Tabia ya Wanawake kutukana matusi machafu tuwapo faragha

na mke wako huwa anatukana? maana umesema huyo mchepuko kama anatukana basi tuwaulize wanawake lakini kama hatukani muulize mchepuko sababu ni nni
 
na mke wako huwa anatukana? maana umesema huyo mchepuko kama anatukana basi tuwaulize wanawake lakini kama hatukani muulize mchepuko sababu ni nni
Kama hujawahi kutukanwa
Basi hujafika mjini
 
Unamla Mixx by Yass?
 
na bado umegandamana na hilo Pepo right?🐒

sasa wewe beba hilo bomu kaliweke ndani,

ila baadae usije kutia huruma humu jukwani tena 🐒

Mungu hamtupi mja wake ndiyo hiyo sasa, unaonyeshwa ukaidi but unapuuza na unakomaa nao kumbe ni bomu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…