Tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani inanikera sana

Tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani inanikera sana

Mazoezi (any physical activity) huzalisha kiwango kikubwa cha protini kinachoingia kwenye mate, aina hii ya mate huitwa MUC5B. Hii husababisha mate kuwa mazito zaidi hivyo kuwa ngumu kumeza na option rahisi inakiwa kuyatema.

Ndugu mleta mada hii ni science sio kuwa wanapenda na ingekuwa haijakuwa proved scientifically basi kutokana na masuala ya hygiene tungekuwa tunaona wachezaji wakiadhibiwa kwa uchafuzi wa mazingira.

Hebu jaribu kesho kufanya hata jogging ya kilometer 5 ulete mrejesho.
At this Juncture..thread had to be closed..
👍👍📌📌
 
Katika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii tabia ili vitendo hivi vipungue viwanjani kwani inatia kinyaa sana,

Wachezaji wenyewe ndio waathirika zaidi pale wanapoanguka au kukaa chini uwanjani kwani wanakalia uchafu bora jasho ambalo haliepukiki,

Tutajifanya kutetea kwa kutoa sababu mbalimbali kwasababu hii ni soka lakini ni ukweli mtu mzima hata ukiwa kwenye kundi la watu huwezi tu kugeuka na kutema mate bali kwa mtu mstaarabu utasogea pembeni kabisa kutema mate tena huku nafdsi ikiwa inakataa, kukusuta na hata kuona aibu.

Wakati umefika FIFA waanzishe kampeni ya ku-discourae hii tabia katika mchezo wa soka ingawa ni vigumu kuiepuka kwa asilimia 100. Hata hivyo, kitendo tu cha kuiponda hii tabia, itapunguza tabia ya wachezaji wanaotema mate uwanjani kwa mazoe tu(wanatutia sana kinyaa).

Ushauri:viwanja viwe na sehemu maalumu za faragha kwa wachezaji kwenda kutema mate na kurudi uwanjani jirani na maeneo wanayokaa wachezaji wa akiba na mabenchi ya ufundi.
Nani kakwambia mate ni uchafu?
 
Mazoezi (any physical activity) huzalisha kiwango kikubwa cha protini kinachoingia kwenye mate, aina hii ya mate huitwa MUC5B. Hii husababisha mate kuwa mazito zaidi hivyo kuwa ngumu kumeza na option rahisi inakiwa kuyatema.

Ndugu mleta mada hii ni science sio kuwa wanapenda na ingekuwa haijakuwa proved scientifically basi kutokana na masuala ya hygiene tungekuwa tunaona wachezaji wakiadhibiwa kwa uchafuzi wa mazingira.

Hebu jaribu kesho kufanya hata jogging ya kilometer 5 ulete mrejesho.
Afanye jogging ya 5 kilometer huyu.... Labda apande bodaboda
 
Katika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii tabia ili vitendo hivi vipungue viwanjani kwani inatia kinyaa sana,

Wachezaji wenyewe ndio waathirika zaidi pale wanapoanguka au kukaa chini uwanjani kwani wanakalia uchafu bora jasho ambalo haliepukiki,

Tutajifanya kutetea kwa kutoa sababu mbalimbali kwasababu hii ni soka lakini ni ukweli mtu mzima hata ukiwa kwenye kundi la watu huwezi tu kugeuka na kutema mate bali kwa mtu mstaarabu utasogea pembeni kabisa kutema mate tena huku nafdsi ikiwa inakataa, kukusuta na hata kuona aibu.

Wakati umefika FIFA waanzishe kampeni ya ku-discourae hii tabia katika mchezo wa soka ingawa ni vigumu kuiepuka kwa asilimia 100. Hata hivyo, kitendo tu cha kuiponda hii tabia, itapunguza tabia ya wachezaji wanaotema mate uwanjani kwa mazoe tu(wanatutia sana kinyaa).

Ushauri:viwanja viwe na sehemu maalumu za faragha kwa wachezaji kwenda kutema mate na kurudi uwanjani jirani na maeneo wanayokaa wachezaji wa akiba na mabenchi ya ufundi.
Sio tu kucheza mpira, siku jitahidi hata kukimbia walau kilomita moja utaleta mrejesho hapa kwanini inakuwa hivyo

Vinginevyo endelea kupiga soga
 
Kuna mchezaji mwanzo mwisho hatemi
Kuna mchezaji kila dakika ametema

Utemaji ni tabia inayojengwa ki mazoea tu!
Mi naamini kungekuwapo na uhamasishaji wa kutotema Hali ingepungua!

Kwa mfano lingewekwa bango uwanjani limeandikwa DO NOT SPIT IF NOT NECESSARY! Hali isingekuwa hivi ilivyo

Kutema mate si kitu kibaya, Ila KUTEMATEMA MATE haikubaliki!
 
Katika vitu vinavyonikera na kunitia kinyaa ni tabia ya wachezaji kutema mate uwanjani,. Najua sometimes kuna sababu(jasho kudondokea mdomoni, n.k), ila lazima kuwe na hatua za ku-discourage hii tabia ili vitendo hivi vipungue viwanjani kwani inatia kinyaa sana,

Wachezaji wenyewe ndio waathirika zaidi pale wanapoanguka au kukaa chini uwanjani kwani wanakalia uchafu bora jasho ambalo haliepukiki,

Tutajifanya kutetea kwa kutoa sababu mbalimbali kwasababu hii ni soka lakini ni ukweli mtu mzima hata ukiwa kwenye kundi la watu huwezi tu kugeuka na kutema mate bali kwa mtu mstaarabu utasogea pembeni kabisa kutema mate tena huku nafdsi ikiwa inakataa, kukusuta na hata kuona aibu.

Wakati umefika FIFA waanzishe kampeni ya ku-discourae hii tabia katika mchezo wa soka ingawa ni vigumu kuiepuka kwa asilimia 100. Hata hivyo, kitendo tu cha kuiponda hii tabia, itapunguza tabia ya wachezaji wanaotema mate uwanjani kwa mazoe tu(wanatutia sana kinyaa).

Ushauri:viwanja viwe na sehemu maalumu za faragha kwa wachezaji kwenda kutema mate na kurudi uwanjani jirani na maeneo wanayokaa wachezaji wa akiba na mabenchi ya ufundi.
Wateme darasani??
 
Back
Top Bottom