Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Au ni mmasai maana ndo tabia zao kutema mate bila sababuAisee huyu kila akio eshwa ni anatema mate.. muda wote sijui anashida gani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au ni mmasai maana ndo tabia zao kutema mate bila sababuAisee huyu kila akio eshwa ni anatema mate.. muda wote sijui anashida gani!
Aziz Ki? naye hujawahi kumuona akiwa uwanjani?Kwahiyo Umeona Umseme Saido Godi Faza wa Bujumbura[emoji23]
😂Aaah kmkNdugu Salary Slip umeshawahi cheza mpira au kushiriki mchezo wowote ule? elewa pale uwanjani kuna shughuli nzito mno kiasi kwamba mtu anakuwa sio kama wewe uliyekaa hapo kwa mume wa dada yako unatazama mechi. Kutema mate haiepukiki kwa mcheza soka au mwanariadha anapokuwa kwenye kazi yake. Ninakushauri wakati mwingine andika hata uzi wa mapishi jinsi unavyopika hapo kwa mume wa dada yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu Salary Slip umeshawahi cheza mpira au kushiriki mchezo wowote ule? elewa pale uwanjani kuna shughuli nzito mno kiasi kwamba mtu anakuwa sio kama wewe uliyekaa hapo kwa mume wa dada yako unatazama mechi. Kutema mate haiepukiki kwa mcheza soka au mwanariadha anapokuwa kwenye kazi yake. Ninakushauri wakati mwingine andika hata uzi wa mapishi jinsi unavyopika hapo kwa mume wa dada yako.
Kwahiyo huoni kama kutakuwa na muda wa kupotea tenah]? Yaani tupoteze muda kwenye VAR halafu tena tupoteze muda na wachezaj kutoka nje kutema mate.Nafahamu sana ila kama mchezaji anaweza kutoka na kwenda kugangwa nje wakati mechi inaendelea, itashindika nini kwa wachezaji kutoka nje ya uwanja na kukimbilia sehemu maalumu za kutema mate na kukimbia kurudi uwanjani?Kuwe na sehemu za faragha pembezeno mwa uwanja na mchezaji kuingia katika hizo sehemu asisubiri idhini ya refa bali awasiliane na wachezaji wenzake na akiona mazingira yanaruhusu anatoka faster anaenda kutema mate kisha anakimbia kurudi uwanjani au kutumia ile break ya kunywa maji kutema mate.
acha kutoa haja kubwa maana inaenda kuingiliana na mzunguko wa maji yetu ya asiliKatika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii tabia ili vitendo hivi vipungue viwanjani kwani inatia kinyaa sana,
Wachezaji wenyewe ndio waathirika zaidi pale wanapoanguka au kukaa chini uwanjani kwani wanakalia uchafu bora jasho ambalo haliepukiki,
Tutajifanya kutetea kwa kutoa sababu mbalimbali kwasababu hii ni soka lakini ni ukweli mtu mzima hata ukiwa kwenye kundi la watu huwezi tu kugeuka na kutema mate bali kwa mtu mstaarabu utasogea pembeni kabisa kutema mate tena huku nafdsi ikiwa inakataa, kukusuta na hata kuona aibu.
Wakati umefika FIFA waanzishe kampeni ya ku-discourae hii tabia katika mchezo wa soka ingawa ni vigumu kuiepuka kwa asilimia 100. Hata hivyo, kitendo tu cha kuiponda hii tabia, itapunguza tabia ya wachezaji wanaotema mate uwanjani kwa mazoe tu(wanatutia sana kinyaa).
Ushauri:viwanja viwe na sehemu maalumu za faragha kwa wachezaji kwenda kutema mate na kurudi uwanjani jirani na maeneo wanayokaa wachezaji wa akiba na mabenchi ya ufundi.
hahahaaaaaaNdugu Salary Slip umeshawahi cheza mpira au kushiriki mchezo wowote ule? elewa pale uwanjani kuna shughuli nzito mno kiasi kwamba mtu anakuwa sio kama wewe uliyekaa hapo kwa mume wa dada yako unatazama mechi. Kutema mate haiepukiki kwa mcheza soka au mwanariadha anapokuwa kwenye kazi yake. Ninakushauri wakati mwingine andika hata uzi wa mapishi jinsi unavyopika hapo kwa mume wa dada yako.
hahahaaaa kohozi lina mabaki ya ARVmimi enzi zangu nilikuwa sitemi tu mate bali hadi makohozi nayo nilikuwa nayatema na nilikuwa nikifurahishwa mno na kohozi likiwa linadondoka ardhini huku likiwa zito na la njano kabisa
usisahau kuna wachezaj wanacheza nafasi za katikatik ya uwanjaNafahamu sana ila kama mchezaji anaweza kutoka na kwenda kugangwa nje wakati mechi inaendelea, itashindika nini kwa wachezaji kutoka nje ya uwanja na kukimbilia sehemu maalumu za kutema mate na kukimbia kurudi uwanjani?Kuwe na sehemu za faragha pembezeno mwa uwanja na mchezaji kuingia katika hizo sehemu asisubiri idhini ya refa bali awasiliane na wachezaji wenzake na akiona mazingira yanaruhusu anatoka faster anaenda kutema mate kisha anakimbia kurudi uwanjani au kutumia ile break ya kunywa maji kutema mate.
unataka wameze mate ?Hata VAR kuna watu waaliipinga ila leo imeanza kuzoeleka.
Hakuna kinachoachwa mpaka afya ya akiliHadi ukimwi?
unataka wameze mate ?Hata VAR ililipingwa, Mfumo wa vyama vingi Bongo ulipingwa ,n.k. Hii ndio nature ya binadamu kupinga mabadiliko kwa kitu alicholizoe hivyo sikushangai na hata wakati naandika hii mada nilijua reaction ya baadhi ya watu itakuwaje.
CM/DM kulingana na mfumo unataka ateme wap mate? wkt muda mwingi yupo katikati ya uwanjaMada haisemi wasiteme mate bali hoja ni wateme wapi/wateme vipi. Tatizo hapa ni mazoea tuliyonayo.
unataka watoke je mechi si itachezwa dk 5 tu ?Mbona huwa wanatoka nje kugangwa na kurudi uwanjani?
tupe solution na sio kutoa mf isiyohusianaHata VAR ilipingwa na bado kuna watu mpaka leo wanaipinga. Tusiishi kwa kukariri.
nA kama wakijua una ngoma what's next?Hakuna kinachoachwa mpaka afya ya akili
Hii ni fact!Mazoezi (any physical activity) huzalisha kiwango kikubwa cha protini kinachoingia kwenye mate, aina hii ya mate huitwa MUC5B. Hii husababisha mate kuwa mazito zaidi hivyo kuwa ngumu kumeza na option rahisi inakiwa kuyatema.
Ndugu mleta mada hii ni science sio kuwa wanapenda na ingekuwa haijakuwa proved scientifically basi kutokana na masuala ya hygiene tungekuwa tunaona wachezaji wakiadhibiwa kwa uchafuzi wa mazingira.
Hebu jaribu kesho kufanya hata jogging ya kilometer 5 ulete mrejesho.
akateme wap sasa 🐒Katika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii tabia ili vitendo hivi vipungue viwanjani kwani inatia kinyaa sana,
Wachezaji wenyewe ndio waathirika zaidi pale wanapoanguka au kukaa chini uwanjani kwani wanakalia uchafu bora jasho ambalo haliepukiki,
Tutajifanya kutetea kwa kutoa sababu mbalimbali kwasababu hii ni soka lakini ni ukweli mtu mzima hata ukiwa kwenye kundi la watu huwezi tu kugeuka na kutema mate bali kwa mtu mstaarabu utasogea pembeni kabisa kutema mate tena huku nafdsi ikiwa inakataa, kukusuta na hata kuona aibu.
Wakati umefika FIFA waanzishe kampeni ya ku-discourae hii tabia katika mchezo wa soka ingawa ni vigumu kuiepuka kwa asilimia 100. Hata hivyo, kitendo tu cha kuiponda hii tabia, itapunguza tabia ya wachezaji wanaotema mate uwanjani kwa mazoe tu(wanatutia sana kinyaa).
Ushauri:viwanja viwe na sehemu maalumu za faragha kwa wachezaji kwenda kutema mate na kurudi uwanjani jirani na maeneo wanayokaa wachezaji wa akiba na mabenchi ya ufundi.
mchakato unaishia hapo, wachezaji wakulipwa wapo na afya njema sana na kama ni ugonjwa unaotibika unatibiwa tu itapobainika.nA kama wakijua una ngoma what's next?