- Thread starter
- #261
Ukivaa chumbani hakuna atakayekubughudhi,msifuatilie maisha ya watu kanya wanao
Ukivaa hadharani lazima niruke nawe,
Nisipokemea TABIA hizi, Binti yangu anaweza kupata mchumba shoga ikawa laanatul!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukivaa chumbani hakuna atakayekubughudhi,msifuatilie maisha ya watu kanya wanao
kanya funza mwanao acha wivu...Ukivaa chumbani hakuna atakayekubughudhi,
Ukivaa hadharani lazima niruke nawe,
Nisipokemea TABIA hizi, Binti yangu anaweza kupata mchumba shoga ikawa laanatul!!!
🤣🤣🤣🤣 Utulivu ni majaaliwa ya MolaWanawake mmeshindwa kabisa kutulia!!
Nimeandika hapo juu, mada hii ni ya kiumeni.
Ulianza vzr nkaona una hoja lakini sasa unaharibu vipensi vya kubana na juu ya magoti nakuunga mkono siomaadili ila kamptula ndefu ya bwanga haina tatizoVaa trucksuit
Uzi haupo Kwa Bahati mbaya,kanya funza mwanao acha wivu...
Hizo kaptula ndefu zenye staha kidogo, hazivaliwi tena na wanaume wengi,Ulianza vzr nkaona una hoja lakini sasa unaharibu vipensi vya kubana na juu ya magoti nakuunga mkono siomaadili ila kamptula ndefu ya bwanga haina tatizo
Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
Unaachia tu sio... basi sawa!Kujibana siwezi aisee
Dah kanifikirisha sana nadhani watu wanaomzunguka anaishi nao kwa shida sana kama kuvaa pensi kwake imekuwa shida wakati Kila kukicha tunaangalia wachezaji uwanjani wamevaa tena fupi zaidi na hakuna shida .Huyu jamaa ni mshamba na limbukeni inaonekana mjini kafika siku sio nyingi arudi kwao umatumbini akaendelee kunywa kahawa na wazee wenzie huku wamevaa misuli.
Anakuwa kaleft group huyoUnakuta Mwanaume kavaa pens juu ya magoti inabana,
Makalio yote yanaonekana.
LAANA tupu!!!
Ila haionyeshi mapaja, matako wala hazina🤣🤣🤣halafu ipo chini ya magoti.Wacha wee unazeeka kijanja😁
Kadeti flani hivi au sio?Ila haionyeshi mapaja, matako wala hazina🤣🤣🤣halafu ipo chini ya magoti.
Ewaaa!!Kadeti flani hivi au sio?
Basi huna baya legend...Siku nikikutembeleq uvae hivyo hivyo na tshirts 😬Ewaaa!!
Nilienda Moro kijiji cha Matombo huwezi kuamini vijana walikua proud kuvaa sendo zile za kikeMambo haya huanza Polepole,
Ulizuka mtindo wanaume kuvaa vindala vya kike,
Shetani aikome Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241].
Wewe ni papaiKwani,pens kwa mwanaume, na skin taiti kwa wanawake kipi cha ajabu? Unawaonea aibu!! Mambo yoooote,umeona yako sawa,kasoro kuvaa pens! Maadili gani huvunjwa mtu anapovaa pens!
Mbona wa Brazil wanavaa tu chupi na sidilia,wanatembea?! Mbona hujalalamikia mama na dada zako wanaocheza vigodolo! Hao ndo wapo sawa eh!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena vinabana ..unakuta Kaka ana kitako flan hivi[emoji3][emoji3][emoji3] kaweka na Wallet kama Jeneza.[emoji3][emoji3][emoji3]
Wanaume si kila Mbaba anatakiwa kuvaa Pensi...tunatiana aibu huku mitaani.
Siku hizi haya mavyakula kuna wanaume wamenza kuwa na vitako vitako vya ajabu ajabu sana aisee.
Ongeza na hizi Gym wanaenda waelekezaji badala ya kutoa mazoezi ya kiume,unakuta Mbaba anaendesha baiskeli ile kabinuka kiuno juu..what the hell uje umevaa na kipensi.
Iwe mapema sasa, usilicheleweshe hili jambo🤣🤣Basi huna baya legend...Siku nikikutembeleq uvae hivyo hivyo na tshirts 😬