Tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani inanikera sana

Tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani inanikera sana

Ndugu Salary Slip umeshawahi cheza mpira au kushiriki mchezo wowote ule? elewa pale uwanjani kuna shughuli nzito mno kiasi kwamba mtu anakuwa sio kama wewe uliyekaa hapo kwa mume wa dada yako unatazama mechi. Kutema mate haiepukiki kwa mcheza soka au mwanariadha anapokuwa kwenye kazi yake. Ninakushauri wakati mwingine andika hata uzi wa mapishi jinsi unavyopika hapo kwa mume wa dada yako.
😂Aaah kmk
 
Ndugu Salary Slip umeshawahi cheza mpira au kushiriki mchezo wowote ule? elewa pale uwanjani kuna shughuli nzito mno kiasi kwamba mtu anakuwa sio kama wewe uliyekaa hapo kwa mume wa dada yako unatazama mechi. Kutema mate haiepukiki kwa mcheza soka au mwanariadha anapokuwa kwenye kazi yake. Ninakushauri wakati mwingine andika hata uzi wa mapishi jinsi unavyopika hapo kwa mume wa dada yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nafahamu sana ila kama mchezaji anaweza kutoka na kwenda kugangwa nje wakati mechi inaendelea, itashindika nini kwa wachezaji kutoka nje ya uwanja na kukimbilia sehemu maalumu za kutema mate na kukimbia kurudi uwanjani?Kuwe na sehemu za faragha pembezeno mwa uwanja na mchezaji kuingia katika hizo sehemu asisubiri idhini ya refa bali awasiliane na wachezaji wenzake na akiona mazingira yanaruhusu anatoka faster anaenda kutema mate kisha anakimbia kurudi uwanjani au kutumia ile break ya kunywa maji kutema mate.
Kwahiyo huoni kama kutakuwa na muda wa kupotea tenah]? Yaani tupoteze muda kwenye VAR halafu tena tupoteze muda na wachezaj kutoka nje kutema mate.

Joh unafeli wp?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Katika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii tabia ili vitendo hivi vipungue viwanjani kwani inatia kinyaa sana,

Wachezaji wenyewe ndio waathirika zaidi pale wanapoanguka au kukaa chini uwanjani kwani wanakalia uchafu bora jasho ambalo haliepukiki,

Tutajifanya kutetea kwa kutoa sababu mbalimbali kwasababu hii ni soka lakini ni ukweli mtu mzima hata ukiwa kwenye kundi la watu huwezi tu kugeuka na kutema mate bali kwa mtu mstaarabu utasogea pembeni kabisa kutema mate tena huku nafdsi ikiwa inakataa, kukusuta na hata kuona aibu.

Wakati umefika FIFA waanzishe kampeni ya ku-discourae hii tabia katika mchezo wa soka ingawa ni vigumu kuiepuka kwa asilimia 100. Hata hivyo, kitendo tu cha kuiponda hii tabia, itapunguza tabia ya wachezaji wanaotema mate uwanjani kwa mazoe tu(wanatutia sana kinyaa).

Ushauri:viwanja viwe na sehemu maalumu za faragha kwa wachezaji kwenda kutema mate na kurudi uwanjani jirani na maeneo wanayokaa wachezaji wa akiba na mabenchi ya ufundi.
acha kutoa haja kubwa maana inaenda kuingiliana na mzunguko wa maji yetu ya asili

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu Salary Slip umeshawahi cheza mpira au kushiriki mchezo wowote ule? elewa pale uwanjani kuna shughuli nzito mno kiasi kwamba mtu anakuwa sio kama wewe uliyekaa hapo kwa mume wa dada yako unatazama mechi. Kutema mate haiepukiki kwa mcheza soka au mwanariadha anapokuwa kwenye kazi yake. Ninakushauri wakati mwingine andika hata uzi wa mapishi jinsi unavyopika hapo kwa mume wa dada yako.
hahahaaaaaa

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
hiyo hali huwa inatokea hata sijui kwanini,kama ulishacheza hata cha ndimu vigoli vidogo vya utotoni hiyo hali utakua umekutana nayo.
 
Nafahamu sana ila kama mchezaji anaweza kutoka na kwenda kugangwa nje wakati mechi inaendelea, itashindika nini kwa wachezaji kutoka nje ya uwanja na kukimbilia sehemu maalumu za kutema mate na kukimbia kurudi uwanjani?Kuwe na sehemu za faragha pembezeno mwa uwanja na mchezaji kuingia katika hizo sehemu asisubiri idhini ya refa bali awasiliane na wachezaji wenzake na akiona mazingira yanaruhusu anatoka faster anaenda kutema mate kisha anakimbia kurudi uwanjani au kutumia ile break ya kunywa maji kutema mate.
usisahau kuna wachezaj wanacheza nafasi za katikatik ya uwanja

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Hata VAR ililipingwa, Mfumo wa vyama vingi Bongo ulipingwa ,n.k. Hii ndio nature ya binadamu kupinga mabadiliko kwa kitu alicholizoe hivyo sikushangai na hata wakati naandika hii mada nilijua reaction ya baadhi ya watu itakuwaje.
unataka wameze mate ?

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Mazoezi (any physical activity) huzalisha kiwango kikubwa cha protini kinachoingia kwenye mate, aina hii ya mate huitwa MUC5B. Hii husababisha mate kuwa mazito zaidi hivyo kuwa ngumu kumeza na option rahisi inakiwa kuyatema.

Ndugu mleta mada hii ni science sio kuwa wanapenda na ingekuwa haijakuwa proved scientifically basi kutokana na masuala ya hygiene tungekuwa tunaona wachezaji wakiadhibiwa kwa uchafuzi wa mazingira.

Hebu jaribu kesho kufanya hata jogging ya kilometer 5 ulete mrejesho.
Hii ni fact!

The question is, why some sports, like tennis and basketball, penalise players for spitting, while football and rugby don’t?
 
Katika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii tabia ili vitendo hivi vipungue viwanjani kwani inatia kinyaa sana,

Wachezaji wenyewe ndio waathirika zaidi pale wanapoanguka au kukaa chini uwanjani kwani wanakalia uchafu bora jasho ambalo haliepukiki,

Tutajifanya kutetea kwa kutoa sababu mbalimbali kwasababu hii ni soka lakini ni ukweli mtu mzima hata ukiwa kwenye kundi la watu huwezi tu kugeuka na kutema mate bali kwa mtu mstaarabu utasogea pembeni kabisa kutema mate tena huku nafdsi ikiwa inakataa, kukusuta na hata kuona aibu.

Wakati umefika FIFA waanzishe kampeni ya ku-discourae hii tabia katika mchezo wa soka ingawa ni vigumu kuiepuka kwa asilimia 100. Hata hivyo, kitendo tu cha kuiponda hii tabia, itapunguza tabia ya wachezaji wanaotema mate uwanjani kwa mazoe tu(wanatutia sana kinyaa).

Ushauri:viwanja viwe na sehemu maalumu za faragha kwa wachezaji kwenda kutema mate na kurudi uwanjani jirani na maeneo wanayokaa wachezaji wa akiba na mabenchi ya ufundi.
akateme wap sasa 🐒
 
Back
Top Bottom