Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya, usitupangie mavazi mwanangu, pita hivi..i..Salaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.
NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.
Ni hayo tu!!
Kwahiyo wavae kanzu na makobazi.....eeeh 🤣🤣🤣🤣Salaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na trends za kidunia na kuanza kuvaa vikaptula na kuzurura barabarani, mnaudhi sana.
TABIA za ukosefu wa Maadili huanza Polepole, baba mzazi au kaka mwenye dada zako unapozurura na pens juu ya magoti, utapata wapi ujasiri wa kumwambia dadako au mwanao ajisitiri Kwa mavazi ya Heshima?
Yaani unakuta Mwanaume kavaa kipens juu ya magoti, kimebana nyeti zote, makalio yamejichoraaaa!!!
Acheni TABIA hizi mara Moja Ili mjitofautishe na MASHOGA.
NB: Wanawake piteni kimya, maana hiki ni kikao Cha kiumeni , tunarekebishana.
Ni hayo tu!!
Usisahau na wafiraji pia......maana bila wafiraji huwezi kupata machoko na mapunga mkuuMachoko mapunga yapo mpaka jamii forum
Wengi ni mashoga wanaovaa hizo pensi ama vibukta,
Mbona mimi ni shoga halafu sivai vipensi wala bukta?KINJUGA KUVAA MWANAUME NA KUTOKA ROAD NI USHONGA
NO DISCUSION..
🤣🤣🤣Thamani ya Mwanaume inashuka sana.
🤣🤣🤣🤣🤣 MJUNI ACHA KUTUZINGUA WA MUKA......UGUMILE????Mbona mimi ni shoga halafu sivai vipensi wala bukta?
We utakuwa shoga si bure..!Bongo ushamba bado ni mzigo mzito!
Kumbukeni babu zetu walikuwa wanaficha pumbu tu, huo utamaduni ni upi?
Tuvae kanzu mtumishi au???Mimi ni mtumishi,
Siwezi weka picha. Ila pens juu ya magoti mnaziona mtaani na kuchukulia kawaida,
Huko zilikotoka wanavaa mashoga.
All in all Mwanaume kuvaa pens mwisho chumbani baas!!
Wewe ni mtumishi pia,Tuvae kanzu mtumishi au???
Hahahahahaaaa!🤣🤣🤣🤣🤣 MJUNI ACHA KUTUZINGUA WA MUKA......UGUMILE????
Alafu limenifata PM punga lile olewakeMachoko mapunga yapo mpaka jamii forum
Hili jina lako tu linasadifu wew ni mwanaume wa shokaMbona mimi ni shoga halafu sivai vipensi wala bukta?
Khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Machoko mapunga yapo mpaka jamii forum
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona mimi ni shoga halafu sivai vipensi wala bukta?
Ni wee sio wao, usiwapangie.Ila ni aibu sana kwa kweli baba zima kuvaa kikaptura kweli watu aibu hawana mimi kaptura tu hata kama ni size ya ugoko siwezi kuvàa
Hii chupi sio pensi mkuu tofautisha pensi na chupiHAjakataza kuvaa pensi ila kasema juu ya magoti!!!!!!!!!
Ili mjitofautishe na Mashoga.View attachment 2884786