Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Mkuu unataka jamaa apakwe mate ili iweje!!Je wewe mtoa mada unaonaje ukiwekwa uwasaidie kuhifadhi mata hadi game liishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unataka jamaa apakwe mate ili iweje!!Je wewe mtoa mada unaonaje ukiwekwa uwasaidie kuhifadhi mata hadi game liishe
Kwa mantiki hii mpira utachezwa kwa dk mia na hamsini kwa sababu mchezaji hawezi toka nje ya uwanja pasipo ruhusa ya refa kwenye zile dakika za kucheza..Nafahamu sana ila kama mchezaji anaweza kutoka na kwenda kugangwa nje wakati mechi inaendelea, itashindika nini kwa wachezaji kutoka nje ya uwanja na kukimbilia sehemu maalumu za kutema mate na kukimbia kurudi uwanjani?Kuwe na sehemu za faragha pembezeno mwa uwanja na mchezaji kuingia katika hizo sehemu asisubiri idhini ya refa bali awasiliane na wachezaji wenzake na akiona mazingira yanaruhusu anatoka faster anaenda kutema mate kisha anakimbia kurudi uwanjani au kutumia ile break ya kunywa maji kutema mate.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23]Kwa mantiki hii mpira utachezewa Kwa dk mia na hamsini kwa sababu mchezaji hawezi toka nje ya uwanja pasipo ruhusa ya refa kwenye zile dakika za kucheza..
Sasa kwa maono Yako haya kwaiyo Kila mchezaji akitaka kutema mate aombe ruhusa ndio akateme si itakua hatari sasa manake mchezaji anaweza tema mate katika muda wa dk tisini hata mara mia saba kwaiyo hizo zote zitakua ruhusa tu.
Kuna wale wanapenga kamasi je?Katika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii tabia ili vitendo hivi vipungue viwanjani kwani inatia kinyaa sana,
Wachezaji wenyewe ndio waathirika zaidi pale wanapoanguka au kukaa chini uwanjani kwani wanakalia uchafu bora jasho ambalo haliepukiki,
Tutajifanya kutetea kwa kutoa sababu mbalimbali kwasababu hii ni soka lakini ni ukweli mtu mzima hata ukiwa kwenye kundi la watu huwezi tu kugeuka na kutema mate bali kwa mtu mstaarabu utasogea pembeni kabisa kutema mate tena huku nafdsi ikiwa inakataa, kukusuta na hata kuona aibu.
Wakati umefika FIFA waanzishe kampeni ya ku-discourae hii tabia katika mchezo wa soka ingawa ni vigumu kuiepuka kwa asilimia 100. Hata hivyo, kitendo tu cha kuiponda hii tabia, itapunguza tabia ya wachezaji wanaotema mate uwanjani kwa mazoe tu(wanatutia sana kinyaa).
Ushauri:viwanja viwe na sehemu maalumu za faragha kwa wachezaji kwenda kutema mate na kurudi uwanjani jirani na maeneo wanayokaa wachezaji wa akiba na mabenchi ya ufundi.
Huyu jamaa anaandika ujinga sana siju hizi.Yeye mwenyewe utakuta hatemi mate sehemu maalamu.Wewe hata sheria za soka unazijua? mbona unaandika mambo ya hovyo sana?
Kwahyo kila akijisikia kutema mate aende akatemee nyuma ya goli?Mada haisemi wasiteme mate bali hoja ni wateme wapi/wateme vipi. Tatizo hapa ni mazoea tuliyonayo.
Mfano ndiyo nimetenga mpira pale kwaajili ya penalti nimeshika kiuno huku natathmini namna ya kupiga nikisubiri filimbi natema mate kidogo hilo jambo huja bila kulipanga ukiweka sheria haiwezi kutekelezeka watu hujikuta tu wameshatema mateNafahamu sana ila kama mchezaji anaweza kutoka na kwenda kugangwa nje wakati mechi inaendelea, itashindika nini kwa wachezaji kutoka nje ya uwanja na kukimbilia sehemu maalumu za kutema mate na kukimbia kurudi uwanjani?Kuwe na sehemu za faragha pembezeno mwa uwanja na mchezaji kuingia katika hizo sehemu asisubiri idhini ya refa bali awasiliane na wachezaji wenzake na akiona mazingira yanaruhusu anatoka faster anaenda kutema mate kisha anakimbia kurudi uwanjani au kutumia ile break ya kunywa maji kutema mate.
Changudoa utamjua tu kwa kauli zake!Ndugu Salary Slip umeshawahi cheza mpira au kushiriki mchezo wowote ule? elewa pale uwanjani kuna shughuli nzito mno kiasi kwamba mtu anakuwa sio kama wewe uliyekaa hapo kwa mume wa dada yako unatazama mechi. Kutema mate haiepukiki kwa mcheza soka au mwanariadha anapokuwa kwenye kazi yake. Ninakushauri wakati mwingine andika hata uzi wa mapishi jinsi unavyopika hapo kwa mume wa dada yako.
Tupo wengi kumbe tunaokereka na tabia hiyo mbayaKatika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii tabia ili vitendo hivi vipungue viwanjani kwani inatia kinyaa sana,
Wachezaji wenyewe ndio waathirika zaidi pale wanapoanguka au kukaa chini uwanjani kwani wanakalia uchafu bora jasho ambalo haliepukiki,
Tutajifanya kutetea kwa kutoa sababu mbalimbali kwasababu hii ni soka lakini ni ukweli mtu mzima hata ukiwa kwenye kundi la watu huwezi tu kugeuka na kutema mate bali kwa mtu mstaarabu utasogea pembeni kabisa kutema mate tena huku nafdsi ikiwa inakataa, kukusuta na hata kuona aibu.
Wakati umefika FIFA waanzishe kampeni ya ku-discourae hii tabia katika mchezo wa soka ingawa ni vigumu kuiepuka kwa asilimia 100. Hata hivyo, kitendo tu cha kuiponda hii tabia, itapunguza tabia ya wachezaji wanaotema mate uwanjani kwa mazoe tu(wanatutia sana kinyaa).
Ushauri:viwanja viwe na sehemu maalumu za faragha kwa wachezaji kwenda kutema mate na kurudi uwanjani jirani na maeneo wanayokaa wachezaji wa akiba na mabenchi ya ufundi.
Ni kweli. Nilimgundua mama yako kirahisi sana pale Kimboka BarChangudoa utamjua tu kwa kauli zake!
Acha kutetea upumbavu. Wakifanya hivyo itakuwa sio soka tena.Ila hajakataa kutema mate, nilivyomwelewa amesema watengewe sehemu au wateme kistaarabu
Aisee huyu kila akio eshwa ni anatema mate.. muda wote sijui anashida gani!
Hauna haja ya kutukana, unatoa hoja tu inatoshaAcha kutetea upumbavu. Wakifanya hivyo itakuwa sio soka tena.
Ili aone kama ni rahisiMkuu unataka jamaa apakwe mate ili iweje!!
Kauze mbele malaya mkubwa wee!Ni kweli. Nilimgundua mama yako kirahisi sana pale Kimboka Bar