Tabia ya wanaume kuvaa pens na kuzurura mitaani, ni ukosefu wa Maadili

Oya, usitupangie mavazi mwanangu, pita hivi..i..
 
Kwahiyo wavae kanzu na makobazi.....eeeh 🤣🤣🤣🤣
NB: MBONA HAWA JAMAA WANAVAA KANZU ZINAWASTIRI MPAKA VIDOLE NA NI MASHOGA......UTASEMAJE HAPA
 
Mimi ni mtumishi,

Siwezi weka picha. Ila pens juu ya magoti mnaziona mtaani na kuchukulia kawaida,

Huko zilikotoka wanavaa mashoga.

All in all Mwanaume kuvaa pens mwisho chumbani baas!!
Tuvae kanzu mtumishi au???
 
🤣🤣🤣🤣🤣 MJUNI ACHA KUTUZINGUA WA MUKA......UGUMILE????
Hahahahahaaaa!

Maana watu wanaogopa sana ushoga.

Kuna watu ni waheshimiwa sana, learned, very smart and disciplined. Ila siku za kurefresh wanavaa vikaptula, kuwa accuse kwmb ni mashoga ni utovu wa nidhamu.
 
Ila ni aibu sana kwa kweli baba zima kuvaa kikaptura kweli watu aibu hawana mimi kaptura tu hata kama ni size ya ugoko siwezi kuvàa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…