,kwa mwanaume muelewa ashaelewa,,,lkn unaanza kisiran tuu jaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Yeah, mara nyingi ndio njia rahisi ya kuonyesha hisia zetu, na akianza kisirani maana yake anataka uende ukambembeleze na automatically mtakua mmepata suluhisho la tatizo
 
Wewe Vinci', kupigana tena jamani..??
Utakuja kufia mikononi mwa Watu, hiyo tabia uiache. You're attention seeker, na hujui jinsi ya kupata attention ya mpenzio ndio maana Wafanya hivyo.

Ndio maana hua nasema kila mwanamke ana utoto ndani yake, mwanaume anayefaidi mwanamke fulani ni yule anaye-Entertain huo utoto wa mwanamke. Ila huo wako na wa hovyo utapigwa uchakae, Badirika kabla hayajakukuta mambo.
 
Hahaha... Wanawake ni complex individuals mkuu. Kuna mwanangu mmoja yeye alikuwa ananuniwa na demu wake bila sababu, na demu alikuwa mpole sana, mpaka mchizi akaona anishirikishe maana tulikuwa marafiki tulioshibana. Mimi nikamshauri kama anampenda awe anampuuzia tu, akijiona mjinga atamtafuta.
Ikafika time hadi manzi ananitafuta nimuombee msamaha, sasa si bora huyu mtu wa utani kuliko kuwa na mwanamke anakuadhibu bila kosa halafu mnaishi wote.
Carleen mwenyewe sindio huyu hapa sasa alimradi kero tu!
 
That's it!
Wanawake ni kama watoto wanapenda kufanya mambo ili kukupima uanaume wako.
Ndio maana inashauriwa kumchapa japo mara 3 kwa mwaka, mtu kama huyu mtoa mada akiendelea kukufanyia hivi halafu unaishia tu kupanik mwisho anaanza kukuona kama Shosti wake, atakufanyia vitimbwi hadi upagawe.

Kama kuna reasons zinazokusukuma kumchapa Mwanamke mchape kweli na sio kumgusagusa... Hawa watu akili zao wanazijua wenyewe[emoji124][emoji124][emoji124]
A slap atleast once a month
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ,,, once a KE always a KE,,,, lady kaa utulie,, kina hiki cha maji hukiwezi,,, unafanyiwa personal attributes test for a month,, kinachofata ni kukuweka kwa mstari,,,
Usijipe uhakika kiasi hicho, kubali kutokukubaliana Mr. Gregory..!!
 
Zmefikaa,,,ila wanawake mna mambo mengi sana,mfano kuna dame nadate nae sasa iv yeye hajawah kuniambia anahtaj dick,ila anaeza nambia nimsindikize mahali au tutoke out sasa nisipojiongeza lzma akasirike na kisiran cha kukerana haswa,sasa siku nikimtafuta ili tuyamalize tunajikuta tumekulana na hakuna cha msamaha wala nn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Jamani..! Mimi siwezi mficha mtu nayedate naye, nikitaka namuambia vizuri kuwa nataka, nataka nini na naitakaje waaaiii..!!
 
I am just sayn facts lady,, i may not be sure kama ntakula or sitakula,,,but i am sure ukijichanganya nakunyoosha[emoji23][emoji23][emoji23]

By the way msalimie shemeji
Zitamfikia..! Ila hiyo challenge siwezi iache ipite hivi hivi trust Me..!!
 
Hahaha kweli una akili sana lol, mwanajeshi anaepigana vita akiwa mafichoni
Mungu aniepushe lakini masuala ya kupigana na Mimi ni mbali mbali..!! Nikifika mbele yako natia huruma unaweza lia wewe..!
 
Back
Top Bottom